Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Kuna research hapo chini. Hii sio story za kijiweni
Hata siangaiki nazo wakati mimi ninaona uhalisia.
Kuna matatizo makubwa sana ya kimalezi yanayopelekea ndoa nyiiingi kukumbwa na misukosuko na miongoni mwake ni pamoja na za wanandoa walio lelewa na wazazi wote.

Mke wa mjomba wangu yeye kalelewa na mama kwani baba alifariki akiwa bado ktk umri mdogo na mpaka leo ni wana ndoa licha ya uzee wao.
Sijui kati Bilgate na mtalaka wake ni nani kalelewa na mzazi mmoja lkn madai yako hayana ukweli.
 
Hata siangaiki nazo wakati mimi ninaona uhalisia.
Kuna matatizo makubwa sana ya kimalezi yanayopelekea ndoa nyiiingi kukumbwa na misukosuko na miongoni mwake ni pamoja na za wanandoa walio lelewa na wazazi wote.

Mke wa mjomba wangu yeye kalelewa na mama kwani baba alifariki akiwa bado ktk umri mdogo na mpaka leo ni wana ndoa licha ya uzee wao.
Sijui kati Bilgate na mtalaka wake ni nani kalelewa na mzazi mmoja lkn madai yako hayana ukweli.
Billgates divorce yake ni very late. Lakin watoto now wanapitia psychological trauma kisa wazazi. Things are not the same sumu itaingia tu. If we could ask them ungeona. Also your Aunt are the few success sema your uncle knows the truth of the hustle.
 
Do investigations. Hata kwenye ndoa wapi wanaolewa, na kutulia na ndoa zao. Na hata wakidivorce wanajua umuhimu wa ndoa . They will always fight for a better life. Ila wengine wana sema sawa mungu Amepanga its okay.
Ila kiukweli si kupingi maana hukitumi kannuni Fulani za maisha hoja zako zina mashiko ILA huku ninapo ishi Mimi kunanifanya nione hoja zako za kawaida tena na uelekeo WA Dunia yenyewe pia unatia mashaka
Me naona mambo kama yapo nusunusu tu
Mfano ninapo ishi Mimi vijana wakiume wengi tu wamelelewa na wazazi wote ila wao wametelekeza mimba na wengine wametelekeza watoto Sasa hapo IPO wapi nidhamu walio ichujua kutoka Kwa familia zao za wazazi wote wawili?
 
Billgates divorce yake ni very late. Lakin watoto now wanapitia psychological trauma kisa wazazi. Things are not the same sumu itaingia tu. If we could ask them ungeona. Also your Aunt are the few success sema your uncle knows the truth of the hustle.
Mimi ni mmoja wa walezi wao kwa sasa,wamekuwa wakinishirikisha tangu enzi na enzi.
Malezi miongoni mwa wazazi kwa watoto wao ni mzizi wa kuvunjika kwa ndoa nyingi leo hii.

Unataka kusema kwamba mzazi mmoja akifariki ama akivunja ndoa yake anayebaki akilea watoto ndo responsible or irresponsible parent?
Jibu la swali hilo litakupa uhakika kwamba inategemea na thinking capacity ya huyo mzazi mmoja. Lkn pia mabadiliko ya kimazingira atakayo pitia mtoto husika.

Sijajua watafikia wapi lkn mbona prince William na mkewe wako pamoja?
Achana na dhaania hizo suala la ndoa sasa hivi lina changamoto zisizo fanana.
 
Mfano wewe mtoto wako ilimpeleka akaishi kwenu akalelewa na wazazi wako inamaana atakuwa na tabia zilizo tajwa?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Inategemea ulikuwa na ukaribu kiasi gani na mtoto alilichukulia vipi suala hilo. Ila kuna madhara ya mtoto kulelewa na bibi na babu wakati baba na mama wako hai kama;

1. Kukosa uhusiano wa karibu na wazazi: Ikiwa mtoto analelewa na babu na bibi pekee, anaweza kukosa uhusiano wa karibu na wazazi wake. Hii inaweza kusababisha hisia za kutengwa au kukosa thamani.

