Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Maskini, watu wana dhambi sana, hivi si kosa la jinai kweli? Anaenda kufanyia nini? Serikali yao inachukuliaje hilo?
Kama wa ccmUongozi mbovu ndio chanzo cha hayo yote
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Loo! Kwa kweli nimeogopa.
Wakifika bongo mnistue maana huenda ikawa fulsa yakujikwamua
acha uongo, umempa moyo ukaweka apo betri au?Kidole tu dola elfu kumi?
Mimi kuna binti wa mtu nimempa moyo, na bado hajaridhika. Dunia haiko fair!
Mbona hela nzuri sana aisee, hii fursa ifike bongo tuichangamkie
Huku bongo hawaji? Maana &7000 huwez ziacha
Ukiuza vidole 10 una 70,000 USD sawa na 163,030,000.00 Tanzanian Shillings🐒Huku bongo hawaji? Maana &7000 huwez ziacha
Mzungu ni mpumbav sana
Sio wazungu wanaonunua,Mzungu ni mpumbav sana
Rudi usome UziMzungu wa wapi huyo anaenunua dole?
Umejiridhisha kabisa kuwa wananunua?
Mbona kutwa tunaenda ma hospitali yao na hawatufyeki mavidole haya
Natamani nijue ni wazungu gani hao
Hao ni waafrika wanaonunua kwa shirk zao na bado masikini tu
ACHA UONGO , Mtoa Mada.Wanauza vidole vyao vya mguu kwa wazungu
Rudi usome Uzi
Yetu hatujamaliza kuyajadili, mauaji yanaendelea kila kona ya nchi, kila kukicha tumevuka mipaka mpaka ZimbabweUzi una picha.
Nimesikitika sana kitendo cha Waafrika wenzetu tuliowapambania kipindi cha kumtoa mkoloni Leo hii wanauza vidole vyao vya mguu kwa wazungu tena kwa bei nafuu ya USD 7000 mpaka 10000.
Dole gumba ni $7000
Kidole cha Kati cha mguu ni $9000
Nakidole kidogo cha mguu ni $10000.
Swali langu ni kuwa kwani hawa wazungu haya mavidole wanapeleka wapi? Kwanini wasiwakate huko kwao mpaka waje kwetu Afrika lakini. Au ndokulipiza hasira kwa alichowafanyia Mugabe Gabriel kuwapora Ardhi. Yani Kuna mambo Waafrika tunakuwa treated kama Mavi vile maana ukienda Dubai Dada zetu wanalishwa kinyesi ukija Africa tunakatwa vidole sasa sijui nini Kosa letu mpaka watufanyie hivi.
Yani kwa siku wazimbabwe zaidi ya buku tatu wanakatwa vidole vya mguu sasa hawa wazungu haya mavidole wanapeleka wapi. Serikali iingilie Kati maana Kuna watu watataka wauze vyote. View attachment 2248380View attachment 2248381
Yetu hatujamaliza kuyajadili, mauaji yanaendelea kila kona ya nchi, kila kukicha tumevuka mipaka mpaka Zimbabwe
AhaaaaaNadhani kwa ushirikiana maana haiwezi kuwa kwa Mahitaji ya kisayansi maana unakatwa kidole ukiwa umevaa hata ndala,na wanatumia vile vifaa vya kukata bustani vipo Kama mkasi