Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Watamuwekea betri
Vipi BP inashukaa inapandaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi BP inashukaa inapandaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu umeongea kama mtumishi wa Mungu. Amani na utulivu ndio jambo la kwanza ili ilete maendeleo. miaka mitano ya Jpm imeisha hivi hivi amekalia kiwinda winda watu. Hakujamfikisha popote zaidi ya kumshusha kama ulivyosema tikio la leo limekufanya urudishe imani kwake.Polisi mlichofanya leo ninawasifu. Mkifanya hivi kila siku hakuatakuwa na uvunjivu wa amani kabisa. Asante My President Dr Magufuli kwa kuwaagiza polisi wako watii sheria na katiba ya nchi. Ukiendelea hivi Raisi wangu kwa kuwaheshimu wapinzani Kura yangu nitakupa mchana kweupe maana ninajua wapinzani bado hawajakaa sawa kuchukua nchi. Tunachopenda ni amani na kutii katiba ya nchi. Leo nimefurahi sana kwa haya yanayofanyika bila bughuthi.
We tulia lea mtoto ukikua utaelewaWaliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.
Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.
Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
Bila demokrasia sahau maendeleoUdikteta uletae ufukara nchini,kwa kuwasomesha namba watu ili wawe masikini ili watawaliwe
Mtanena sana kwa lugha leo! Maumivu yakizidi kunywa sumu!
Mwenyewe nawapongeza police kwa kutokuumiza raia wasio na silaha, maana wangetumia vurugu wangeharibu image ya taifa pia kuumiza walipa kodi
Uhuru wa nchi gani?Udikteta uletae ufukara nchini,kwa kuwasomesha namba watu ili wawe masikini ili watawaliwe
Mkuu BAK, jiandae kisikolojia kwa matukio yatakayofuata baada ya Lissu kutua salama nchini.Kumbuka kabla HUJAFA HUJAUMBIKA. Ukilema Lissu hakuutaka bali ni roho mbaya na chuki za kutisha za mtu mmoja aliyetaka kumuona Lissu akiwa Marehemu.
Tunampongeza Lisu kwa kuvaa barakoa akiingia Tanzania wakati wanaompokea wote hawana barakoa kuionyesha dunia kuwa Tanzania is a country where there is no coronaKila sababu mtatoa tu.
Mkuu mimi ni mwana Kakonko na siku hizi tunatumia tego la mawese, kila akiguswa linatoka wese mojaKwa walilomfanyia lissu inabidi aconsult Mababu wa Congo au kakonko wampike na mtu yeyote atayemgusa ateketee yeye na ukoo wake wote ,ajiwekee tego la Ndizi kila ndizi ikidondoka inaodoka na mtu wa ukoo atakayemfanyia ubaya tena.
UsitufokeeTundu Lisu Yeye kwake ndio Kuna corona ndio maana kaja kavaa barakoa Tanzania hatuna corona vyombo vyote vya kimataifa vitaona ushahidi wazi kuwa Tanzania corona haipo ipo Kwao tu Tundu Lisu katusaidia Kama nchi kujitangaza kuwa Tanzania Ni corona zero ila huko atokako corona iko kibao ndio maana kashuka na barakoa kuonyesha atokako Kuna Corona wakati watu wanaompokea hawajavaa barakoa.
BBC ,CNN, Aluazeera nk take note Tanzania is a Corona free country evidence Lisu arrival reception
Wewe kama huguswi waache wenzio wafanye kile wanachoona inafaa. Usiingilie uhuru wa wengineWaliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.
Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.
Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
Huamin unachokiona , Mungu ni mkubwa sana...
Alipigwa risasi akaokolewa mungu na siku Yake ya kurejea mkapa kafariki ili msilete vurugu.
Unamuuwa mtu sababu ya tumbo lako then Mungu anamponya sijui unauweka wapi uso wako.Huamin unachokiona , Mungu ni mkubwa sana...
Alipigwa risasi akaokolewa mungu na siku Yake ya kurejea mkapa kafariki ili msilete vurugu.
Huyu mtu ana nyota kali,shinda ile ya Lowassa 2015,time will tell
We ni darasa la ngapi aiseeUhuru wa nchi gani?
Coco mlisema Lisu hatakuja. Vipi hapo. Pole na msiba.Ni nyie munalia.. sisi hapana maumivu.. bali mumekomeka leo.. ni furaha kwetu.. Awamu ya tano oyeeeeeeeeee
Pokea hii tena 💉💉💉💉
Kwenye hilo wametia aibu ya mwaka
Mkuu hivi maisha yako na ya viongozi wa ccm yanafanana????Waliokwenda kumlaki Lissu wakirudi majumbani kwao wajiulize wamefaidikaje, wakati viongozi wao na Lissu mwenyewe watakuwa wanakula bata kwenye chumba chenye kiyoyozi.
Wajinga ndiyo waliwao, maana naona kundi linasaga lami kama wakati ule mgombea alidekiwa barabara ya lami aweze kupita.
Kama nilivyotoa angalizo awali kuwa matarajio ya mkakati wa CHADRMA utabuma kwani Serikali imepuuza ujio wa Lissu.
Uhuru wa nchi gani?We ni darasa la ngapi aisee