Dah ni kweli mkuu, kiongozi ndo tegemeo letu alafu anakuwa mtu Kama sabaya!Nafuu enzi hizo ambazo mtu binafsi anakuuliza "je unajuwa mimi ni nani?" Kuliko kipindi cha Magufuli amnapo DC au RC anatembea na AK-47 kunyang'anya fedha kwa wananchi ambao anapaswa kuwaongoza.
Since you get fu.cked in the ass on the daily, you can keep the tricks of your gay business for yourself. I'm not interested.Feels good, doesn’t it?
Next time douche that butthole.
You stink.
Makonda ndo alikua frontman wa matukio yote hayo, na yeye anastahili mateso makali sana sasahivi.Kwa hiyo wewe hukuwa Tanzania? Hujui aliyemuuwa Ben Saanane? Azory Gwanda? Hujui nani alikuwa kinara wa kundi la WASIOJULIKANA? Waliommiminia risasi Tundu Lissu?
Jarubuni kupunguza lugha za matusi.Tunajadili jambo sensitive la ndugu yetu GharibFeels good, doesn’t it?
Next time douche that butthole.
You stink.
From a very casual point of view; prepping ass for ass fucking must be something you're very experienced in and good at.Feels good, doesn’t it?
Next time douche that butthole.
You stink.
Mimi niwe mtu wa karibu na bashite? Naanzaje?Mkuu kwahiyo wewe ni mtu wa karibu sana na bashite [emoji1787]
EEh na mali ya zaidi ya billion 2 (kwa jumba moja tu) kwa muda mchache alioajiriwa ni akiba kutoka mshahara wake, au siyo?
Haya ndio sasa hivi yanamtesa bashite. Kutishiatishia bastola watu bila sababu ni upumbavu.Kwani kazi ya Bastola ni nini? Au unadhani ile ni wallet? Yaani umiliki Bastola kihalali halafu pimbi mmoja kama Makonda anakuletea UJINGA, utakuwa huna sababu ya kumiliki Bastola hiyo?
Hao si ndio miungu yenu?Jamaa kakwambia Mungu tu wewe kichwa kisoda unasema Samia na Majaliwa mfyuu
Idi Amin alikimbilia kwa waarabu, Saudi Arabia. Na alikuwa anatibiwa na Madaktari wa kihindi. Likikuwa jitu jinga sanaIddi Amini alikuwa ni mpuuzi tu kama wewe Mataga.
You are 💯% ghey. Stop acting like you’re not.Since you get fu.cked in the ass on the daily, you can keep the tricks of your gay business for yourself. I'm not interested.
Tartiibu, inaanzaa kumyeshea, unafikiri mpaka Ghalib aprudishiwe nyumba yake hakuna kesi iliyotoa maamuzi?Yoote sawa....lakini TAKUKURU wameomba mwenye ushahidi wa haya mambo aupeleke kwao.
Mnasubiri nini kupeleka huko?
Humu kijiweni kwenu sio TAKUKURU...
Humu ni kijiwe majungu tu.
Must be your inner voice telling you the obvious.You are 💯% ghey. Stop acting like you’re not.
Ulivyowataja nape na Ridhiwani utafikiri hao Ni malaika, kumbe washenzi watupu.Tartiibu, inaanzaa kumyeshea, unafikiri mpaka Ghalib aprudishiwe nyumba yake hakuna kesi iliyotoa maamuzi?
Watu wanakusanya ushahidi tu, kaanza Kubenea, kaja Ghalib, bado wengine wengi sana, hapo subiri kasheshe la Manji na jamaa zake. Bado MO, bado mabilionea wa sembe, bado matajiri wengi sana waliodhulumiwa, bado kina Ridhwan, bado kina Nape, bado wengi sana wapo kwenye mlolongp kama sio wao. Unafikiri yule msema ovyo aliyehenyeshwa na na The Spy alikuwa anapewa kichwa na nani kama si kina Makonda? watu wanalipa visasi bila kuwemo kwenye picha, tartiiiiiiiib.
Na kama huyo jamaa aliwahi kucheza kijinga na "The King Maker", ujuwe maisha yake yapo mashakani mpaka aingie kaburini mmoja wao.
Eeh jamani, Makonda ni heri akimbie nchi akatafute ukimbizi Canada au Belgium, kina Lisu wanaweza kumsaidia, awaangukie tu.
Unabambikiwa chochote tu.Ukiona hivyo Basi walikuwa na vitu vya ovyo nyuma yao au walikuwa wanafanya ya ovyo. Huwezi kukubali kirahisi kufanya jambo kama Unajua huna cha kuficha.
Possibly from the dead. That guy is finished, caput a nonentity.Makonda will rise again
Hawawezi. Tumeambiwa wanataka mwenye ushahidi awapelekee. Vinginevyo wanayaona haya kama heresy maneno ya mtaani Tu.PCCB wachunguze mali zake na vyanzo vya pesa katika kupata mali hizo kama vilikuwa vya halali, e.g namna alivyo jenga nyumba hiyo.