Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda alikuwa na ukorofi gani .yule alikuwa mpumbavu mara shisha mara ushoga .dar kairudisha nyuma sanaChalamila Dar??🤣🤣🤣🤣
Huu ni uchonganishi wa kumuondoa kabisa. Dar inahitaji mtu aidha mkorofi kama Makonda au mwenye hekma kama Mecky Sadick
WatanyookaBado TRA
Makonda alifanya vitu gani vya maana hapa Dar?Hope chalamila ataiweza sidhan Kama atamfikia makonda Ila atakaa pazuri Ila ajiposition vizuri Basi atamzidi makonda mbali
Makonda alituharibia tu jijimakonda au chalamila hilo jiji nadhani litakuwa tulivu sana
Hawezi. Pia sio mfuata sheria huwa anajiamulia tu mambo yake. Alishawahi kukwaruzana na waziri wa elimu kuhusu kambi za vijana za kujisomea. Lile lilikuwa ni doa kubwa sana.Huyo mtaka aliyekamata mtu aliyebambikiwa maparachichi machanga!! Na kumfanya Mhalifu badala ya kumsaidia kutafuta waliomuingiza Chaka!! Hakika Jiji la Dar hataliweza!! Uwezo wake unatia Mashaka
Wakuu wa mikoa wanakazi gani kama sio kubebana na kula pesa tuKumjudge Chalamila sasa hivi ni ujinga. Aje achape kazi tuone ndo tumjudge
Wakuu wa mikoa wanakazi gani kama sio kubebana na kula pesa tu
tasavali tuwekee na ule hii mufindi yetu uwiiiiii vanyalukolo kamwene ku daslamu kuna vanu na valangala feki!View attachment 2623229 tupate wimbo kwa mkuu wa mkoa dar es salaam
Nenda ukawe wewe basi!Chalamila? Seriously??
yaani raia wapo smart kuliko viongozi sijui ilikuwaje kuwaje!.
Jiandae kufukuzwa kazi una cheti fekiFutuhi analetwa hapa Dar?!
Full comedy ngoja tuone mtanange utavyokua😆😅😅😅Nasubiri comedy Kutoka kwa muheshy wa Dasilamu 😂😂😂
Chalamila ni mtu wa siku nyingi sanaaa mimi nina zaidi ya miaka 34 ila ni mtoto kwake jaribu kufikiriaChalamila ana uwezo wa kuongoza, tatizo ni zile drama zake
Watachapwa viboko[emoji16]Kwahio Chalamila ndio ataongea na wadau wa Kariakoo