Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu ana nyota na ndio chanzo cha yeye kuwa Target tokea hapo mwanzo.Alichofanyiwa ndo kimemkuza,unajua mpango muovu ukishindwa huzaa jambo la maana na kubwa sana,huyu jamaa atabaki ktk mambo makubwa ya kukumbukwa kwa aliyopitia milele
Kodi zetu alizitumia 5 yrs kumshughulikia mbowe zilitosha kulipa wakulima wa korosho na kupandisha mishahara watumishiBila demokrasia sahau maendeleo
Solid 5yrs za jpm zimeisha kucha kutwa kuwindana tu.
Kumbe zile vurugu zote hadi mtoto wa watu Akwilina akauawa ni Makonda! Mpumbavu sana. Ona leo watu tunafurahia demokrasia bila bughudha! Pamoja na Polisi kutoa jamba jamba tumeenda kwa kifua.
naona umebadili gia anganiWaliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.
Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.
Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
Tz hakuna covid. Rais jpm alishathibitisha hilo.Duh vijana naona wameamua kujitoa mhanga, hawaogopi covid
Usiwe na mawazo mgando kama bendera kufuata upepo. Angalau upe ubongo wako nafasi ya kufanya uchambuzi hata kidogo tu.We tulia lea mtoto ukikua utaelewa
jana watu walivyokuwa uwanja wa taifa wakimuaga mkapa mbona hukuuliza kuhusu hizo mask kisa ni upinzani ndio wahoji chuki binafs hizo.COVID-19 imeisha?! No more masks, no social distancing etc. Hapa ndio ninatatizwa na sera za vyama vya upinzani hapa nchini.
Wamefeli vibaya sanaLengo lilikuwa ni kutisha watu ili wasijitokeze.
Wangelipua hadi Airpprt yenyewe. Sema Mkono wa Mungu ulikuwa juu yetu.Mkuu amini hata kama Makonda angetuma askari wake leo pale Airport basi leo ingekuwa historia mbaya sana kwa nchi yetu maana watu walijipanga kuwa lazima wampokee mh Lissu.
Wange waua wangapi?
Wangelipua hadi Airpprt yenyewe. Sema Mkono wa Mungu ulikuwa juu yetu.
Police hutumia nguvu isiyo ya lazima baada ya kuamuriwa na RC, au Dc au igp huwa inasikitisha sanaHili litatupa ushahidi chanzo cha vurugu siku zote ni nani
Na kununulia wapinzani na kikodi waisrael warekodi maphone yetu.Kodi zetu alizitumia 5 yrs kumshughulikia mbowe zilitosha kulipa wakulima wa korosho na kupandisha mishahara watumishi
Kwani walioenda uwanja wa Taifa kumuaga mfu (maiti) wamefaidika nini?Waliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.
Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.
Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
Hebu Wacha upuuzi weweeeeeeeeeeeeeWaliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.
Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.
Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
Wewe mimi nlishakusoma Musiba na Lemutuz watakuwa alikuachia watoto maana kila sehemu kazima uwataje,Wewe Akili yako imeishia Lumumba au imeishia gheto kwa cyprian Musiba mnaposhinda mkivuta Bangi
Kwa hiyo mnawaiga CCM? Kamanda jinga weweKwan CCm wana tv yao...idiot
Hata uhuru una mipaka yake, na ndiyo maana binadamu ni tofauti na wanyama kwa kuwa tuna uwezo wa kutumia akili kujua lipi linafaa kwa wakati na mahali husikaWewe kama huguswi waache wenzio wafanye kile wanachoona inafaa. Usiingilie uhuru wa wengine
Namtakia Lisu usingizi mwema akisubiri kura za Nani wa kupeperusha bendera ya uraisi Chadema Kati yake na wagombea wengineGari watu wamesema hakuna kujaza mafuta lina sukumwa tu hadi ufipa