MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,174
Mask za nini? Muheshimiwa Rais wetu Mpendwa, Kiongozi shupavu ameshatuhakikishia hakuna Korona; Tena anawashangaa wanao vaa mask;wafuasi wake kuvaa masks? Huoni kwamba katika hili CHADEMA kinacheza ngoma ya CCM?
Vipi kwani kwa marehemu mmezingatia ukisemacho?COVID-19 imeisha?! No more masks, no social distancing etc. Hapa ndio ninatatizwa na sera za vyama vya upinzani hapa nchini.
Baadhi ya watu humu wana stress sio kawaida.Una shida mahali, maneno yako sio ya mwanamke aliye sawasawa
nikirefer ishu ya Babutale na comment zako hapa nashawishika kusema wewe hauko sawa
Watanzania wenye akili timamu View attachment 1518467
Umewanyanyapa vilema siyoKwa huyo kilema!
Its a mammoth crowd!
Viva Lissu, viva kamanda mpigania haki, karibu nyumbani, tunafurahi kuuona tena uso wako, karibu nyumbani umwage pombe, hatutaki gongo iendelee kutawala na kuharibu taswira ya Tanzania yetu nzuri
Kweli mimi siyo mwanamke aliye sawa sawa. Mimi ni mwanamke na robo tatu.Una shida mahali, maneno yako sio ya mwanamke aliye sawasawa
nikirefer ishu ya Babutale na comment zako hapa nashawishika kusema wewe hauko sawa
SHAZI KOPARIZONI IKOJE BITWINI
UHURU VS JKNIA
Wewe utakuwa ndata tu! akili huwa matakoni daima! unangojea amri ya kupiga! wenzako wameshashtukia mchezo wako kimachale! wameruhusu rais wao apokeleweAti kaomba msaada unajua maana ya Taasisi ya Rais we kapuku ..unadhani yule dosti wenu kuna ata sisimizi anamstua CHADOMO kwa vituko bhana umnastahili pongezi.
Hahahaha mshaanza kutubu sasa
Kunywa panado maana naona unawewesekaMwenye link tafadhali.. nione mapokezi laivu.. naona kwa TiVi.. hakuna laivu..
Niwaone akina wadonoaji kibodi.. wa humu.. wakicheza.. singeli..kwa furaha ya kumwona kiongozi wao Lissu..
2020 JPM bila mashaka.. hongera kwa Polisi.. kuwaruhusu wamufurahie kiongozi wao.. wenzangu hawa humu pia..
BBC walikuwa live naona wamepigiwa simu waache wamenikera sanaHata WATETEZI TV pia haitoi sauti
Kujenga terminal 3 sio favour kwa watz ni wajibu wao ambao waliomba kuufanya.Sasa hapo umeonewa nini? Mara ooh Serikali ya CCM haijafanya lolote. Oneni sasa mnavyoifurahia Terminal III
Namaanisha akili zako ziko kishirikina zaidi na yawezekana hata dish limeyumbaKweli mimi siyo mwanamke aliye sawa sawa. Mimi ni mwanamke na robo tatu.
Huyu mwamba tuko naye siku zote Bia Yetu
Kwanini mkuu, mi nipo ndani ndani huku Mwanarumango nauliza tu hali ipoje huko mjini?Wacha masihara mkuu
Kwanini mkuu, mi nipo ndani ndani huku Mwanarumango nauliza tu hali ipoje huko mjini?