Kwanini mkuu, mi nipo ndani ndani huku Mwanarumango nauliza tu hali ipoje huko mjini?
Haipendezi bwana kupiga na kuvunja watanzania viungo vya mwili kisa eti wameenda sehemu flani.Perfect!
Pengine walikuwa wakitumwa na yule kijana aliyepigwa chini kule kigamboni!Kumbe Polisi Tanzania huwa wanakuwa na Busara hivi ( hasa hii walioionyesha ) leo hapo JNIA sasa ilikuwaje huko nyuma walikuwa ni Wanoko tu?
Kwa hiyo nikivuta subira nitamuoa binti yako wa kwanza uwe mama mkwe. Ngoja nimsubiriNishaolewa miaka 13 iliyopita.
Mkuu wamepewa maagizoKumbe Polisi Tanzania huwa wanakuwa na Busara hivi ( hasa hii walioionyesha ) leo hapo JNIA sasa ilikuwaje huko nyuma walikuwa ni Wanoko tu?
Haipendezi kabisa. Hata kidogo.Haipendezi bwana kupiga na kuvunja watanzania viungo vya mwili kisa eti wameenda sehemu flani.
Bodaboda wamekodiwa wamelipwa Chao Kama kipindi Cha Lowasa . Hongereni Bodaboda kwa kupiga pesa za uhakika LeoLissu ana nyota na ndio chanzo cha yeye kuwa Target tokea hapo mwanzo.
Kwa jinsi ambavyo hatuchukui tahadhari kama nchi zingine za Ulaya na Marekani, mantiki inaniongoza kufikiri kwamba sisi tulio masikini na tusio na mifumo mizuri ya kutolea huduma za afya, ndiyo tungeathirika zaidi na athari zake zingeonekana waziwazi maana vifo vingekuwa vingi mno, hata kama haiui papo kwa hapo.Kwani mtu akipata Corona anaanguka hapo alipo na kufa? Inawezekana watu wana kufa nyumbani kwao kwa magonjwa ambayo yamewaathiri zaidi kutokana na Corona. Hiyo hatujui kwa sababu watu hawapimwi Corona kwa sababu haipo.
Amandla...
Siamini Kama ni wwNamtakia Lisu usingizi mwema akisubiri kura za Nani wa kupeperusha bendera ya uraisi Chadema Kati yake na wagombea wengine
Nimeiona Demokrasia kamati kuu chadema Nina imani na baraza kuu watawapa Haki yao Lisu na Nyalandu na yule mama na Baada ya kura asiwepo w kupiga yowe Ohhh Mimi nimeonewa
Chadema nawakubali kwenye kura za mgombea Uraisi mko fair pamoja na kuwa siipendi Chadema mumeiachia demokrasia ichukue mkondo wake kamati kuu mkiiga CCM chama changu huko Kwingine naamini mtaachia demokrasia ifanye kazi
Namtakia Lisu usingizi mwema akisubiri kura za Nani wa kupeperusha bendera ya uraisi Chadema Kati yake na wagombea wengine
Nimeiona Demokrasia kamati kuu chadema Nina imani na baraza kuu watawapa Haki yao Lisu na Nyalandu na yule mama na Baada ya kura asiwepo w kupiga yowe Ohhh Mimi nimeonewa
Chadema nawakubali kwenye kura za mgombea Uraisi mko fair pamoja na kuwa siipendi Chadema mumeiachia demokrasia ichukue mkondo wake kamati kuu mkiiga CCM chama changu huko Kwingine naamini mtaachia demokrasia ifanye kazi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wewe mwenyewe ni lofa siku ya kupiga kura hutakuwepo utakuwa umekufa kwa Corona ilyomuua babu yako kwa kafara la cyprian Musiba na Bashite
Tunawapongeza Polisi wetu. Wamefanya kazi nzuri. Kazi kama hii idumishwe kwa raia wote . Iwe ccm, Act- wazalendo , NCCR au Chauma au hata SAULengo lilikuwa ni kutisha watu ili wasijitokeze.
Hapo wametisha nyomi Kama hiyo, vp kama wasingetishaWamefeli vibaya sana
Kwa haya mapokezi ni dhahiri Lissu ndio mpeperusha bendera wa CDM. Hili liko wazi kamati kuu imebaki kupitishaa tuuNamtakia Lisu usingizi mwema akisubiri kura za Nani wa kupeperusha bendera ya uraisi Chadema Kati yake na wagombea wengine
Nimeiona Demokrasia kamati kuu chadema Nina imani na baraza kuu watawapa Haki yao Lisu na Nyalandu na yule mama na Baada ya kura asiwepo w kupiga yowe Ohhh Mimi nimeonewa
Chadema nawakubali kwenye kura za mgombea Uraisi mko fair pamoja na kuwa siipendi Chadema mumeiachia demokrasia ichukue mkondo wake kamati kuu mkiiga CCM chama changu huko Kwingine naamini mtaachia demokrasia ifanye kazi
Ni Kama wale waliomuua akwilina asiye na hatua kwa kuftyatua risasi Hadi kumkuta raia asiye na hatia, hafu hao police hawakushtakiwa popote mpaka leo.Haipendezi kabisa. Hata kidogo.
Na kwambia kama poliai hawatavuruga watu watatembea kutoka airport hadi kinondoni na hutosikia hata mende aliyekanyw
agwa njiani.
Pengine walikuwa wakitumwa na yule kijana aliyepigwa chini kule kigamboni!
Maana akili zake anazijuwe mwenyewe!
leo Bashite angekuwa kazini angekua tayari ameshawagiza polisi wavuruge mapokezi.Kumbe Polisi Tanzania huwa wanakuwa na Busara hivi ( hasa hii walioionyesha ) leo hapo JNIA sasa ilikuwaje huko nyuma walikuwa ni Wanoko tu?
Hapo wametisha nyomi Kama hiyo, vp kama wasingetisha
Mtu akifanya zuri apongezwe. No hate no Fear.Kwa mara ya kwanza tangu umejiunga jf leo hii ndiyo umeandika ki GT.
Unafiki umeweka pembeni na ukasimamia ukweli.Hongera sana