Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana



"Hii inampa uhuru mtu kununua kiwanja popote nchini bila kufika ili mradi anakiona"

Tanzania? Kununua kiwanja bila kufika? He he he! We unaishi Tanzana? Haujui migogoro ya ardhi yote chanzo sio mifumo, ni watumishi wa wizara ya ardhi?
 
"Hii inampa uhuru mtu kununua kiwanja popote nchini bila kufika ili mradi anakiona"

Tanzania? Kununua kiwanja bila kufika? He he he! We unaishi Tanzana? Haujui migogoro ya ardhi yote chanzo sio mifumo, ni watumishi wa wizara ya ardhi?
Ngoja tujilipue
 
unataka taarifa ipi si uingie mtandaoni uwe unaviona viwanja vinavyouzwa shida nini? na ununue @ your own willingness au unataka mpaka upewe na bando?
Hutapata hata muda wa kuviona. Soma hoja yangu utanielewa ... Ndani ya robo saa miamba wanakuwa wamevi 'chukua' vyote. Lakini vilivyo maeneo ya kawaida au mbali na mji utaviona vingi tu
 
any update?
 
Na mimi nimeona hizo gharama za hati, halaf ziko separate na gharama za kiwanja sasa sijui zenyewe nalipia kwa control number ile ile ya kulipia kiwanja. Mwenye uzoefu ashee tafadhali
 
Na mimi nimeona hizo gharama za hati, halaf ziko separate na gharama za kiwanja sasa sijui zenyewe nalipia kwa control number ile ile ya kulipia kiwanja. Mwenye uzoefu ashee tafadhali
usilipie gharama za hati kwa ile control number, nenda halmashauri ukishalipia watakupa form ujaze ndo ufuatilie hati ofisi za ardhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…