Amina Amina AminaHuyu Heri ni mpuuzi wa kiwango cha matope.
Yaani zile kauli zake za kuua leo ana ziombea msamaha?
Aseme aliua wangapi?
Anatakiwa ajue sasa utawala wa Kisukuma unaelekea mwisho. Unafiki wa kumtaja Mungu huku hamtendi sawa na mapenzi yake umekwisha.
Sasa Mungu katuletea mja wake. Mama Samia, mtumishi wa Mungu atutoe kwenye mateso ya miaka mitano.
Sasa wameanza kuona mambo yamebadilika haraka snUvccm kwa kipindi chote cha utawala wa magufuli, wamekula sana bata! Yaani hawakufanya siasa zozoote zile za maana za kukijenga chama chao!
Maana pesa za kuwahonga wapinzani njaa zilitolewa kutoka juu, dhuluma, ukandamizaji, na uonevu vilifanywa mchana kweupe kwa wapinzani kupitia polisi na watu wasiojulikana!
Sasa haya yote yatabakia kuwa historia! Maana udikteta umekufa kifo ambacho hakikutarajiwa na wengi! Wakiwemo hao uvccm wenyewe na MATAGA kwa ujumla wake.
Hii ni nafasi yetu watanzania kuzidisha maombi kwa mama yetu Samia awatupe kabisa watu kama huyu Hery James na Sabaya[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] waliteka na kutesa sana sijuwi mwisho wake walijua wa Tanzania wote zaidi ya 60M wataungana mkono mawazo yao!
Sijui walipa pata wapi haya marifa ya kishamba ya kuteka na kutesa [emoji24][emoji24][emoji24]
Hakika Mungu ni mwingi wa rahma!!
Tulikuwa tumesha fika pabaya pabaya kuliko!![emoji24][emoji24]
Hawaamini kinachoendelea maana walikuwa wanajiita kama SUKHUMA EMPIRESasa wameanza kuona mambo yamebadilika haraka sn
Hilo ndiyo ombi la mamilioni ya watanzaniaSi ndie alikuwa akijinasibu kuua?
Si kijana wa 'hayati'
Huyu anatakiwa kuungana na bashite kujibu tuhuma za 'kudhulumu' maisha ya watu.
Akaozee ukonga au butimba kwaoHuyu mhuni anatakiwa kuwawa kabisa ameumiza sn watanzania
Ameomba kama Mwenyekiti wa UV CCM, na kasema wazi kuna mahali CCM ilichochea uhasama.Anayeomba radhi ni yeye James au UVCCM?
Manake chuki huchochewa na mtu mmoja mmoja!
Hao hao ndiyo wasiojulikana sasa wanaanza kujitambulisha ili wajulikaneWatu wasiojulikana nao wakiwaomba radhi wadanganyika mnishitue niwambie siri niliyoachiwa ndotoni na nanihino
Wapumbavu sn acha wakafie mbaliHawaamini kinachoendelea maana walikuwa wanajiita kama SUKHUMA EMPIRE
Hawa watu hukumu yao ni kuwafungulia mashitaka ya uchocheziAmeomba kama Mwenyekiti wa UV CCM, na kasema wazi kuna mahali CCM ilichochea uhasama.
Nakushauri na wewe Mwenyekiti wa wanaCCM wa JF mtuombe radhi watanzania wa JF kwa jinsi mlivyosababisha uhasama.
Walijisahau sana na kujiona kama miungu watuHiki kijamaa kilikuwa knaongeaga utazan knataka kuchomoka ulimi,pimbi kabsa
KabisaAkaozee ukonga au butimba kwao
Sema tu bila kuogopa, kwenye genge la wasukuma.bora inchi imerudi serikalini, maana inchi ilikuwa vichochoroni uko kwenye genge la wahuni wasiyoheshimu katiba waligeuza Tz gheto