Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

Mkuu kuna tafauti ya Murtadi na muumini wa dini nyingine wakuzaliwa hao ni watu wawili tofauti........Murtadi ni laana kwenye familia lakini imani zingine ni sawa nikiweka jitihada tu warudi penyewe.
"Murtad na muumini wa dini nyingne wa kuzaliwa ni tofaut" sawa naomba nijibu hyo laana inakuathiri vipi wew na familia yako katika ukoo wako???.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
"Murtad na muumini wa dini nyingne wa kuzaliwa ni tofaut" sawa naomba nijibu hyo laana inakuathiri vipi wew na familia yako katika ukoo wako???.
Laana ni ukosefu wa radhi za mungu katika mambo mengi ya maisha yako, laana sio rahisi kuiona siku moja, ni gradual........
 
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Wewe mama unataka kijana wa watu akaliwe kalio Kwa kisimgizio cha suna?dini ILO aliliama alafu alilrejee kweli?
 
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Tena akienda pale mtoro kariakoo atasaza haswa! Sjui alifeli wapi?

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Ndo utuambie sasa hizo radhi za Mungu wew zinakuathiri vipi kwa yeye kuwa murtad???
Mkuu sasa zitaniathiri je wakati mimi sitoki kwenye familia yake? hilo ungeuliza wana familia yake uwauliza vinavyo wakumba uko tangu ndugu yao aritardi.
 
Process za Mungu ni ngumu sana kuzielewa! Ila cha msingi ni kiziamin na kizikubali....
 
Ndo utuambie sasa hizo Laana za Mungu wew zinakuathiri vipi kwa yeye kuwa murtad???
Ungekua makini sana, kile kitendo cha kutoelewana na baba ako mzazi ni sehemu ya madhara ya hizo laana, hamna kitu kinacho uma kama kutoelewana na wazazi wako, mkuu bado unauliza laana za murtardi ni zipi?
 
Ndo tatizo la waislamu ukiacha tu dini na undugu umekufa utatengwa hata na mende wa nyumbani.
Tofaut na Wakristo wapo hadi mashehe familia Yao wote ni Wakristo na Wala hapana mwenye habari nae Kama halijatokea jambo na undugu wao haukomi kisa dini
Sio tatizo la waislaam, ndio hukmu ilivyo maana hata akifa kabla hajarudi katika uislam hata kwenye viwanja vya pepo hawatakuwa pamoja

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Ungekua makini sana, kile kitendo cha kutoelewana na baba ako mzazi ni sehemu ya madhara ya hizo laana, hamna kitu kinacho uma kama kutoelewana na wazazi wako, mkuu bado unauliza laana za murtardi ni zipi?
Kwahyo mkuu kuwa na maoni tofauti na mzazi wako ni laana?? Mfan mim mshua akiniambia somea udaktari nika kataa nikamwambia mm nataka kusomea uinjinia, kwahyo hapo tayari laana. Ahhhahh mkuu imani yako ni ipi kwanza tuanzie hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…