.mmh uliza mleta uzi atakueleza vizuri kwasbb anajua alicho tendea wazazi wake.......Samahani mkuu Murtard ndio nini?? Ni imani ya aina gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.mmh uliza mleta uzi atakueleza vizuri kwasbb anajua alicho tendea wazazi wake.......Samahani mkuu Murtard ndio nini?? Ni imani ya aina gani??
Alitoka kwenye Uislam na kuingia kwenye Ukristo.Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?
Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.
Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Hapana baba yako hana roho mbaya.Aisee una roho mbaya
Acha uongo bana, mbona sie wengine tangu tuache hiyo Imani kifo hakijatupata ingawa dua zilifanywa... Hakuna Kama Yesu na nyie mmnajua... Ubishi tu😁😁Murtadi adhabu yako ni kifo , hakika utakufa na kifo ni adhabu pekee ninayostahili kukupa tukikutana.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Pole sana ndugu. Ni jambo la kumshukuru Mungu sana na kumtolea sadaka kwa kukunasua kwenye dhiki. Ila fahamu kuwa ukiwa na changamoto, ongea na watu wengi, hutakosa msaada (a problem shared is half solved)Hello habari za asubuhi!
Hii story nimewahi kuwasimulia wachache sana.
Ni rahisi kumtia moyo mtu kuwa magumu yatapita, Mungu atakusaidia kipindi uko vizuri na umeshiba. Ila ukipitia kipindi kigumu hata ushauri na courage utasikia kama kelele tu unapigiwa.
Nilihitilafiana na wazazi pamoja na ukoo nzima 2009 kwasababu ya kuingia katika Imani tofauti.
Kwakweli yule baba yangu ana roho mbaya sana, hata sasa hajawahi kunitafuta. Nami natamani kwenda kumsalimia na kumpa msaada lakini msimamo wake ni kwamba niende kwake nikairudie dini yangu ya zamani kitu ambacho Mimi sikiafiki, sitakiafiki na hakitatokea hata kwa kuchinjwa.
Sasa katika maisha ya kuhangahikia ugali pasi na sapoti ya mtu (mzazi, mlezi, ndugu n.k) nikajiendea mgodini. Nikaenda kupiga kibarua kwa siku elfu 7, nilienda Mgodini November , December mgodini pakawa na mapumziko ya sikukuu hivyo watu wote tulipaswa kuondoka mgodini mpaka January.
Nikiwa na pesa kidogo sijui nifanye nini au niende wapi nikaamua niende Mkoa wa Ruvuma Tunduru.
Safari ya kwenda Tunduru nikitokea Nachingwea (Lindi) ikaanza.
Kwakuwa nilitumia Lori Tunduru tulifika siku ya pili . Nimefika Tunduru mchongo niliouendea ukagoma hivyo nikaunga mpaka Songea. Nafika Tunduru mfukoni nina pesa ndogo sana hata elfu 2 haifiki.
Safari ikaendelea barabara chafu maana ni masika. Njaa inauma Lori likisimama naangalia huku na kule kama kuna mwembe nikaangalie maembe.
Njaa ikaongezeka Songea tulifika kwa kuchelewa, Lori lilibeba nazi hivyo sometimes nilipata nazi zilizovunjika zenyewe na kuanza kula.
Tumefika Songea usiku wa saa 4, sina ndugu, Sina hata mia na ni mgeni huko
Am back.
Basi ile sijui niende wapi, nikaanza kuelekea mahali kwenye kelele nikafika stand kuu sasa pale nina njaa plus usingizi.
Nikajichanganya kwa machokoraa wa stand, Mungu awainue huko waliko, wakanipa andazi moja na chai kikombe kimoja.
Niliwashuru sana, pale stand hapakuwa na lounge ya abiria kipindi hicho. Sijui sasa kukoje.
Nikapita mitaani kuzurura kutafuta mahali nilale nikapata mahali pembezoni mwa mji nikalala kwenye shamba la mahindi.
Asubuhi nikashikwa na polisi nikiwa stand na kupewa kesi ya uzururaji, jumla ya watuhumiwa tulikuwa kama 15-20.
Tukiwa korokoroni gari ya super Feo iliyokuwa ikitoka Songea kwenda Dar es salaam ikapata ajali. Sasa mkuu wa kituo akaamuru tubebwe tupelekwe Central halafu wale maaskari wakaatend ajali.
