Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Kwema tuuu chief huko uliko heka heka zinasemaje ???Kwema mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema tuuu chief huko uliko heka heka zinasemaje ???Kwema mkuu
Baadhi ya watu ni wabishi,mtu una usaili maeneo ya UDOM,unafikia mjini,unakutana na loji za hovyohovyo,mi nona ujilaumu mwenyewe,nimewaambia watu,fikieni Nghonghona,iko pembezoni na UDOM,loji ni nzuri Sana,tena bei ni 10,11,122 na 15,nimewapokea wengi,hakuna aliyelalamika,kama pesa,mi naenda kupewa na mhudumu wa loji,baadhi ya watu hawaelewi,wale ambao bado wanaingia,na nawasiliana nao ni mashahidi wakifika,na wale waliolala kwenye loji za huku,Kama loji ni mbaya,waseme humu,haki ya Mungu,loji ni classic na bei ni za kawaida sana,usafiri kwenda CIVE,CBSL,Utumishi ni mdogo Sana na unapelekwa hadi venue husika,mfano Auditorium,Theatres etc.Karibuni.
Mtaa, upo maeneo ya College ya Afya kule karibu na Beni Mkapa HospitalDuh! Dodoma ina majina magumu sana. Huu ni mtaa au ni jina la sehemu ya kulala?
Labda ulipiga muda ambao nilikua nimelala au nilikua nabadili laini,kuweka kwenye simu nyingine.Pole sana.Uliweka namba hapa, jana nilipofika Dom niliipiga hiyo namba bila mafanikio. Nikachukua uamuzi mwingine
Ni mtaa huo una majumba kama yote nilivyoshuka nikaulizia boda maeneo ya gesti ndo wakanitajia hapo na pengine walisema NTyuka sijui yaan majina kama dawa vile Za Dr MandongaDuh! Dodoma ina majina magumu sana. Huu ni mtaa au ni jina la sehemu ya kulala?
Sawa mkuu.Labda ulipiga muda ambao nilikua nimelala au nilikua nabadili laini,kuweka kwenye simu nyingine.Pole sana.
Saa hizi wamefunga,wapo wale wa CIVE,first year,wanafanyia field hapohapo chuoni.Sawa mkuu.
Dogo angekuwa hajafunga chuo, ningepata nafasi ya kulala bure, ila dogo kashasepa home
asa siutaenda interview kichwa kimechoka mkuu ?na hizi interview siutakosa hata chakujibu kabisaHivi kukesha stendi kuu hapo mpka majogoo kuna noma ?
Inawezekana mkuuHivi kukesha stendi kuu hapo mpka majogoo kuna noma ?
Kama sasa ambapo tunasubiri majibu unaweza kwenda kukesha huko stand ili lolote likitokea ufanye maamuzi ya kuondoka au kwenda oral.asa siutaenda interview kichwa kimechoka mkuu ?na hizi interview siutakosa hata chakujibu kabisa
Kama hauko vizuri kiuchumi,unaweza kulala stendi,pako vizuri tu,asubuhi ukawahi mapema kwenda kwenye intavyuu.Japo ukilala stendi kule nanenane,unaweza ukachelewa kufika kwenye venyu endapo interview itakua inaanza saa moja,na labda ni written.Hivi kukesha stendi kuu hapo mpka majogoo kuna noma ?
Yeah! kwa wale ambao wanasubiria majibu,kweli unaweza kuepusha gharama,kwa kwenda stendi,kujua mbivu na mbichi.Kama sasa ambapo tunasubiri majibu unaweza kwenda kukesha huko stand ili lolote likitokea ufanye maamuzi ya kuondoka au kwenda oral.
Tunaingizwa gharama za kipuuzi kusubirishwa matokeo namna hii
Sema hizi gharama wakati mwingine unaona bora ungekamata pisi tu usuuze moyo😂😂😂Kama sasa ambapo tunasubiri majibu unaweza kwenda kukesha huko stand ili lolote likitokea ufanye maamuzi ya kuondoka au kwenda oral.
Tunaingizwa gharama za kipuuzi kusubirishwa matokeo namna hii
Kamata tu kiongozi sasa unaenda kwenye usaili hutaki kuji bless kidogo uchangamke kwenye paperSema hizi gharama wakati mwingine unaona bora ungekamata pisi tu usuuze moyo[emoji23][emoji23][emoji23]
gharama ya kwenda dodoma kutokea Dar minimum ni laki1, hiyo hela unaenda Lodge ya 20,000/-, unatafuta demu mwenye zigo unampa 35,000/-Sema hizi gharama wakati mwingine unaona bora ungekamata pisi tu usuuze moyo😂😂😂