Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
We nishamla dadako Manka. Kuwa na adabu.
Hivi unajuwa wewe ni kiazi kuliko viazi wote humu? Wewe ni mshamba tu hata ufanyeje! Mshamba haswa! Umle dada yangu una hadhi wewe shamba boy? Halafu wewe ni unaliwa samvu kopo?

We ni mtoto wa watu huniambii kitu! Itakuwa uko US kwa kodi zetu kima wewe! Haujui hata Tanzania!
 
Mna furaha wakati mna msiba? Pambaneni na hali yenu, sisi fill Sherehe!
Lissu on his Land again with his own two feet, amazing how God can be!
😊😊😊😊😊

Pia wewe una msiba.. labda kama kuwewe ni asailamu sika.
 
Tumuombee asikubali kuburuzwa
Labda abadilishwe mind set ila ameanza vizuri sana. Nadhani wanaccm kuna funzo kubwa wanapitia hasa ikionekana kuwa wafuasi kindakindaki wa Magufuli na waliounga mkono juhudi walivyobwagwa. Wameanza kujitambua kuwa sivyo wanavyowaza!

Ona leo pamoja na polisi kutoa vitisho ila bado watu wamekomaa tena kwa zaidi na hakuna media yoyote iliyotangaza ujio wa Lissu. Bado huyu RC kwangu ameanza vizuri!
 
Sasa mkuu kama walikuwa ni wahuni wazembe kama ulivyowaita serikali ambayo kikatiba ni jukumu lake kulinda raia, walifanyaje? Ili kujiondoa kwenye doa hilo?!! Na pale vyombo vya kimataifa vilipotaka kutoa msaada, mbona walikatazwa??

Ila kwa busara waliyotumia leo wanahitaji pongezi, kwani ingeleta labsha ambazo si za lazima!! Japo nimeona tarehe 30.7 kuna kesi yake itasomwa kisutu, ngoja tuone, kwani sads dunia nzima wanafuatilia. NADHANI KWA SASA, itumike busara zaidi kuliko, mihemko, na kesho sasa atakapoenda kumuaga mkapa taifa!!!! Sijui
Mchango makini sana
 
Wanakaribia kufika hapa studio. Naona polisi wamerika hapa khsha wakarudi riverse kwenye barabara ya mwendokasi. Magari ya kawaida hayapiti kwa muda kuelekea Morocco ya airtel.
 
Utakuwa umekasirika sana, why don't you sip a lovely drink of cold water?
 
Hivi unajuwa wewe ni kiazi kuliko viazi wote humu? Wewe ni mshamba tu hata ufanyeje! Mshamba haswa! Umle dada yangu una hadhi wewe shamba boy? Halafu wewe ni unaliwa samvu kopo?

We ni mtoto wa watu huniambii kitu! Itakuwa uko US kwa kodi zetu kima wewe! Haujui hata Tanzania!
Punguza hashuo Mangi.

Manka amekufa na kuoza kwa Ngosha hapa.

Namlisha manumbu [maviazi] tu hapa.

Kuwa na adabu.
 
Hongera Lisu
Hongera polisi
Hongereni wafuasi wa CDM
HONGERA KUBWA RC MPYA WA DSM.

LEO NLIKUWA NASKILIZA HOTUBA YA MKAPA YA KUAPISHWA KWAKE MWAKA 2000 KWA KWELI ILE HOTUBA TUNATAKIWA KUISHI NAYO ...SIASA SIO UADUI
Bahati mbaya mwenyewe hakuiishi hiyo hotuba, ndio uwajue African leaders
 
Back
Top Bottom