Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
na hapa ni wapi ?View attachment 1551685
Hilo ni boti lizamalo, halina dawa.Taarifa nilizopata kutoka ndani ya CDM zinasema Baada ya Jana CDM kukosa watu na Leo CCM kuujaza uwanja wa JAMHURI, sasa CDM mkutano wao wa leo wamepanga yafuatayo.
-Kuitukana CCM na Wagombea wake MUDA wote bila kunadi sera zao.
-Kuvitukana vyombo vya Habari kwa mwamvuri wa TBC kuwa wapo double standard.
-Kuishambulia tume ya uchaguzi kuwa imewaengua wagombea wao bila Makosa .
-Pia watazungumzia kesi walizokumbana nazo na kueleza juu ya muujiza unaotembea.
MUDA huu wapo kwa............wanasikiliza hotuba ya CCM huko Dodoma.
Jamaa wameshikwa vibaya. Hawa kuamini Kama CCM itapata idadi ya watu wengi kiasi hicho Dodoma. Hii ahadi ya kununua ndege tano mwaka 2021/2025 imeleta mjadala mzito huko ufipa.
Nitaendelea..........
Taarifa nilizopata kutoka ndani ya CDM zinasema Baada ya Jana CDM kukosa watu na Leo CCM kuujaza uwanja wa JAMHURI, sasa CDM mkutano wao wa leo wamepanga yafuatayo.
-Kuitukana CCM na Wagombea wake MUDA wote bila kunadi sera zao.
-Kuvitukana vyombo vya Habari kwa mwamvuri wa TBC kuwa wapo double standard.
-Kuishambulia tume ya uchaguzi kuwa imewaengua wagombea wao bila Makosa .
-Pia watazungumzia kesi walizokumbana nazo na kueleza juu ya muujiza unaotembea.
MUDA huu wapo wanasikiliza hotuba ya CCM huko Dodoma.
Jamaa wameshikwa vibaya. Hawa kuamini Kama CCM itapata idadi ya watu wengi kiasi hicho Dodoma. Hii ahadi ya kununua ndege tano mwaka 2021/2025 imeleta mjadala mzito huko ufipa.
Nitaendelea
Hahahahaaaaa
Matangazo ni lazima ulipe Manispaa, juzi walienda wakakuta mizengwe hadi ikashindikana... Sasa unataka wafanye niniKumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa
CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.
Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?
CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.
Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Wazee wa kutembeza bakuli. Hiki Chama cha ajabu Sana, kwani hawajapata ruzuku hawa?.Tutegemee Mambo Kama haya Jana na leo. Pia tegemea idadi ya watu kushuka kwa kasi sana.
Ccm oyeeeeTaarifa nilizopata kutoka ndani ya CDM zinasema Baada ya Jana CDM kukosa watu na Leo CCM kuujaza uwanja wa JAMHURI, sasa CDM mkutano wao wa leo wamepanga yafuatayo.
-Kuitukana CCM na Wagombea wake MUDA wote bila kunadi sera zao.
-Kuvitukana vyombo vya Habari kwa mwamvuri wa TBC kuwa wapo double standard.
-Kuishambulia tume ya uchaguzi kuwa imewaengua wagombea wao bila Makosa .
-Pia watazungumzia kesi walizokumbana nazo na kueleza juu ya muujiza unaotembea.
MUDA huu wapo wanasikiliza hotuba ya CCM huko Dodoma.
Jamaa wameshikwa vibaya. Hawa kuamini Kama CCM itapata idadi ya watu wengi kiasi hicho Dodoma. Hii ahadi ya kununua ndege tano mwaka 2021/2025 imeleta mjadala mzito huko ufipa.
Nitaendelea
Lete update babaHilo linajulikana
Update watoe wapi wako wanaangalia TV uzinduzi wa CCMLete update baba
Mbona umedoda vile?Update watoe wapi wako wanaangalia TV uzinduzi wa CCM
Leo ndio atazindua sera zake? Lisu watu walivyotarajia sio kabisa. Uchaguzi huu ni mwepesi sana kwa Magufuli.
hahaha ,nafikiria labda singidaMkuu malizia sentensi tukuelewe vizuri, twende nae Wapi Amsterdam au ubeligiji?
Wa Dodoma umedoda unaota ulikuwa Live TV zote utamdanganya Nini toka asubuhi TV zote zilikuwa Live huhitaji kumsimulia mtuMbona umedoda vile?