Ile tunapandishwa kwenye gari tukitokea ndani kituoni kuingia kwenye karandinga mmoja mmoja Mimi nikafichwa na wingu la Mungu hawakuniona wakawasha gari wakaondoka . Polisi si chini ya watano wote hawakuniona ilhali nilisimama mbele yao na wengine niliwagusa.
Next day tena nikarudi stand, nikachujua nguo zangu nzuri nikaziweka mkononi na kujigeuza mmachinga. Nilizunguka manispaa yote, Aisee katika kipindi kigumu kila solution hugeuka kuwa ngumu. Nguo nilianza kutangaza nauza kwa elfu 5 , nikashushe bei ikawa elfu 3 na mwishowe nikawa nauza buku buku lakini hata moja sijaiuza.
Siku ikaisha njaa Kali, nikalala nje.
Kila nikijaribu kuomba kazi yoyote hata kulima au kulishia ng'ombe nilikosa. Watu wanasema hawanijui hivyo hawawezi kuniamini.
Hapo nilikuwa nimeibiwa vitu muhimu ikiwemo daftari la namba za simu, I'd ya kupigia kura na I'd ya skuli maana nilikuwa ndo nimetoka kumaliza form four.
Siku moja nikiwa taabani fundi viatu akanisaidia 500 ila suala la kunisaidia makazi ya kulala hakuweza sijui kwanini . Nikifurahi sana nikaanza kuzungukia migahawa nikaupata mmoja nikapewa ubwabwa wa 500 mwingi sana nikala huku nahemea maana nilikuwa nikikuta chocote kitu barabarani changu iwe muhindi, karanga au hata dagaa namla.
Kwa ufupi sasa niko Da es salaam, nimeajiriwa na Kaisari, nina familia yenye furaha na amani, niko kwenye uchumi wa kati.
Am happy.
YESU ni BWANA
Ndgu yangu kama wewe ni muislam acha kabisa hiki unachokifanya hapa ni dhambi.Mimi kwa umri wangu hu sijawahi kuona shoga live na wasikia tu kwamba wana makanisa yao, na baadhi ya makanisa ya RC mapadiri ni mashoga wanakula watoto witi, sija shuhudia kama ni kweli au la.
Mkuu mimi sijawahi kusema hivo nasikia hizo tuhuma tu kwa hao watu ila sijawahi kuhusudia na sina abudi kulitilia maanani kama ni kweli, mimi sina hasira na dini yoyote mimi niko poa kabisa ninacho amini ni utu na ustaarabu wa watu.Ndgu yangu kama wewe ni muislam acha kabisa hiki unachokifanya hapa ni dhambi.
Mimi sio muislam ila ninasoma na kusikiliza sana mawaidha, ni mazuri yanajenga sana.
Laiti kama tungeishi kama hizi dini zinavyotaka maisha yangekua safi sana, tatizo tunapopoana sana.
Kama hapa wewe unawasema mapadri wa RC vibaya bila kua na hakika, hiyo kwa umma wa kiislam ni dhambi.
Unaambiwa ni kheri kukaa kimya kuliko kumhisia mtu jambo baya.
Mfano umeibiwa kitu, hujui aliekuibia ila unaanza kuwahisia wati labda huyu au yule, itakua ni yule. Hiyo ni dhambi mkuu.
Huenda una jazba dini yako kusemwa/kuhisiwa vibaya lakini unaambiwa hutakiwi kujibu vibaya au kumtukana huyo mtu bali kumuelimisha.
Hapa ndo watu wanafeli sana sana sana.
Kuna hadithi ya mtume, kwamba mke wake wake mkubwa alimhisia vibaya mke mwenzie. Mtume akamkanya kua kama hana hakika ni kheri akae kimya.
