Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Acha uongo wewe umepiga picha watu wa mwisho. Watu wapo wachache ila sio kwa hiyo picha yako
Kuna link ya live angalia hapo, acha kelele! Kwanza umeenda kawe au unapiga kelele tu kwenye keuyborad?
 
Sasa hiyo mnakuwa mnawatenga wa nyuma hawaonekani mkuu, mmechukuwa tu wa mbele na anga kana kwamba wanaenda mbinguni, wekeni aerial view inayoonesha washiriki wote kabisa.. vivuli vinaonesha kabisa jua likielekea kuzama yaani ni kuelekea mwisho wa mkutano mkuu. View attachment 1551691
Ninini tofauti ya CCM na TBC!?
Huko kwenye vichwa vyenu kuna nini?
 
Nolstagia.....
E543925C-4405-4D62-9FEC-4C2D0E0409F9.jpeg
 
Tusichojua wengi ni kuwa kukosekana kwa watu kwenye mikutano ni jambo la sasa. Hii ni safari iliyotengenezwa mra baada ya uchaguzi wa 2015.

Kuhudhuria mkutano ni tabia inayojengwa. Mikutano ilizuiliwa. Watu hawana hakika kama kuna salama kwenye mikutano hii (rejea issue ya Acquilina). Wananchi wanaogopa mikutano isipokuwa ya CCM.

Na sio huu tu wa CHADEMA. Mikutano yote isiyo ya CCM itakuwa na hali mbaya zaidi!!
 
Back
Top Bottom