Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #21
Anajitoa fahamu tu.Wewe kenge kwa taarifa ni kwamba mtoroshaji rasmi wa mawe hayo amekiri kuwa yako zaidi ya mawe 28 na yote yalitoroshwa kipindi cha miaka 11 iliyopita.
Piga hesabu ni nani alikuwa rais wakati huo?
Mnakurupuka kuandika upupu bila kujiridhisha kwanza na vyanzo rasmi.