Yaani nia aibu kubwa hapa Kawe... tuliwaambia jana kama mmeshindwa Mbagala mtaweza Kawe. Hapa leo Kawe ni aibu kweli kweli hakuna watu kabisa.Rais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.
Weka picha tuaminiYaani nia aibu kubwa hapa Kawe... tuliwaambia jana kama mmeshindwa Mbagala mtaweza Kawe. Hapa leo Kawe ni aibu kweli kweli hakuna watu kabisa.
Ni aibu tupuWeka picha tuamini
Ndio maana hawataki kurusha live hata online tu wanaogopa aibu.Yaani nia aibu kubwa hapa Kawe... tuliwaambia jana kama mmeshindwa Mbagala mtaweza Kawe. Hapa leo Kawe ni aibu kweli kweli hakuna watu kabisa.
Basi wekeni nyie mlio karibu nasi wa mbali tuone. Vinginevyo hamtajitofautisha naoNi aibu tupu
Chadema hawawezi kuthubutu kuweka picha hapa
Picha mkuuYaani nia aibu kubwa hapa Kawe... tuliwaambia jana kama mmeshindwa Mbagala mtaweza Kawe. Hapa leo Kawe ni aibu kweli kweli hakuna watu kabisa.
ukipiga picha wanakupiga makofi Wana ma bouncer wanasema Ni waandishi tu waliowaalika ndio wapigeBasi wekeni nyie mlio karibu nasi wa mbali tuone. Vinginevyo hamtajitofautisha nao
LETE ARIAL PHOTO, HATA WANAFUNZI WAKIFOLENI UKIPIGA KWA MBELE WANAONEKANA WWNGI, HAPO MMEFELI, NA MTAFELI SANA. BORA HATA HIZO PICHA FAKE MSIPIGE. MIRIJA YA FEDHA ZA MABEBERU ZINEKATWA. HATUTAKI MUWEKE NCHI YETU REHANI. MLIKUWA MKIWAKUSANYA VIJANA KWA ALFU 5, SASA NDIO TUNAIONA CHADEMA INAELEKEA KUZIMU. TANZANIA ARE NOT AFTER SYMPATHY . IT IS HISTORY NOW. MAGU KANYAGA TWENDE BABA😁😁na hapa ni wapi ?View attachment 1551685
Jamvi tv online YouTube wanaoneshaPicha mkuu
Nipo hapa kawe, watu wanapiga picha hakuna anepigwa, sema simu yangu ni ni nokia tochi ndio maana sijaweza kupiga picha otherwise ningeweka picha hapa watu washuhudie nyomiukipiga picha wanakupiga makofi Wana ma bouncer wanasema Ni waandishi tu waliowaalika ndio wapige
Wakiona unanyanyua simu yako unakunjwa shati au gauni
Wanaminya Uhuru wa habari wa yeyote kuchukua picha
Kujaza uwanja ili iweje??? Unahama na watu kila mahali. Chadema hawajitekenyi na kucheka wenyeweKumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa
CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.
Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?
CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.
Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Chagua tu wa kumwamini kwakuwa wote ni makadaMbona nimesikia ITV wakisema ni mamia hapo wasafi wanasema ni maelfu sasa tumuamini yupi
Nguvu gani!! Watu wenyewe ni walewale wa siku zote.Ungejua Nguvu iliyoko mitandaoni ungejidharau sana !
Kumchagua magufuli ni sawa na kuchagua kuishi kuzimu kwa miaka mingine mitanoLETE ARIAL PHOTO, HATA WANAFUNZI WAKIFOLENI UKIPIGA KWA MBELE WANAONEKANA WWNGI, HAPO MMEFELI, NA MTAFELI SANA. BORA HATA HIZO PICHA FAKE MSIPIGE. MIRIJA YA FEDHA ZA MABEBERU ZINEKATWA. HATUTAKI MUWEKE NCHI YETU REHANI. MLIKUWA MKIWAKUSANYA VIJANA KWA ALFU 5, SASA NDIO TUNAIONA CHADEMA INAELEKEA KUZIMU. TANZANIA ARE NOT AFTER SYMPATHY . IT IS HISTORY NOW. MAGU KANYAGA TWENDE BABA[emoji16][emoji16]
Na mimi Niko hapa kushuhudia hii fiestaFront siti kabisa. Kule idyodyomiya kuna tamasha la wanamuziki 200+
Hahahaaaaa sloslow ageuka Kuwa MC WA bongo flevaFront siti kabisa. Kule idyodyomiya kuna tamasha la wanamuziki 200+
Dodoma tunaingia "wanyonge" kuona wasanii. Twajua mawili yanatukabili;
1. Kurudi kwa miguu nyumbani kwani baadae hakuna cha Lori na hilo la kutoswa tumelizoea.
2. Kura yetu haiwezi kununuliwa na wakata viuno jukwaani kwa siku moja. Sherehe hazita tuletea maisha bora na watoto wetu.View attachment 1551687View attachment 1551688