Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Polisi mlichofanya leo ninawasifu. Mkifanya hivi kila siku hakuatakuwa na uvunjivu wa amani kabisa. Asante My President Dr Magufuli kwa kuwaagiza polisi wako watii sheria na katiba ya nchi. Ukiendelea hivi Raisi wangu kwa kuwaheshimu wapinzani Kura yangu nitakupa mchana kweupe maana ninajua wapinzani bado hawajakaa sawa kuchukua nchi. Tunachopenda ni amani na kutii katiba ya nchi. Leo nimefurahi sana kwa haya yanayofanyika bila bughuthi.
Mkuu umeongea kama mtumishi wa Mungu. Amani na utulivu ndio jambo la kwanza ili ilete maendeleo. miaka mitano ya Jpm imeisha hivi hivi amekalia kiwinda winda watu. Hakujamfikisha popote zaidi ya kumshusha kama ulivyosema tikio la leo limekufanya urudishe imani kwake.
 
Waliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.

Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.

Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
We tulia lea mtoto ukikua utaelewa
 
Mtanena sana kwa lugha leo! Maumivu yakizidi kunywa sumu!

Ni nyie munalia.. sisi hapana maumivu.. bali mumekomeka leo.. ni furaha kwetu.. Awamu ya tano oyeeeeeeeeee

Pokea hii tena 💉💉💉💉
 
Hili litatupa ushahidi chanzo cha vurugu siku zote ni nani
Mwenyewe nawapongeza police kwa kutokuumiza raia wasio na silaha, maana wangetumia vurugu wangeharibu image ya taifa pia kuumiza walipa kodi
 
Kumbuka kabla HUJAFA HUJAUMBIKA. Ukilema Lissu hakuutaka bali ni roho mbaya na chuki za kutisha za mtu mmoja aliyetaka kumuona Lissu akiwa Marehemu.
Mkuu BAK, jiandae kisikolojia kwa matukio yatakayofuata baada ya Lissu kutua salama nchini.
 
Kila sababu mtatoa tu.
Tunampongeza Lisu kwa kuvaa barakoa akiingia Tanzania wakati wanaompokea wote hawana barakoa kuionyesha dunia kuwa Tanzania is a country where there is no corona
 
Kwa walilomfanyia lissu inabidi aconsult Mababu wa Congo au kakonko wampike na mtu yeyote atayemgusa ateketee yeye na ukoo wake wote ,ajiwekee tego la Ndizi kila ndizi ikidondoka inaodoka na mtu wa ukoo atakayemfanyia ubaya tena.
Mkuu mimi ni mwana Kakonko na siku hizi tunatumia tego la mawese, kila akiguswa linatoka wese moja
 
Tundu Lisu Yeye kwake ndio Kuna corona ndio maana kaja kavaa barakoa Tanzania hatuna corona vyombo vyote vya kimataifa vitaona ushahidi wazi kuwa Tanzania corona haipo ipo Kwao tu Tundu Lisu katusaidia Kama nchi kujitangaza kuwa Tanzania Ni corona zero ila huko atokako corona iko kibao ndio maana kashuka na barakoa kuonyesha atokako Kuna Corona wakati watu wanaompokea hawajavaa barakoa.

BBC ,CNN, Aluazeera nk take note Tanzania is a Corona free country evidence Lisu arrival reception
Usitufokee
 
Waliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.

Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.

Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
Wewe kama huguswi waache wenzio wafanye kile wanachoona inafaa. Usiingilie uhuru wa wengine
 
Huamin unachokiona , Mungu ni mkubwa sana...

Alipigwa risasi akaokolewa mungu na siku Yake ya kurejea mkapa kafariki ili msilete vurugu.

Amina amepona..
Mbowe kugilti.. muyamalize kukwenu.. na muwache kutendana maovu..

Ruzuku hamuna laivu 😃😃😃😃

2020 Magufuli.. kiulainiiiiii
 
Huamin unachokiona , Mungu ni mkubwa sana...

Alipigwa risasi akaokolewa mungu na siku Yake ya kurejea mkapa kafariki ili msilete vurugu.
Unamuuwa mtu sababu ya tumbo lako then Mungu anamponya sijui unauweka wapi uso wako.
Tubu upate kupona,
 
Alichofanyiwa ndo kimemkuza,unajua mpango muovu ukishindwa huzaa jambo la maana na kubwa sana,huyu jamaa atabaki ktk mambo makubwa ya kukumbukwa kwa aliyopitia milele
Huyu mtu ana nyota kali,shinda ile ya Lowassa 2015,time will tell
 
Waliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.

Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.

Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
Mkuu hivi maisha yako na ya viongozi wa ccm yanafanana????
 
Back
Top Bottom