Utoroshwaji wa rasilimali za taifa letu uliofanyika awamu ya nne umerejea kwa kasi awamu hii ya Rais Samia. Watanzania tutaibiwa sana wakati huu

Utoroshwaji wa rasilimali za taifa letu uliofanyika awamu ya nne umerejea kwa kasi awamu hii ya Rais Samia. Watanzania tutaibiwa sana wakati huu

Wewe kenge kwa taarifa ni kwamba mtoroshaji rasmi wa mawe hayo amekiri kuwa yako zaidi ya mawe 28 na yote yalitoroshwa kipindi cha miaka 11 iliyopita.

Piga hesabu ni nani alikuwa rais wakati huo?

Mnakurupuka kuandika upupu bila kujiridhisha kwanza na vyanzo rasmi.
Anajitoa fahamu tu.
 
Kuna kampuni siku hz naiona kila kukicha kujipendekeza kwa Rais,najua wako na jambo lao wanataka kufanya yao
 
Na wizi utazidi kuendelea tu, Mama kashindwa kuongoza nchi, kakimbia Marekani kwenda kutizama Studio za filamu za huko. Hivi nani ni mshauri wa huyu Mama zaidi ya Kikwete jamani, nchi inamshinda.
 
Hakuna kipindi nchi hii kumefanyika wizi kama kipindi cha dhalimu, ilifikia mahali mpaka CAG hawapewi nafasi ya kukagua taarifa za fedha za miradi. Tunamshukuru Mungu kwa ufundi wake wa 17 march.
Miaka 11 nyumba mawe yamesobwa (kwa mujibu wa Gazeti la Mwananchi)...tulipoambiwa tumeibiwa mno, tumechezewa mno....hatukuelewa. Ya Dubai umeyasikia lakini kwa nia yako iliyojificha inawezekana hujayaona.
 
Miaka 11 nyumba mawe yamesobwa (kwa mujibu wa Gazeti la Mwananchi)...tulipoambiwa tumeibiwa mno, tumechezewa mno....hatukuelewa. Ya Dubai umeyasikia lakini kwa nia yako iliyojificha inawezekana hujayaona.

Achana na porojo za kijinga, tuliambiwa tumeibiwa sana, akina Kabudi wakakaa na Barrick miezi mitatu, kikao cha siri kupitia madai yetu ya $192b baada ya ripoti ya kina Profesa Ossoro. Hakuna chochote walipata cha kudhibitisha hayo zaidi ya kukubali malipo ya goodwill ya $700.

Kabudi bado yuko hai, mfuateni mumuulize maana yeye ndio aliongoza hicho kikao cha majadiliano adhibitishe ni kiasi gani tumeibiwa. Maana kwa mujibu wa maelezo ya Magufuli ni $300 tumeshapewa mpaka sasa, na ilitolewa kwa awamu. Makinikia yaliondoka, uliambiwa yaliondokaje? Maana mbwembwe za kukamata zilikuwa kubwa sana. Sasa sijui ni wizi gani unaongelea.

Anyway ngoja tuamini kweli tumeibiwa sana kama mnavyofuata upepo. Hata kama tumeibiwa, ni wazi kilichoibiwa sio kingi kulinganisha na tulichovuna, tuambie basi kiasi gani tumepunguza umasikini kutokana na hayo madini ambayo hayajaibiwa? Au yaliyoibiwa ni mengi kuliko ambayo hayajaibiwa?
 
Wewe kenge kwa taarifa ni kwamba mtoroshaji rasmi wa mawe hayo amekiri kuwa yako zaidi ya mawe 28 na yote yalitoroshwa kipindi cha miaka 11 iliyopita.

Piga hesabu ni nani alikuwa rais wakati huo?

Mnakurupuka kuandika upupu bila kujiridhisha kwanza na vyanzo rasmi.

Mawe 28 ndio yaliyoibiwa, je mawe mengine ambayo hayajaibiwa yamefanya nini na tuliyauza shilingi ngapi? Au tulikuwa tunategemea tu hayo 28 yaliyoibiwa?
 
Kwa hizi akili Tanzania bado tuna safari ndefu sana.

Makinikia yalikamatwa na likapigwa parapanda la kufa mtu, siku yanaondoka hayo makinikia uliambiwa, ni hatu zipi walichukuliwa hao wezi wa makinikia, na yalikuwa ni ya shilingi ngapi?
 
Hakuna kipindi nchi hii kumefanyika wizi kama kipindi cha dhalimu, ilifikia mahali mpaka CAG hawapewi nafasi ya kukagua taarifa za fedha za miradi. Tunamshukuru Mungu kwa ufundi wake wa 17 march.
Hizi ndo tunaita Akili piriton 😁😁 watu wanazungumzia wizi ulio wazi jitu linakuja kuchomeka mambo yakufikirika.
 
Makinikia yalikamatwa na likapigwa parapanda la kufa mtu, siku yanaondoka hayo makinikia uliambiwa, ni hatu zipi walichukuliwa hao wezi wa makinikia, na yalikuwa ni ya shilingi ngapi?
Atleast hayati lijitahidi hadi Twiga minerals ikazaliwa.
 
Atleast hatati alijitahidi hadi Twiga minerals ikazaliwa.

Nimecheka kwa nguvu, mfuate Kabudi akuambie hiyo Twiga mineral sisi kama nchi tunafaidika vipi. Ukiona profesa anaeleza mkataba ulivyo bila kueleweka vizuri, hapo ujue unatwanga maji kwenye kinu. Huenda mimi ndio sijaelewa alichosema Kabudi kwenye huo mkataba wa Twiga minerals. Hebu ww niambie Mkataba ukoje, na sisi kama nchi tunafaidika vipi na uwepo wa hiyo kampuni.
 
Mtu anakiri bila aibu kuwa alitorosha mawe 11 ya ruby yenye thamani kubwa alafu mnanegotiate nae nini?

Kwa nini msiyapokonye na kuyarudisha hapa Tanzania?

Haya je hilo la bil 276 alilolitorosha hivi majuzi?

Awamu ya jakaya ndio kipindi tuliibiwa?

[emoji116]
Ndio urefu wakamba yao ulipofikia
 
Nimecheka kwa nguvu, mfuate Kabudi akuambie hiyo Twiga mineral sisi kama nchi tunafaidika vipi. Ukiona profesa anaeleza mkataba ulivyo bila kueleweka vizuri, hapo ujue unatwanga maji kwenye kinu. Huenda mimi ndio sijaelewa alichosema Kabudi kwenye huo mkataba wa Twiga minerals. Hebu ww niambie Mkataba ukoje, na sisi kama nchi tunafaidika vipi na uwepo wa hiyo kampuni.
Unashindwa kuelewa nini hapa?
Screenshot_20220424-095023.jpg
👇
 
Wanaopaswa kutulinda sisi na mipaka ya nchi, watulinde. Wasizembee kwa namna yoyote ile.
 
Mtu anakiri bila aibu kuwa alitorosha mawe 11 ya ruby yenye thamani kubwa alafu mnanegotiate nae nini?

Kwa nini msiyapokonye na kuyarudisha hapa Tanzania?

Haya je hilo la bil 276 alilolitorosha hivi majuzi?

Awamu ya jakaya ndio kipindi tuliibiwa?

👇
Hilo jiwe lilitoroshwa zaidi ya miaka 10 iliyopita. Sasa miaka 10 iliyopita alikuwa anaongoza Samia? Soma hapa ili kujua namna walivyo torosha jiwe hilo How $120 million ruby left Tanzania
 
Back
Top Bottom