Wa pili sasa wewe nakuunganisha na bwana Sandali Ali lazima muuwawe tu maana dawa ya usaliti ni kifoAcha uongo bana, mbona sie wengine tangu tuache hiyo Imani kifo hakijatupata ingawa dua zilifanywa... Hakuna Kama Yesu na nyie mmnajua... Ubishi tu[emoji16][emoji16]
Hivi unajisikiliza unavyoongea lakini?? Yaani unamlazimisha kwenda "mbinguni" apende asipende lazima aende [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1]amkeni nyinyi, hivi kweli Mungu anatoa adhabu ya kulazimisha watu kumfuata, kweli? Ili iweje?Murtadi adhabu yako ni kifo , hakika utakufa na kifo ni adhabu pekee ninayostahili kukupa tukikutana.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Eeee lazima aende huko maana sasa tutafanyaje kizazi hiki hakitaki huruma .Hivi unajisikiliza unavyoongea lakini?? Yaani unamlazimisha kwenda "mbinguni" apende asipende lazima aende [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1]amkeni nyinyi, hivi kweli Mungu anatoa adhabu ya kulazimisha watu kumfuata, kweli? Ili iweje?
Yesu ndo' kimbilio pekee la wanyonge.Hello habari za asubuhi!
Hii story nimewahi kuwasimulia wachache sana.
Ni rahisi kumtia moyo mtu kuwa magumu yatapita, Mungu atakusaidia kipindi uko vizuri na umeshiba. Ila ukipitia kipindi kigumu hata ushauri na courage utasikia kama kelele tu unapigiwa.
Nilihitilafiana na wazazi pamoja na ukoo nzima 2009 kwasababu ya kuingia katika Imani tofauti.
Kwakweli yule baba yangu ana roho mbaya sana, hata sasa hajawahi kunitafuta. Nami natamani kwenda kumsalimia na kumpa msaada lakini msimamo wake ni kwamba niende kwake nikairudie dini yangu ya zamani kitu ambacho Mimi sikiafiki, sitakiafiki na hakitatokea hata kwa kuchinjwa.
Sasa katika maisha ya kuhangahikia ugali pasi na sapoti ya mtu (mzazi, mlezi, ndugu n.k) nikajiendea mgodini. Nikaenda kupiga kibarua kwa siku elfu 7, nilienda Mgodini November , December mgodini pakawa na mapumziko ya sikukuu hivyo watu wote tulipaswa kuondoka mgodini mpaka January.
Nikiwa na pesa kidogo sijui nifanye nini au niende wapi nikaamua niende Mkoa wa Ruvuma Tunduru.
Safari ya kwenda Tunduru nikitokea Nachingwea (Lindi) ikaanza.
Kwakuwa nilitumia Lori Tunduru tulifika siku ya pili . Nimefika Tunduru mchongo niliouendea ukagoma hivyo nikaunga mpaka Songea. Nafika Tunduru mfukoni nina pesa ndogo sana hata elfu 2 haifiki.
Safari ikaendelea barabara chafu maana ni masika. Njaa inauma Lori likisimama naangalia huku na kule kama kuna mwembe nikaangalie maembe.
Njaa ikaongezeka Songea tulifika kwa kuchelewa, Lori lilibeba nazi hivyo sometimes nilipata nazi zilizovunjika zenyewe na kuanza kula.
Tumefika Songea usiku wa saa 4, sina ndugu, Sina hata mia na ni mgeni huko
Am back.
Basi ile sijui niende wapi, nikaanza kuelekea mahali kwenye kelele nikafika stand kuu sasa pale nina njaa plus usingizi.
Nikajichanganya kwa machokoraa wa stand, Mungu awainue huko waliko, wakanipa andazi moja na chai kikombe kimoja.
Niliwashuru sana, pale stand hapakuwa na lounge ya abiria kipindi hicho. Sijui sasa kukoje.
Nikapita mitaani kuzurura kutafuta mahali nilale nikapata mahali pembezoni mwa mji nikalala kwenye shamba la mahindi.
Asubuhi nikashikwa na polisi nikiwa stand na kupewa kesi ya uzururaji, jumla ya watuhumiwa tulikuwa kama 15-20.
Tukiwa korokoroni gari ya super Feo iliyokuwa ikitoka Songea kwenda Dar es salaam ikapata ajali. Sasa mkuu wa kituo akaamuru tubebwe tupelekwe Central halafu wale maaskari wakaatend ajali.
Ile tunapandishwa kwenye gari tukitokea ndani kituoni kuingia kwenye karandinga mmoja mmoja Mimi nikafichwa na wingu la Mungu hawakuniona wakawasha gari wakaondoka . Polisi si chini ya watano wote hawakuniona ilhali nilisimama mbele yao na wengine niliwagusa.
