UTEUZI: Amos Makalla ahamishiwa Mwanza, Chalamila apelekwa Dar
Ndiyo maana mimi huwa nasema Tanzania itazidi kudidimia. Huyu ni mtu mzima hajui kuwa uongozi bora ni muhimu kwenye maisha yake. Anaona mbwembwe ndiyo muhimu tena kabisa anasema tu-enjoy! Ni elimu yetu inazalisha mindset za aina hii? Siku utakapojitambua kuwa hukutaka ku-enjoy mbwembwe za viongozi bali kuwa serious na kuwasimamia wawajibike utakuwa umeshachelewa.
Shida ndo zimekufanya uwe serious hivo?
 
Kuna namna Makalla alijitahidi sana ila Kuna mahali alikuwa anapwaya....Dar Inahitaji Mkuu wa mkoa mwenye bidii sana mbwembwe mingi awe sharp na smart kichwani sisemi Makalla hakuwa na vyote ila Kuna namna Chumvi haikukolea kwenye Chakula......
 
Temna Makalla ni bahati yaje kuhamishwa tu, huu mgomo usingetokea angesikiliza mapema kero za wafanyabiashara. Alibweteka.

Kwa maoni yangu, hatakiwi awepo kabisa katika serikali inayojali shida za watu.
 
Mara paaap MAKONDA karudi DSM
Kwa msoto alopitia Kuna watu wataandika barua za kuacha kazi the moment anatangazwa maana atawatahiri Kwa moto wooote waliokaa kando kipindi yuko nje ya bahari waliompotezea[emoji16][emoji38][emoji16][emoji38][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]siyo tumesema tumewaza tu Kwa sauti...
 
Chalamila Dar??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huu ni uchonganishi wa kumuondoa kabisa. Dar inahitaji mtu aidha mkorofi kama Makonda au mwenye hekma kama Mecky Sadick
Inataka kiongozi mwenye mitetemo ya singeli singeli mwenye amsha amsha ndo inachangamka....Wapi Makonda[emoji3166][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
#UTEUZI Rais sulu@samia_suluhu_hassan amemhamisha Albert Chalamila kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, akitokea mkoani Kagera.

#EastAfricaTV

1684209130317.png

1684209154077.png
 
Kwa miaka ya hivi karibuni hao wababu wa miaka hiyo siwezi kuwakumbuka wote.
Kama humjui Kandoro basi wee mgeni nchi hii....mpaka maji yale ya viroba yanaitwa Kandoro....Jiji la mwisho kuongoza ni Mbeya, mbunge akiwa Sugu huyuhuyu wa Chadema na Rais akiwa JK chukua hiyo dogo.

Pengine hukuwepo mjini time hiyo na Chalamila alipewa Mbeya baada Magufuli kumuondoa Kandoro Mbeya....... Kandoro,alikuwa RC Arusha, Dar, Mwanza na Mbeya...upo?
 
Back
Top Bottom