UTEUZI: Amos Makalla ahamishiwa Mwanza, Chalamila apelekwa Dar
... mkiambiwa inahitajika Katiba yenye nguvu sio tu kurudisha nguvu kwa wananchi lakini pia ku-regulate madaraka ya watawala hua mnajitoa ufahamu kuelewa; hiyo ndio maana yake! Kwa Katiba hii siku likizuka dikteta la ukweli ndio mtajua hamjui and will be too late.
Kwani katiba iliyopo inaruhusu ufisadi?
Chadema mnayo katiba mpya lakini mbona Mbowe anamiliki hisa 88% za chama,na anapiga pesa na kulamba asali live?
 
Kwani katiba iliyopo inaruhusu ufisadi?
Chadema mnayo katiba mpya lakini mbona Mbowe anamiliki hisa 88% za chama,na anapiga pesa na kulamba asali live?
... mifumo dhaifu inayoundwa na Katiba iliyopo ndio chanzo cha ufisadi. Kama watu wanaweza kujitungia sheria ya kuwapa kinga za maisha dhidi ya maovu waliyotenda wakiwa madarakani unategemea nini? Katiba hii ni mbovu!
 
Kama mmemsoma huyu mama,Hataki mtu aisoee sana sehemu na sehemu isimzoee.
Baada ya muda fulani anahamisha.
Aliyekuwa mkuu wa wilaya Busega, Gabriel Zacharia nilitonywa kuwa alilipia nyumba ya kuishi kwa mwaka mzima na ndani ya mwezi huo akatenguliwa.

Maisha ya hawa watu kwenye nyadhifa zao ni ya mda mfupi sana.
 
Aliyekuwa mkuu wa wilaya Busega, Gabriel Zacharia nilitonywa kuwa alilipia nyumba ya kuishi kwa mwaka mzima na ndani ya mwezi huo akatenguliwa.

Maisha ya hawa watu kwenye nyadhifa zao ni ya mda mfupi sana.
Kabisa Mkuu,maisha yao katika nafasi husika ni mafupi mno
Kuna watu wameshahamishwa mara4 toka ameingia Mama.
 
Lengo kuu ya Teuzi kama hizi....Huwa ni kukata mizizi! Wanayokuwa wameweka hawa wakuu kwenye maeneo yao.....

Ni teuzi za kimkakati.....

kama ulikua umeanza kuweka mizizi...... hakuna kinachofanyika bila wewe kuhusishwa.....Tunakung'oa tunaenda kupanda kwingine kwingine uanze upyaaa! Kuota.

Kuna wakuu wanajisahau wanakuwa ni miungu watu kwenye mikoa.....bila kusahau kuna mamlaka iliyo juu yake...
Taarifa zinamfikia mama.
 
Mambo ya kutoa Mlango na kuweka pazia[emoji28]
Makiwendo wangu.
Kwa taarifa yako Makala aliwekwa na Msoga kwa ajili ya maslahi yao.
Bahati mbaya hana uwezo.

Tunza post hii...Chalamila atafanya vizuri kuliko mnavyotarajia...muda ni mwalimu
 
Makonda alituharibia tu jiji
Halafu alikuwa anaanzisha mambo mengi yalikuwa yanamshinda yanaishia njiani
Na alikuwa na kiburi na dharau
Makonda hafai kuwa kiongozi
Sijui wenzetu uongozi huwa mnaupimaje? 🤔
makonda ndiye taipu halisia ya watanzania, anafaa kuongoza hapa nchini....wananchi hawa wa ku boostiwa kwa chanjo hawa...wanafaa kuongozwa na kichwa kama cha makonda mkuu 🙁
 
Back
Top Bottom