Jamani yule bwana mnasema amepona mbona anatembea kama kaa au kiuno wamekipunguza huko ubelgiji?
 
Asanteni sana @tanpol !!! Tunawapenda SANA!! SISI ni watu wema!!! Tanzania ni YETU SOTE. Tusiruhusu maslahi ya WATU wachache watuvurugie UPENDO wa ASILI wa TAIFA LETU-Halima Mdee
Watasifiwa na hatutoacha kuwasifia watekelezapo wajibu wao kiweledi... wakichemka tutasema maana Tanzania ni yetu sote na urithi wa vizazi vijavyo.
Kuna wimbo huimbwa "...raia kama raia... nitarudi..." ni ndugu zetu twaishi nao kwa wema...
LAZIMA TUAMINIANE
 

Unamshauri TL ambane na CCM kwa sera? Mbona hujaishauri CCM ifanye hivyo hivyo badala ya kupambana na Lissu na upinzani kwa risasi na mauaji?
 
Inakuuma sana kwa ile nyomi/poor on you mkuu
 
Mh tundu lisu dunia imeona ulichofanyiwa na ujio wako umewatia aibu watesi wako.

Mapokezi yako yawape heshima waliokuja kukulaki. Ili waiandike historia Yao ya mapenzi na amani kupitia wewe.

Tal the great

Hivi wewe unayetoa huu ushauri kwa TL ulishawahi hata kujeruhiwa kwa kisu na vibaka ukatoroka? Unaelewa nini kuhusu risasi kupita mwilini? Unajua nini kuhusu kuwa katika coma kwa masaa 6?

Kama hujui jibu la moja wapo ya maswali hayo basi funga kopo lako kalale. Ushauri huo kawape CCM waliotumwa na shetani kuondoa uhai wa Mtanzania mwenzao bila chembe ya huruma.
 
An alternative apology. Hakuna kitu kama hicho. Ujasiri wa Lissu hata wao wameshikwa na butwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…