Msiba amesahau hata Lumumba wako huku wanafuatilia. Yeye mwenyewe yuko busy anafuatilia ... sasa alitaka nani aende Uhuru kama yeye yuko busy kufuatilia mambo ya Terminal 3!!
 
Siku hizi corona imekuwa ni shinikizo
 
Bado nipo nimepokea picha zaidi ya mia tano za Msafara wa Lisu, mm ni ccm damu damu lakini ukweli usemwe tu, Lisu ana nguvu ya kiushawishi isiyo ya kawaida...

Tanzania ni kama vile tumesha sahau kama kuna msiba wa kitaifa...

na report kutoka hapa Illinois Marekani mm ni Waziri wa kaskazini Jf
 

Hoja zako zote zina mashiko ila zimegemea katika tukio la ujio na si matokeo ya ujio wake. Hapo ndio yunatofautiana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…