Huyu ni Mbunge mtarajiwa Mvomero, 2025. Possibly Waziri ajaye.Huyo alibebwa na Kikwete baadae akabebwa na Magufuli nae akaona mzigo akamtupa mama kaja kamuokota analazimisha ila huyo ndio anaondoka hivo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Mbunge mtarajiwa Mvomero, 2025. Possibly Waziri ajaye.Huyo alibebwa na Kikwete baadae akabebwa na Magufuli nae akaona mzigo akamtupa mama kaja kamuokota analazimisha ila huyo ndio anaondoka hivo!
Hahahaha ntatafutatasavali tuwekee na ule hii mufindi yetu uwiiiiii vanyalukolo kamwene ku daslamu kuna vanu na valangala feki!
😀😀😀😀😀
Ni serious ila atatenguliwa serious 😂Chalamila? Seriously??
Shida ndo zimekufanya uwe serious hivo?Ndiyo maana mimi huwa nasema Tanzania itazidi kudidimia. Huyu ni mtu mzima hajui kuwa uongozi bora ni muhimu kwenye maisha yake. Anaona mbwembwe ndiyo muhimu tena kabisa anasema tu-enjoy! Ni elimu yetu inazalisha mindset za aina hii? Siku utakapojitambua kuwa hukutaka ku-enjoy mbwembwe za viongozi bali kuwa serious na kuwasimamia wawajibike utakuwa umeshachelewa.
ulitaka nani awe RC Dar?Eti Chalamila RC Dar, kweli CCM imeishiwa watu
Kwa msoto alopitia Kuna watu wataandika barua za kuacha kazi the moment anatangazwa maana atawatahiri Kwa moto wooote waliokaa kando kipindi yuko nje ya bahari waliompotezea[emoji16][emoji38][emoji16][emoji38][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]siyo tumesema tumewaza tu Kwa sauti...Mara paaap MAKONDA karudi DSM
Inataka kiongozi mwenye mitetemo ya singeli singeli mwenye amsha amsha ndo inachangamka....Wapi Makonda[emoji3166][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Chalamila Dar??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu ni uchonganishi wa kumuondoa kabisa. Dar inahitaji mtu aidha mkorofi kama Makonda au mwenye hekma kama Mecky Sadick
Idiot ehhh kajaribu kufanya huo u idiot uone kama utafikia alipo acheni kubeza maisha ya wenzenu hujui kapitia hustle ngapi halafu from no where unamuita mwenzako Idiot....What an idiot kind of yourself!
Sawa Polepole. Wasalimu CubaKazi ipoo.
Sasa Chalamila amebakiza Arusha tu...
Unajua Abbas Kandoro au umri hauruhusu?Amos Makala na Chalamila ndio wakuu wa Mikoa pekee waliwahi kuongoza Mikoa mikubwa ya Tanzania Kwa manaa ya Mikoa yenye uchumi mkubwa ambayo ni
Dar,
Mwanza
Mbeya View attachment 2623270
Kwa miaka ya hivi karibuni hao wababu wa miaka hiyo siwezi kuwakumbuka wote.Unajua Abbas Kandoro au umri hauruhusu?
Kama humjui Kandoro basi wee mgeni nchi hii....mpaka maji yale ya viroba yanaitwa Kandoro....Jiji la mwisho kuongoza ni Mbeya, mbunge akiwa Sugu huyuhuyu wa Chadema na Rais akiwa JK chukua hiyo dogo.Kwa miaka ya hivi karibuni hao wababu wa miaka hiyo siwezi kuwakumbuka wote.
Nafasi hii ilikuwa ya makonda ila wameona wivu tuMakonda atarudi hivi karibuni, muda ni wakati mzuri.