Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mungu alivyo na maajabu ipo siku tu atampitisha njia hiyo hiyo huyo mwenzake anayeipitia tena yake itakuwa ngumu zaidi. Mzee wa watu kajieleza vizuri kabisa jinsi anavyopambana stendi walau familia yake ipate chochote kitu lakini jamaa wapi anampiga mzee wa watu maswali ya kumdhalilisha.
Polisi ni wengi wao ni wale wanafeli form 4 ama form sixHawa wanajikuta sana wameyapatia maisha.
Huyo ni kama baba yake lakini hata hajali.
Hivi hawa Polisi shule wameenda kweli?
Yuko wapi siku hizihuyu afande hamkumbuki ,anaitwa afande muroto alikuwa kamanda dodoma ,enzi za magufuli
Mjinga Fulani ,kila tukio alifanya kwa kutaka kuonekana hapa ni eneo nje ya nanenane
Kwahiyo duniani kazi uliyoona ni kulima tu wewe unashidaPolisi yuko sahihi,niaka 54 sio mzee aende akalime huko,watanzania wengi tuko wavivu,mzee wa ovyo kabisa huyo
Mpigie simu aje umkabidhi shambaHuyo ni mvivu tu,hapo dodoma akienda kondoa,chemba mashamba yamejaa tele
AJe Babati nimpe mashamba
Afande Mroto ni.... au basi ..What is this?...Ndio maana hawa jamaa watu wanawadharau sana....yeye anamchimba huyo mzee kama nani....?....
Hajalewa kweli?
Tatizo kazi ya upolisi inamfanya mtu awe kama mbwa.....kila mtu anayekutana naye anataka kumbwekea bila sababu za msingi✍️Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Ndio ni yeye. Unakumbuka video moja alikuwa anawashika vitambi wezi anawauliza: mtu mwizi unakuwaje na kitambi? Anapenda sana sifa yule mzee. Mungu anamuona.Hiyo sauti ni kama ya aliyekua kamanda wa mkoa wa Dodoma Gilles Muroto,ambaye hata yeye sasa hivi ni mstaafu,
Nakumbuka ile kauli yake ya "Kipigo watakachokipata ni cha Mbwa koko''
Poabinti mrembo mzima? za masiku?
Watu kama huyu polisi kwenye jamii yetu huwa tunawalaani sana. Tunawaombea wafe wakiwa wamechomeka kidole makalioni.Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country