2. Kukosa uzoefu wa kujitegemea: Ikiwa mtoto analelewa na babu na bibi pekee, anaweza kukosa uzoefu wa kujitegemea na kujifunza jinsi ya kufanya mambo yake mwenyewe. Hii inaweza kusababisha kutegemea sana wengine katika maisha yake ya baadaye.

3. Kupoteza mwelekeo wa kizazi: Ikiwa mtoto analelewa na babu na bibi pekee, anaweza kukosa mwelekeo wa kizazi na kuwa na wakati mgumu kujenga uhusiano mzuri na watoto wake wakati atakapokuwa mzazi.

Kwa hivyo, ni muhimu kwa wazazi kuendelea kuwa sehemu ya maisha ya mtoto wao hata kama wanaruhusu babu na bibi kumsaidia kulea. Hii inaweza kusaidia kuhakikisha kwamba mtoto anapata faida zote za kuwa na babu na bibi, lakini pia anapata uhusiano wa karibu na wazazi wake.
 
Inategemea ulikuwa na ukaribu kiasi gani na mtoto alilichukulia vipi suala hilo. Ila kuna madhara ya mtoto kulelewa na bibi na babu wakati baba na mama wako hai kama;

1. Kukosa uhusiano wa karibu na wazazi: Ikiwa mtoto analelewa na babu na bibi pekee, anaweza kukosa uhusiano wa karibu na wazazi wake. Hii inaweza kusababisha hisia za kutengwa au kukosa thamani.

2. Kukosa uzoefu wa kujitegemea: Ikiwa mtoto analelewa na babu na bibi pekee, anaweza kukosa uzoefu wa kujitegemea na kujifunza jinsi ya kufanya mambo yake mwenyewe. Hii inaweza kusababisha kutegemea sana wengine katika maisha yake ya baadaye.

3. Kupoteza mwelekeo wa kizazi: Ikiwa mtoto analelewa na babu na bibi pekee, anaweza kukosa mwelekeo wa kizazi na kuwa na wakati mgumu kujenga uhusiano mzuri na watoto wake wakati atakapokuwa mzazi.

Kwa hivyo, ni muhimu kwa wazazi kuendelea kuwa sehemu ya maisha ya mtoto wao hata kama wanaruhusu babu na bibi kumsaidia kulea. Hii inaweza kusaidia kuhakikisha kwamba mtoto anapata faida zote za kuwa na babu na bibi, lakini pia anapata uhusiano wa karibu na wazazi wake.
Kwa mfano uko anapoishi kwa Babu na bibi anakuwa anaishi watoto wenzie.mfano anakuwa anaishi na wajomba zake na shangazi zake au Baba zake wadogo ambao umri wao wakujitegemea bado, inamaana atakuwa analelewa kama mtoto wa familia.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mfano uko anapoishi kwa Babu na bibi anakuwa anaishi watoto wenzie.mfano anakuwa anaishi na wajomba zake na shangazi zake au Baba zake wadogo ambao umri wao wakujitegemea bado, inamaana atakuwa analelewa kama mtoto wa familia.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Madhara bado yapo pale pale.
 
Kuna mtu amekulazimisha uandike kingereza? Unaharibu lugha ya wenzako
Acha ujinga mgando wewe...kuchanganya lugha ni utamaduni wetu...na utohoaji wa maneno haujaanza leo, upo kitambo sana kutokuelewa kwako ni Ujinga uliopo katika Ubongo wako....

Badala ya kutoa maoni yenye mantiki na tija kwa wenzako...unakaa na kuanza kuchambua lugha aliyotumia...acha ujinga kwani hiko kifaa unachotumia kuandika huo upuuzi wako kinatumia lugha gani??
 
Back
Top Bottom