Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Daa ya chalaboy🤣🤣🤣🤣🤣🏌️🏊🏄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waganga wa kienyeji at work..tatizo la nchi hii sio katiba ,ccm wala nini....ni Waganga wa kienyeji.Ila hii nchi tunaongozwa na watu wenye akili za kawaiiida sana...yaani raia wapo smart kuliko viongozi sijui ilikuwaje kuwaje!.
Naona atapewa jina CHALAMILA WA DARSiku kama ya leo miez tisa ijayo atazaliwa mtoto na baba yake atamuita Dar es salaam
Mnapenda kulaumu sana! Kikubwa kama mtu ana fursa ya kutumikia inatosha sana!Ila hii nchi tunaongozwa na watu wenye akili za kawaiiida sana...yaani raia wapo smart kuliko viongozi sijui ilikuwaje kuwaje!.
Top for B naomba namba yako privateHeeeeeee Chala wangu
Amekaa kitapel flan🤣mishen town flan hivi 🤣🤣🤣Ila Makala huwa namuona kama mbabaishaji fulani hivi...
Nilijua tu Kariakoo crisis Lazima isababishe substitutionRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa kama ifuatavyo:
1. Bw. Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
2. Bw. Adam Kighoma Malima amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
3. Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
4. Bw. Albert John Chalamila amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Uhamisho huu wa Wakuu wa Mikoa unaanza mara moja.
View attachment 2623197
Chalamila anaweza kazi kwani anakuja kubeba mizigo? Ni kusimamia sera za chama na maagizo ya Rais.Tanzania mtu yoyote anaweza uongozi tu hata binti wa chekechea usishangae chalamila. Mbona Jiwe aliweza urais na mambo yakaenda tu?
Stroke magu2016 Crimea wakatanta voicer Kulwa Jilala Magonjwa Mtambuka
Haya ndiyo madhara ya uongozi shavu badala ya majukumu. Amos Makalla ameshajichokea, hata iweje hawezi kuja na jipya lolote, Fatma Mwasa vilevile, na Chalamila ana kitu fulani lakini he is more a Joker.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa kama ifuatavyo:
1. Bw. Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
2. Bw. Adam Kighoma Malima amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
3. Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
4. Bw. Albert John Chalamila amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Uhamisho huu wa Wakuu wa Mikoa unaanza mara moja.
View attachment 2623197
Acha Dar es salaam ipokee kituko.