Utoroshwaji wa rasilimali za taifa letu uliofanyika awamu ya nne umerejea kwa kasi awamu hii ya Rais Samia. Watanzania tutaibiwa sana wakati huu

Utoroshwaji wa rasilimali za taifa letu uliofanyika awamu ya nne umerejea kwa kasi awamu hii ya Rais Samia. Watanzania tutaibiwa sana wakati huu

Awamu ya tano ndio iliongoza kwa wizi maana uamuzi ulikuwa wa mtu mmoja na ni marufuku mtu mwingine yeyote kuhoji.
 
Haha haha hahaa
Yaani Uarabu na Utanzania unatowa wewe?
Hiki ni Kioja kweli cha mwaka 2022.
Wewe hujui biashara,
Na wala hjui hayao Madini yanauzwa wapi na serikali inapataje Quarter yake .
Boswana wanachimba Madini,lakini husikii haya manenono ya Kijuha.
Tanzania ina makampuni kadhaa Makubwa ,yote yanachimba na kuondosha madini kwa ndege Binafsi, Inaonekana ni sawa.
Lkni akivuusha Madini Mtu binafsi ,tayari Mbwa wanabweka.
Hivi huoni wewe kuwa Wachimbaji wadogo na wanunuzi Binafsi wanasaidia kukuza Mitaji ya Raia Moja kwa moja na kutengeneza matajiri Mitaani na Kuongeza mzubguko wa pesa usio rasmi hatimae Maisha yakwenda kuwa mepesi kwa wengine?
Umelala wewe.
Mtwana usiyejijua na usiye juwa HAKI YAKO.
Nenda kafundishe madrasa. Huku JF haufai kabisa.
 
Mbona mapato ya hizo rasilimali yanaongezeka ilhali unasema zinatoroshwa?

Utoroshaji wa walanguzi wa awamu ya 5 waliokuwa wakishirikiana na maofisa wa serikali umeumulika?

Mwisho wapi Waziri aliposema wametorosha? Yeye mwenyewe hana majibu,Rais akirudi amfukuze huyo Biteko.

Akili zako ziko active retarded
 
Wala rushwa wakubwa ni hawa viongozi, mwaka jana zilipigwa pesa pale hazina Waziri Mkuu akaunda tume mpaka leo kimya
Hawa polisi, Tanesco, kiujumla tuseme watumishi waajiriwa serikalini hawa si wa ku deal nao, hawa mkuu wangu tunajisumbua tu.

Mzizi wa hili suala upo juu, hapo juu hata takukuru yenyewe inakuwa haina huo uwezo, hata kama wakijua wahusika, kumbuka hao ni viongozi walio top top.

Tatizo lianze kushughulikiwa toka juu kuja chini, uone kama hii tabia itakuwepo.
 
Mtu anakiri bila aibu kuwa alitorosha mawe 11 ya ruby yenye thamani kubwa halafu mnanegotiate nae nini?

Kwanini msiyapokonye na kuyarudisha hapa Tanzania?

Haya je hilo la bil 276 alilolitorosha hivi majuzi?

Awamu ya Jakaya ndio kipindi tuliibiwa?

👇
Tuanze na Tanzanite zilizokua zinavushwa kwenda kwa PK
 
wakojani wanaifilisi Bara. tangu ukoloni ni kawaida yao kushirikiana na wezi kutoka nje ya Tanzania kuiba mali za Bara.
 
Uwizi wa Sasa ni Bora kuliko ule uwizi uliofanyika kimya kimya .
Hivi ndugu mpk asahiv hebu twambie ni nini cha maana ambacho JPM kaiba kikaonekana kwa wananchi...? Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kwa jambo dogo tu... He was a clean man, acheni kumchafua
 
Hivi ndugu mpk asahiv hebu twambie ni nini cha maana ambacho JPM kaiba kikaonekana kwa wananchi...? Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kwa jambo dogo tu... He was a clean man, acheni kumchafua
mnatumia nguvu nyingi kumsafisha ila hasafishiki.
 
Back
Top Bottom