Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mjingwa kwa wajinga🤣🤣🤣Chalamila the idiot man anakujaje huku kwa daslama ujinga mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjingwa kwa wajinga🤣🤣🤣Chalamila the idiot man anakujaje huku kwa daslama ujinga mtupu
Kuna sehemu naye alijichanganya!Mtaka alipendwa na yule bwana
Hivi hamuwazi vitu vingine zaidi ya huu umaskini?!!!!!! Inaboa mno sometimes.Walaji wanabadilisha milo.
Hata ukamchukue MHAZABE mmoja huko polini,mbona hata nchi anaindesha fresh tu!!Tanzania mtu yoyote anaweza uongozi tu hata binti wa chekechea usishangae chalamila. Mbona Jiwe aliweza urais na mambo yakaenda tu?
Stroke magu2016 Crimea wakatanta voicer Kulwa Jilala Magonjwa Mtambuka
Kwa hiyo Maza kaamua kuleta Mzee wa Ulanzi Jijini......!!?Heeeeeee Chala wangu
Amos Makala na Chalamila ndio wakuu wa Mikoa pekee waliwahi kuongoza Mikoa mikubwa ya Tanzania Kwa manaa ya Mikoa yenye uchumi mkubwa ambayo niRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa kama ifuatavyo:
1. Bw. Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
2. Bw. Adam Kighoma Malima amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
3. Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
4. Bw. Albert John Chalamila amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Uhamisho huu wa Wakuu wa Mikoa unaanza mara moja.
View attachment 2623197
KUHUSU MAKALLA
Makalla alishawahi kushika nafasi ya katibu wa uchumi na fedha wa CCM na aliwahi kukaimu nafasi ya katibu wa umoja wa vijana wa CCM ( UVCCM).
Pia. Amewahi kuwa mbunge wa Mvomero kwa vipindi tofauti na mara ya mwisho alikuwa mbunge mwaka 2010 hadi mwaka 2015.
Makalla pia, amewahi kuwa naibu waziri wa habari enzi za utawala wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete.
Aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kisha kuhamishiwa Mkoa wa Mbeya kabla ya kuhamishiwa Mkoa wa Katavi.
Mei 14, 2019 Hayati John Magufuli alitengua uteuzi wake akiwa mkoani Katavi.
Mei 15, 2021, Rais Samia alimteua Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam
Pia, soma: Rais Samia, tuondolee huyu RC Amos Makalla mkoa wa Dar es Salaam
Hakuna kitu kama hicho!!sasa suala liko kwenye ngazi ya waziri(jafo) chini ya NEMC ndio wanasimamia zoezi hilo,hapo RC anauwezo gani wa kulizuia,leo mbunge msukumu ameliongelea bungeni,lakini spika amemjibu nini??kama hiyo operation ingekuwa chini ya mgambo wa jiji sawa.Kufunga kumbi za burudani inahusika
Nikiangalia ID yako hapa JF, nakuona kama verified user!....anakujaje huku kwa daslama...
Amewahi kuwa Naibu Waziri wa Maji.... Siyo Naibu Waziri wa Habari... Rekebisha hapo!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa kama ifuatavyo:
1. Bw. Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
2. Bw. Adam Kighoma Malima amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
3. Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
4. Bw. Albert John Chalamila amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Uhamisho huu wa Wakuu wa Mikoa unaanza mara moja.
View attachment 2623197
KUHUSU MAKALLA
Makalla alishawahi kushika nafasi ya katibu wa uchumi na fedha wa CCM na aliwahi kukaimu nafasi ya katibu wa umoja wa vijana wa CCM ( UVCCM).
Pia. Amewahi kuwa mbunge wa Mvomero kwa vipindi tofauti na mara ya mwisho alikuwa mbunge mwaka 2010 hadi mwaka 2015.
Makalla pia, amewahi kuwa naibu waziri wa habari enzi za utawala wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete.
Aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kisha kuhamishiwa Mkoa wa Mbeya kabla ya kuhamishiwa Mkoa wa Katavi.
Mei 14, 2019 Hayati John Magufuli alitengua uteuzi wake akiwa mkoani Katavi.
Mei 15, 2021, Rais Samia alimteua Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam
Pia, soma: Rais Samia, tuondolee huyu RC Amos Makalla mkoa wa Dar es Salaam
Acha vyombo kuvunjika sasa hata hukài na vitu vizuri, kama kipindi Chalamila alivyotumbuliwa akiwa njiani kuelekea kituo cha kaziKazi kweli kweli mwendo wa kufungua vitanda na kuvipandisha kwenye fuso kila siku [emoji1]