Acha uwongo. Makalla amekuwa mbunge wa Mvomero kwa vipindi tofauti, kipi na kipi??Pia. Amewahi kuwa mbunge wa Mvomero kwa vipindi tofauti na mara ya mwisho alikuwa mbunge mwaka 2010 hadi mwaka 2015.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uwongo. Makalla amekuwa mbunge wa Mvomero kwa vipindi tofauti, kipi na kipi??Pia. Amewahi kuwa mbunge wa Mvomero kwa vipindi tofauti na mara ya mwisho alikuwa mbunge mwaka 2010 hadi mwaka 2015.
Hapana ni uwezo wa ku solve migogoroNaona Mama kaambiwa kuwa Chalamila ndie anaweza kuwadhibiti wafanyabiashara.
Mbinu za kizamani sana.
Makonda alikuwa na ukorofi Gani!? Watu wanataka uongozi, alikuwa anafanyia sifa, na komoa komoa, akija Sasa atakuwa kituko!!Chalamila Dar??🤣🤣🤣🤣
Huu ni uchonganishi wa kumuondoa kabisa. Dar inahitaji mtu aidha mkorofi kama Makonda au mwenye hekma kama Mecky Sadick
Kaeni kwenye TV mle comedianChalamila kaja DSM tuinjoi mbwembwe zake
Utoto wa mjini ndo kitu gani? Sasa yuko Mwanza usukumani huko na baada ya hapo utamsikia Katavi! Tena huyu mpuuzi alipaswa kwenda katavi au ruvuma huko!Kwa ulivyoandika basi Makala humjui. Makala ni mtoto wa mjini hapa hasaa, siyo mtu wa kwamba aanze kujenga network dar hii. Ni mkongwe kabisa hapa mjini.
Hapo nikuchagua sehemu yakuishi unaweka makazi maalum hata ukitupwa kwingine unajua kabisa makao yangu makuu ni sehemu fulaniYaani mtu anajua kesho kuna agenda fulani na fulani utaamka nazo ghafla unatakiwa uende mahali pengine duh
Wewe unafikiria ukorofi hadi upigane?Ukiwa RC Unaingilia majukumu ambayo siyo yako ni ukorofi huo!!alipokuwa RC yeye,ndio waziri wa ardhi,yeye ndio waziri wa mambo ya ndani,yeye ndio waziri wa fedha.Matokeo yake ilikuwa ni kuleta migogoro tu,ila alikuwa na godfather wake.Makonda alikuwa na ukorofi Gani!? Watu wanataka uongozi, alikuwa anafanyia sifa, na komoa komoa, akija Sasa atakuwa kituko!!
Huyo mtaka aliyekamata mtu aliyebambikiwa maparachichi machanga!! Na kumfanya Mhalifu badala ya kumsaidia kutafuta waliomuingiza Chaka!! Hakika Jiji la Dar hataliweza!! Uwezo wake unatia MashakaMtaka haeleweki halafu ni much know.
Oya, Dalali Tena![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Amekaa kama dalali hivi
Ataanzia hapo hapo aliposhindwa mwenzie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Huyu jamaa ni mwamba na theluthi, sijui atadeal vp na issue ya kkoo
Kipi Cha mwendelezo tumekipata!? Unaingilia sawa ila bila planning ni zeroWewe unafikiria ukorofi hadi upigane?Ukiwa RC Unaingilia majukumu ambayo siyo yako ni ukorofi huo!!alipokuwa RC yeye,ndio waziri wa ardhi,yeye ndio waziri wa mambo ya ndani,yeye ndio waziri wa fedha.Matokeo yake ilikuwa ni kuleta migogoro tu,ila alikuwa na godfather wake.
Ndio maana pia nimesema tunataka uongozi na Sio kuingilia na kutukana wengine, au uliona kuvurugana na wajane bila mpangilio ndio uongozi!!??Wewe unafikiria ukorofi hadi upigane?Ukiwa RC Unaingilia majukumu ambayo siyo yako ni ukorofi huo!!alipokuwa RC yeye,ndio waziri wa ardhi,yeye ndio waziri wa mambo ya ndani,yeye ndio waziri wa fedha.Matokeo yake ilikuwa ni kuleta migogoro tu,ila alikuwa na godfather wake.
Ila angemrudisha Dar ingekuwa vzr zaidiNa kweli hawezi.Mama afumbe macho ampeleke Makonda Mwanza.
Kukaa dar sio kujua dar na Mambo yake huyo makala dar haijui ndiomana ilimpwaya mapema hata huko mwanza achukui round sababu amekaa kukusanyakusanya tuu huyu inamfaa mkoa Kama Lindi na wilaya Kama iramba, urambo au liwale na zingine Kama hzo inshort jamaa hajui kucheza na akili za anawao watumikia yeye nafikir pesa za uchaguz zilivyokata kabla nafkiri alikengduka sanaKwa ulivyoandika basi Makala humjui. Makala ni mtoto wa mjini hapa hasaa, siyo mtu wa kwamba aanze kujenga network dar hii. Ni mkongwe kabisa hapa mjini.
Acha ushamba,unamfananisha Magufuli na akina Chalamila!Tanzania mtu yoyote anaweza uongozi tu hata binti wa chekechea usishangae chalamila. Mbona Jiwe aliweza urais na mambo yakaenda tu?
Stroke magu2016 Crimea wakatanta voicer Kulwa Jilala Magonjwa Mtambuka
Ndumba na ngai!!Ila hii nchi tunaongozwa na watu wenye akili za kawaiiida sana...yaani raia wapo smart kuliko viongozi sijui ilikuwaje kuwaje!.