Next day tena nikarudi stand, nikachujua nguo zangu nzuri nikaziweka mkononi na kujigeuza mmachinga. Nilizunguka manispaa yote, Aisee katika kipindi kigumu kila solution hugeuka kuwa ngumu. Nguo nilianza kutangaza nauza kwa elfu 5 , nikashushe bei ikawa elfu 3 na mwishowe nikawa nauza buku buku lakini hata moja sijaiuza.
Siku ikaisha njaa Kali, nikalala nje.
Kila nikijaribu kuomba kazi yoyote hata kulima au kulishia ng'ombe nilikosa. Watu wanasema hawanijui hivyo hawawezi kuniamini.
Hapo nilikuwa nimeibiwa vitu muhimu ikiwemo daftari la namba za simu, I'd ya kupigia kura na I'd ya skuli maana nilikuwa ndo nimetoka kumaliza form four.
Siku moja nikiwa taabani fundi viatu akanisaidia 500 ila suala la kunisaidia makazi ya kulala hakuweza sijui kwanini . Nikifurahi sana nikaanza kuzungukia migahawa nikaupata mmoja nikapewa ubwabwa wa 500 mwingi sana nikala huku nahemea maana nilikuwa nikikuta chocote kitu barabarani changu iwe muhindi, karanga au hata dagaa namla.
Kwa ufupi sasa niko Da es salaam, nimeajiriwa na Kaisari, nina familia yenye furaha na amani, niko kwenye uchumi wa kati.
Am happy.
YESU ni BWANA
acha uchizi mtoto ameamua kufuata imani aipendayo wacha kumtolea panga.Huyu inaonekana alikua ameshakua Murtard adhabu yao ni kifo, naona mateso yali muanza mapema tu kwa hicho kitendo......baba mzazi alikua sahihi kama kweli ulikua Murtadi na mimi siwezi kukutafuta tena.
wacha kumtisha kijana.Yesu ndo jibu pekee na tumaini la wanyonge .Murtard ni hatari sana kwa jamii ni kitendo cha unafiki mkubwa hastahili kuishi duniani tena. Nakushauri fanye toubah nasihi urudi kwenye uasilia wako kabla mabaya zaidi hayajakukuta.
Mungu atamlinda dhidi ya dini ya majambia.Murtadi adhabu yako ni kifo , hakika utakufa na kifo ni adhabu pekee ninayostahili kukupa tukikutana.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mtu akiacha dini yenu adhabu yake ni kifo, najua ndivyo ilivyo. Hivi umeshajiuliza maswali kidogo? Kwa nini ukishakuwa muislam huruhusiwi kuritad/kubadilisha dini? Kwa nini adhabu iwe kifo? Hivi kweli Mungu anaweza kumlazimisha mtu lazima amfuate ili aende Mbinguni? na kwamba akikataa tu anaamuru auwawe. Kama ni hivyo, kwamba ni lazima woote twende Mbinguni, Mungu anashindwa nini kutufanya wooote kuwa dini moja?Huyu inaonekana alikua ameshakua Murtard adhabu yao ni kifo, naona mateso yali muanza mapema tu kwa hicho kitendo......baba mzazi alikua sahihi kama kweli ulikua Murtadi na mimi siwezi kukutafuta tena.
tatizo quran inasema wamchinje.Ndo tatizo la waislamu ukiacha tu dini na undugu umekufa utatengwa hata na mende wa nyumbani.
Tofaut na Wakristo wapo hadi mashehe familia Yao wote ni Wakristo na Wala hapana mwenye habari nae Kama halijatokea jambo na undugu wao haukomi kisa dini
Nipe wapi Quran inasema kwamba achinjwe?tatizo quran inasema wamchinje.
Mungu gani chinja chinja?
Allah angekuwa na nguvu kusingekuwa na murtadi, wote wangekuwa dini moja.Allah ni dhaifu ndo maana kuna murtadi.Mkuu kuna tafauti ya Murtadi na muumini wa dini nyingine wakuzaliwa hao ni watu wawili tofauti........Murtadi ni laana kwenye familia lakini imani zingine ni sawa nikiweka jitihada tu warudi penyewe.
pepo ipi wacha,kuongopewa na mashehe ubwabwa wakina kipozeo.Sio tatizo la waislaam, ndio hukmu ilivyo maana hata akifa kabla hajarudi katika uislam hata kwenye viwanja vya pepo hawatakuwa pamoja
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app