Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MATAGA ni kikwazo cha maendeleo yaani akili zenu wote zina makamasi sijui mmerogwa... nguruwe banaHaya mliyemhitaji amefika, sijui mtamfanya nini maana hata hana mvuto, watanzana walio wengi hawana habari nae
leo kama kijasho kimewatoka adi mnakosa usingizi poleni[emoji23][emoji23][emoji23] na bado tukutane kampeni seasonUsingizi hauji leo "wanyimaji haki ya kuishi"!!??
Bashite anakusalimiaNaona umebaumiza kwa hili.. [emoji2][emoji2][emoji2]
Ukweli una [emoji382][emoji382][emoji382]
Jamani yule bwana mnasema amepona mbona anatembea kama kaa au kiuno wamekipunguza huko ubelgiji?Halima amefanya vyema, si vibaya chama kikatoa shukran rasmi kwa jeshi la polisi, hata kama ni kwa kinafiki. Pia nashauri sana Tundu Lisu ashauriwe kutokwenda kesho msibani. Kwangu bado Lisu ana hasira na lile shambulio, kwa vyovyote atataka kuionyesha serikali na hasa rais Magufuli kuwa amepona. Na mashabiki wake wanaweza kuonyesha furaha iliyopitiliza ambayo itaipa serekali kuchukua maamuzi hasi.
Kwakuwa wamemstahi leo, ni vyema angeachana na huo msiba, kuna nafasi kubwa ya kushindana na ccm. Na kama itawezekana kuanzia sasa Lisu pia ashauriwe asitumie lugha kali za kupandisha hamasa za chuki, bali apambane na ccm kwa sera. Kuna sehemu nyingi sana za kuwazidi ccm, mfano huu rushwa ya juzi kwenye chaguzi zao, ajira, ugumu wa maisha wa wananchi, demokrasia nk. Ni vyema apange vizuri mashambulizi yake kisiasa, kuliko kuonekana anambana na mtu binafsi, kwa ajili ya shambulizi binafsi.
Watasifiwa na hatutoacha kuwasifia watekelezapo wajibu wao kiweledi... wakichemka tutasema maana Tanzania ni yetu sote na urithi wa vizazi vijavyo.Asanteni sana @tanpol !!! Tunawapenda SANA!! SISI ni watu wema!!! Tanzania ni YETU SOTE. Tusiruhusu maslahi ya WATU wachache watuvurugie UPENDO wa ASILI wa TAIFA LETU-Halima Mdee
Nilikuwepo , nimepeana mkono na Raisi Lissu mbowe mnyika lema msigwa sugu . Nimefurahi sana leoPost zile za vitisho na kujimwambafy zimeisha sasa zimebaki hizi za uzushi na kulialia
Jr[emoji769]
Halima amefanya vyema, si vibaya chama kikatoa shukran rasmi kwa jeshi la polisi, hata kama ni kwa kinafiki. Pia nashauri sana Tundu Lisu ashauriwe kutokwenda kesho msibani. Kwangu bado Lisu ana hasira na lile shambulio, kwa vyovyote atataka kuionyesha serikali na hasa rais Magufuli kuwa amepona. Na mashabiki wake wanaweza kuonyesha furaha iliyopitiliza ambayo itaipa serekali kuchukua maamuzi hasi.
Kwakuwa wamemstahi leo, ni vyema angeachana na huo msiba, kuna nafasi kubwa ya kushindana na ccm. Na kama itawezekana kuanzia sasa Lisu pia ashauriwe asitumie lugha kali za kupandisha hamasa za chuki, bali apambane na ccm kwa sera. Kuna sehemu nyingi sana za kuwazidi ccm, mfano huu rushwa ya juzi kwenye chaguzi zao, ajira, ugumu wa maisha wa wananchi, demokrasia nk. Ni vyema apange vizuri mashambulizi yake kisiasa, kuliko kuonekana anambana na mtu binafsi, kwa ajili ya shambulizi binafsi.
Yakikukuta au yakimkuta mjombaako ama mkaza mjombaako uje na kauli za aina hiyo. Hujafa hujaumbikaJamani yule bwana mnasema amepona mbona anatembea kama kaa au kiuno wamekipunguza huko ubelgiji?
IGP Sirro you deserve my support. Salute!Asanteni sana @tanpol !!! Tunawapenda SANA!! SISI ni watu wema!!! Tanzania ni YETU SOTE. Tusiruhusu maslahi ya WATU wachache watuvurugie UPENDO wa ASILI wa TAIFA LETU-Halima Mdee
Leo Viongozi wa chadema wakiongozwa na Mbowe wameonesha usaliti kwa mara nyingine. Awali walijiweka kama wanajali wananchi ila leo wamekuwa tayari kuangamiza watanzania kisa Lissu.
Walijivika joho la WHO huku wakihubiri Sera za kubaki ndani maarufu kama Karantini kumbe ni unafiki mkubwa.
Tuwapime, tuwashangae, tuwakatae.
Kila sababu mtasema lakni msiempenda kaja.Haya mliyemhitaji amefika, sijui mtamfanya nini maana hata hana mvuto, watanzana walio wengi hawana habari nae
Sana hii ni kazi nzuri wamelinda usalama wa raia na mali zao.Hongera Kamanda Siro na team yote Polisi mnasitahili kongole.
Mh tundu lisu dunia imeona ulichofanyiwa na ujio wako umewatia aibu watesi wako.
Mapokezi yako yawape heshima waliokuja kukulaki. Ili waiandike historia Yao ya mapenzi na amani kupitia wewe.
Tal the great
An alternative apology. Hakuna kitu kama hicho. Ujasiri wa Lissu hata wao wameshikwa na butwaaHongera sana jeshi la polisi,ila walichofanya leo ni kuhakikisha Lisu hapati kuvuma kimataifa kama ambavyo polisi wangemkamata siku ya leo,ushauri tena,wamuache bila kumgusa ili wasimuweke katika ramani ya vyombo vya habari,zaidi atabaki youtube na twitter ila wakimgusa,dunia nzima itamtangaza na hapo tutaongea mengine.
Kwani KLM na SWISS zimeshafungua milango kuja BONGO? hapa ISSUE ni ujio wa RAIS MTARAJIWA TU.
Hakika wamefanya kitu chema maana Tanpol wangeingilia wangechafua taswira ya nchi yetu!!Asanteni sana @tanpol !!! Tunawapenda SANA!! SISI ni watu wema!!! Tanzania ni YETU SOTE. Tusiruhusu maslahi ya WATU wachache watuvurugie UPENDO wa ASILI wa TAIFA LETU-Halima Mdee