UTEUZI: Amos Makalla ahamishiwa Mwanza, Chalamila apelekwa Dar
Chalamila Dar??🤣🤣🤣🤣

Huu ni uchonganishi wa kumuondoa kabisa. Dar inahitaji mtu aidha mkorofi kama Makonda au mwenye hekma kama Mecky Sadick
Makonda alikuwa na ukorofi Gani!? Watu wanataka uongozi, alikuwa anafanyia sifa, na komoa komoa, akija Sasa atakuwa kituko!!
 
Kwa ulivyoandika basi Makala humjui. Makala ni mtoto wa mjini hapa hasaa, siyo mtu wa kwamba aanze kujenga network dar hii. Ni mkongwe kabisa hapa mjini.
Utoto wa mjini ndo kitu gani? Sasa yuko Mwanza usukumani huko na baada ya hapo utamsikia Katavi! Tena huyu mpuuzi alipaswa kwenda katavi au ruvuma huko!
 
Makonda alikuwa na ukorofi Gani!? Watu wanataka uongozi, alikuwa anafanyia sifa, na komoa komoa, akija Sasa atakuwa kituko!!
Wewe unafikiria ukorofi hadi upigane?Ukiwa RC Unaingilia majukumu ambayo siyo yako ni ukorofi huo!!alipokuwa RC yeye,ndio waziri wa ardhi,yeye ndio waziri wa mambo ya ndani,yeye ndio waziri wa fedha.Matokeo yake ilikuwa ni kuleta migogoro tu,ila alikuwa na godfather wake.
 
Mtaka haeleweki halafu ni much know.
Huyo mtaka aliyekamata mtu aliyebambikiwa maparachichi machanga!! Na kumfanya Mhalifu badala ya kumsaidia kutafuta waliomuingiza Chaka!! Hakika Jiji la Dar hataliweza!! Uwezo wake unatia Mashaka
 
Wewe unafikiria ukorofi hadi upigane?Ukiwa RC Unaingilia majukumu ambayo siyo yako ni ukorofi huo!!alipokuwa RC yeye,ndio waziri wa ardhi,yeye ndio waziri wa mambo ya ndani,yeye ndio waziri wa fedha.Matokeo yake ilikuwa ni kuleta migogoro tu,ila alikuwa na godfather wake.
Kipi Cha mwendelezo tumekipata!? Unaingilia sawa ila bila planning ni zero
 
Wewe unafikiria ukorofi hadi upigane?Ukiwa RC Unaingilia majukumu ambayo siyo yako ni ukorofi huo!!alipokuwa RC yeye,ndio waziri wa ardhi,yeye ndio waziri wa mambo ya ndani,yeye ndio waziri wa fedha.Matokeo yake ilikuwa ni kuleta migogoro tu,ila alikuwa na godfather wake.
Ndio maana pia nimesema tunataka uongozi na Sio kuingilia na kutukana wengine, au uliona kuvurugana na wajane bila mpangilio ndio uongozi!!??
 
Kwa ulivyoandika basi Makala humjui. Makala ni mtoto wa mjini hapa hasaa, siyo mtu wa kwamba aanze kujenga network dar hii. Ni mkongwe kabisa hapa mjini.
Kukaa dar sio kujua dar na Mambo yake huyo makala dar haijui ndiomana ilimpwaya mapema hata huko mwanza achukui round sababu amekaa kukusanyakusanya tuu huyu inamfaa mkoa Kama Lindi na wilaya Kama iramba, urambo au liwale na zingine Kama hzo inshort jamaa hajui kucheza na akili za anawao watumikia yeye nafikir pesa za uchaguz zilivyokata kabla nafkiri alikengduka sana
 
Back
Top Bottom