UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote

UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote

Hii NCHI ipo mbioni kupasuka ni suala la muda. Kuna mpasuko Mkubwa wa kidini, kisiasa na kiitikadi.

Hilo hata mi nahisi uwezekano wa kutokea ni mkubwa rais ndo chanzo cha yote hayo, kaa kimya tu bila any say wakati ye ni kiongozi mkuu!

Yo kwa yote amedhihirisha ni kwa namna gani mwanamke ye yote hafai kupewa uongozi wo wote ule po pote pale!

MUNGU SIO MJINGA KUTOKUWASHIRIKISHA HAO VIUMBE KWENYE SHUGHULI ZAKE PO POTE PALE
 
Lissu aache ujinga,ninakumbuka wakati wa tetesi za kifo cha Magufuli alikuwa anaandika twits za kufurahia sana tena sana.Yaani hata asiende huko kujichoresha kwa jinsi alivyokuwa anamtukana Magufuli na jinsi alivyofurahia kifo chake waziwazi kabisa.Magufuli mwenyewe alitamka "Mtanikumbuka"Hata miaka mitatu haijatimia kweli tunamkumbuka na hata waliofurahia kifo chake wanamkumbuka.
Hata mimi nilikunywa usiku kucha na kuchinja mbuzi na wenzangu! Yule hakuwa mtu!
 
Ukiona hivyo tambua tu UONGOZI wa juu ni lege lege mtu kutamka hivyo anajua kabisa hawezi wajibishwa wala kukemewa

Ni dhahiri shairi mama uongozi hauwezi kabisa!
 
Lengo lao liko wazi: kututisha ili tuogope kufanya mikutano ya hadhara wilayani Chato leo. Hatutishiki & hatutakubali kutishwa. Tunaelekea mkutanoni Chato sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
1690972522929.png


=
Wako Live |
 
Kama rais samia ataruhusu haya yatokee na vyombo vya dola visiwakemee hawa basi hakuna shida mkimgusa lissu na nyie watu wa chato mjiandae kwa lolote mtakalolipata toka moshi arusha mbeya singida na kwengineko ccm kemeeni hili la sivyo mtajuta!
Nasikia bado Ana pamba masikioni
 
Lisu alimtukana sana magufuli, alikuwa anamuita dikteta uchwara
toa upuuzi wako hapa kumuita mtu dictator uhwara ni tusi? hembu eleza matusi ambayoalishawahi kutukanwa huyo magufuli usiwe kasuku mwehu wewe
 

Kumekucha. Mbwa ukimzoea sana atakufata hadi msikitini.

Ndiyo yanayotokea Chato, umoja huo wa vijana Chato unatoa tamko bila hofu ya dola kuwa hawatakubali kuona Lissu anakanyaga Chato na watafanya lolote huku wakitumia jina la Rais Samia kama kinga ya uovu wao.

Najiuliza, hivi UVCCM wamefikia mahali pa kutangazia umma kuwa fulani aende wapi na wapi asiende Tanzania hii? Hivi hao wachovu wanauwezo wa kuwa zuia vijana wa CHADEMA kama wataamua kuwalinda viongozi wao au watategemea nguvu za dola?

Na serikali mbona iko kimya kwenye tamko la kihuni kama hili huku tayari uvunjifu wa amani na gari kuchomwa moto tayari? Bandari imeleta haya yote, naiona DAMU ikienda kumwagika maana hoja zimeshindwa kujibiwa.

Litakuwa tamko kutokea kwa watu was jamhuri ya Chatto.

Kama ndivyo na kama huyu mwasi angali guru uraiani IGP na awajibishwe kama naye yungsli ofisini.

Wendawazimu was namna hii si wa kufumbiwa macho.
 
Hii nchi siielewi inachotaka kwa sababu hata mwenyekiti wa CCM alishamkana JPM na Ideologies zake ndio maana amekumbatia mafisadi, wafanya biashara wakwepa kodi n.k. alishatamka mbele ya watu kwa huyu mtu wa GSM kwamba yeye hataguswa. Sasa hawa UVCCM chato wanafikiri CCM bado ipo na JPM kweli?
 

Kumekucha. Mbwa ukimzoea sana atakufata hadi msikitini.

Ndiyo yanayotokea Chato, umoja huo wa vijana Chato unatoa tamko bila hofu ya dola kuwa hawatakubali kuona Lissu anakanyaga Chato na watafanya lolote huku wakitumia jina la Rais Samia kama kinga ya uovu wao.

Najiuliza, hivi UVCCM wamefikia mahali pa kutangazia umma kuwa fulani aende wapi na wapi asiende Tanzania hii? Hivi hao wachovu wanauwezo wa kuwa zuia vijana wa CHADEMA kama wataamua kuwalinda viongozi wao au watategemea nguvu za dola?

Na serikali mbona iko kimya kwenye tamko la kihuni kama hili huku tayari uvunjifu wa amani na gari kuchomwa moto tayari? Bandari imeleta haya yote, naiona DAMU ikienda kumwagika maana hoja zimeshindwa kujibiwa.
siasa inapochukua akili za watu
 
Kiukweli hii sio sahihi. UVCCM kwa ujumla wamekuwa na upuuzi mwingi sana. Mimi siwakubali kabisa hawa vijana wa hovyo. Alichotamka huyo mwenyekiti wa CCM ni kama tu kuanzisha machafuko bila sababu. Halafu kakosea sana kutamka huu ushuzi wakati huu chama kinashambuliwa kuwa kinahusika na kuchoma gari la Chama Cha Mbowe. Ninadhani mwenyekiti wa CCM na viongozi wa juu watawachukulia hatua za kinidhamu hawa wahuni wa Chato wanaotumia UVCCM vibaya.
 
Back
Top Bottom