Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Ni pesa nyingi ila ya majuto baadae.
Nadhani wengi wanaokatwa na kuuza hivyo vidole hawana mipango na hizo pesa.
Matokeo yake pesa inaisha na hujafanya cha maana.
 
Mambo mengine kutiana majaribuni tu[emoji16][emoji16][emoji16].

Hivi toka unazaliwa umeshawahi kuona kazi ya kidole gumba cha mguuni kweli!!!mkononi ni kutype ktk smartphone[emoji23]
Dah huyu jamaa fala sana 🤣🤣🤣
 
Ni pesa nyingi ila ya majuto baadae.
Nadhani wengi wanaokatwa na kuuza hivyo vidole hawana mipango na hizo pesa.
Matokeo yake pesa inaisha na hujafanya cha maana.
(Kama hii habari ni kweli)Hio pesa hata ukiweka mipango haiwezi kukaa,kumbuka inaenda kufanyiwa kazi za kishirikina huwezi kubaki salama
 
😄😄
 

Attachments

  • Tapatalk-Download1769716670255629277955_status_403bf4925b9e49dca603ae166250a341.mp4
    1.9 MB
Kuna mtu yupo zim nmemgusia
Kaniambia ni blh blh tu

Ova
 
Sasa waache wabongo wafyeke vidole vyao wakauze waone kama watauza

Ova
 
Sasa waache wabongo wafyeke vidole vyao wakauze waone kama watauza

Ova

Tatizo wengi ni wavivu au ujinga hawawezi kufuatilia habari kwa undani na kujiridhisha
Yaani wakisikia kitu wanalibeba hivyo hivyo
Wengine wameamini mpaka kuwatukana wazungu eti wananunua vidole [emoji23][emoji23]
Mzungu sio vidole akitaka kuwajaza kwenye meli anawajaza watu kama hao kwa kuwaambia Kuna fursa Ulaya pandeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…