Kwa iyo unataka kusema hakuna mtz aliewaambia wasizingue, bali ni ivyo vitisho vya mabwana zenu wa kizungu
 
Itoshe kusema kua MATAGA ni kikwazo mojawapo cha maendeleo nchini. over!
 
Mkuu kwa mara ya kwanza Leo umeshauri vizuri!!
 
Leo Viongozi wa chadema wakiongozwa na Mbowe wameonesha usaliti kwa mara nyingine. Awali walijiweka kama wanajali wananchi ila leo wamekuwa tayari kuangamiza watanzania kisa Lissu.

Walijivika joho la WHO huku wakihubiri Sera za kubaki ndani maarufu kama Karantini kumbe ni unafiki mkubwa.
Tuwapime, tuwashangae, tuwakatae.
 
Karibu Mjini Dar tutaambatana na kiobgozi wetu mpenda amani na haki. Unajisikia Ufahari ulioje kwenda msibani na Lissu??
Kesho msibani kutafurika.
 

Covid-19 karudi Wuhan, China.
 
Naona umebaumiza kwa hili.. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Ukweli una πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
 
Unafikiri cdm Ni Kama hilo lichama chakavu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…