Hivi unajuwa wewe ni kiazi kuliko viazi wote humu? Wewe ni mshamba tu hata ufanyeje! Mshamba haswa! Umle dada yangu una hadhi wewe shamba boy? Halafu wewe ni unaliwa samvu kopo?We nishamla dadako Manka. Kuwa na adabu.
Babu mbona unateseka hivyo?Barakoa yake keshaitupa?
ni chama cha kawaida tu chenye wasaka tonge lukuki
Mna furaha wakati mna msiba? Pambaneni na hali yenu, sisi fill Sherehe!
Lissu on his Land again with his own two feet, amazing how God can be!
😊😊😊😊😊
Labda abadilishwe mind set ila ameanza vizuri sana. Nadhani wanaccm kuna funzo kubwa wanapitia hasa ikionekana kuwa wafuasi kindakindaki wa Magufuli na waliounga mkono juhudi walivyobwagwa. Wameanza kujitambua kuwa sivyo wanavyowaza!
Ona leo pamoja na polisi kutoa vitisho ila bado watu wamekomaa tena kwa zaidi na hakuna media yoyote iliyotangaza ujio wa Lissu. Bado huyu RC kwangu ameanza vizuri!
Ndio Sasa maturity walioonyesha leo waendelee nayo Hadi uchaguzi uwe na amani sio kutumia nguvu hovyo
Mchango makini sanaSasa mkuu kama walikuwa ni wahuni wazembe kama ulivyowaita serikali ambayo kikatiba ni jukumu lake kulinda raia, walifanyaje? Ili kujiondoa kwenye doa hilo?!! Na pale vyombo vya kimataifa vilipotaka kutoa msaada, mbona walikatazwa??
Ila kwa busara waliyotumia leo wanahitaji pongezi, kwani ingeleta labsha ambazo si za lazima!! Japo nimeona tarehe 30.7 kuna kesi yake itasomwa kisutu, ngoja tuone, kwani sads dunia nzima wanafuatilia. NADHANI KWA SASA, itumike busara zaidi kuliko, mihemko, na kesho sasa atakapoenda kumuaga mkapa taifa!!!! Sijui
Mabeberu yanataka yalipotiwe yale waliyokuwa wamepanga, sasa kilanga kimewashuka shuuu
Ndo hivyo
Punguza hashuo Mangi.Hivi unajuwa wewe ni kiazi kuliko viazi wote humu? Wewe ni mshamba tu hata ufanyeje! Mshamba haswa! Umle dada yangu una hadhi wewe shamba boy? Halafu wewe ni unaliwa samvu kopo?
We ni mtoto wa watu huniambii kitu! Itakuwa uko US kwa kodi zetu kima wewe! Haujui hata Tanzania!
Violet [emoji171], Blue [emoji736], Green [emoji891], Yellow [emoji169], Red [emoji837].Chamellion
Jr[emoji769]
Lissu mwenyewe huenda hata hawezi kushinda uchaguzi ni woga tu wa jpm
Bahati mbaya mwenyewe hakuiishi hiyo hotuba, ndio uwajue African leadersHongera Lisu
Hongera polisi
Hongereni wafuasi wa CDM
HONGERA KUBWA RC MPYA WA DSM.
LEO NLIKUWA NASKILIZA HOTUBA YA MKAPA YA KUAPISHWA KWAKE MWAKA 2000 KWA KWELI ILE HOTUBA TUNATAKIWA KUISHI NAYO ...SIASA SIO UADUI
Mpaka sasa uzi umepitiwa na watu 70,000+. Inawezekana katika hao Mzee Baba nae katupiamo kajicho kidogo. View attachment 1518608
Karibu nyumbani Rais wa Jamhuri yetu Sisi MALOFA ya Tanzania. tunafurahi sana MALOFA kukuona mkombozi wetu upo hai.
#LISSURAIS2020
Kwakweli pamoja na maendeleo kedelede yaliyoletwa na CCM jamaa bdo katisha
Jiandae kisaikolojia maana Lissu ndiye rais wako ajayeKumbe mnajua kuwa hawezi eeh?
Bow down bitches [emoji1787][emoji1787]