Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

Huu ni umwambafy wa kihaya usijimwambafy hivyo kwani hata waliokutuma uwatetee mitandaoni sasa wanaanza kuwa na wasiwasi na wewe kwani sasa badala ya hoja umejikita kujisifu binafsi zaidi
Tangia lino 'Minyoo' ikawa na 'Faida' katika Mwili na Maisha ya Mwanadamu?
 
Alafu eti unajiita Msomi huko CCM? Wasomi huko CCM ndivyo mlivyo?
Kwani Wasomi walioko / wa Upinzani nao wana Akili? Wangekuwa na Akili CCM 'ingewashinda' kila mara na Kuhama huko kuja CCM na Kushukuru?
 
Mbona leo kama umeamua kujimwambafy sana? au polepole kakuambia ujimwambafy ili mtukufu aone akupe uteuzi?
Siisifii au Siipendi CCM ili 'niteuliwe' na bahati nzuri nimezaliwa katika Siasa na kupita katika Mikono ya Wakubwa wengi ( hasa aliyekutawala ) Tanzania kwa Awamu ya Kwanza na hata wa Awamu ya Tatu nae. Na si hapa tu pia nimeptia katika Mikono ya Watawala wa Uganda na Rwanda hivyo Siasa ipo damuni pamoja na Utawala lakini hata Siku moja sitaki kuwa Mwanasiasa kwani nimeyaona mengi na nayajua mengi pia.

Zawadi pekee niliyonayo ni kuwa 'good observer' na 'watchdog' wa mambo mbalimbali unayoyajua na usiyoyajua kisha Kazi yangu Kubwa tu na ambayo naipenda ni 'Kushauri' na nafurahi kuwa 99% ya ninayoyashauri 'Walengwa' huyafanyia Kazi na Taifa linasonga mbele. Nina 'Hisia' kali za Kugundua Jambo ambalo Wengine hamjaligundua na nikilisema linatokea vile vile.

Ndiyo maana 'namshukuru' mo Mwenyezi Mungu kwa 'Tunu / Shani' yake ya 'Kutukuka' Kwangu Mimi. Na nikutoe 'Hofu' Mimi wala sina Akili Kubwa bali nina 'Maarifa' mengi na niko ' very Versatile' pia. Unapoona 'Signature' yangu inasema "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" jua nimemaanisha na ninamaanisha kweli kwani huo ndiyo 'Uhalisia' wangu wa Kimaisha.

Tafadhali hakikisha unawafikishia 'comment' hii wale Waswahili ( Wapuuzi ) Wenzako wote hapa ( JF ) ambao 'mnakereka' na 'kuumia' nami zaidi.
 
Achana na lugha za kichokoraa sasa, na punguza ujuaji.
Unajua kwanini JamiiForums kuna 'Kitufe' cha 'Ignore / Block' labda? Kuendelea Kunifuatilia Mimi wakati 'Unanichukia' ni ishara ya Kunikubali sana.
 
Viva tundu lissu viva chadema cv inajengeka na taarifa inafika mpaka miisho ya dunia

kuwa utawala huu haufuati haki na demokrasia umejaa uvunjifubwa haki za binadamu utekaji uuaji na kutofuata utawala wa sheria
 
Ila kwa kweli huyu mzee inabidi ajitafakari sana mwenendo wake huu wa kuumiza watu. Hii yaweza kuja kumsuta sana huko mbeleni hata akiondoka kwenye kiti
Mawaziri wake watakuwa na kesi nyingi pindi yeye akitoka madarakani
 
Nashukuru hatimaye kwa 'Kukiri' mwenyewe kuwa kuna mambo nayajua kweli kweli na Mimi naongezea 'Sifa' sitoacha kwani 'najiamini' najua sana.
Wewe mbweha huna unachokijua wewe ni mbumbumbu zuzu juha kilaza msaka nyoka acha ufala wako jikite kwenye hoja acha usumbufu wa kishamba
 
Unajua kwanini JamiiForums kuna 'Kitufe' cha 'Ignore / Block' labda? Kuendelea Kunifuatilia Mimi wakati 'Unanichukia' ni ishara ya Kunikubali sana.
Hakuna mwenye Akili timamu atakukubali wewe kinyamkera mpumbavu wa kutupwa nani wa kukubali wewe limbukeni mshamba wa kutupwa
 
Tangia lino 'Minyoo' ikawa na 'Faida' katika Mwili na Maisha ya Mwanadamu?
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha ufala hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ndiyo maana ID yako ni ya kidwanzi lakini hakuna mwenye mda nayo wapo busy na hoja tu acha ushamba
 
Siisifii au Siipendi CCM ili 'niteuliwe' na bahati nzuri nimezaliwa katika Siasa na kupita katika Mikono ya Wakubwa wengi ( hasa aliyekutawala ) Tanzania kwa Awamu ya Kwanza na hata wa Awamu ya Tatu nae. Na si hapa tu pia nimeptia katika Mikono ya Watawala wa Uganda na Rwanda hivyo Siasa ipo damuni pamoja na Utawala lakini hata Siku moja sitaki kuwa Mwanasiasa kwani nimeyaona mengi na nayajua mengi pia.

Zawadi pekee niliyonayo ni kuwa 'good observer' na 'watchdog' wa mambo mbalimbali unayoyajua na usiyoyajua kisha Kazi yangu Kubwa tu na ambayo naipenda ni 'Kushauri' na nafurahi kuwa 99% ya ninayoyashauri 'Walengwa' huyafanyia Kazi na Taifa linasonga mbele. Nina 'Hisia' kali za Kugundua Jambo ambalo Wengine hamjaligundua na nikilisema linatokea vile vile.

Ndiyo maana 'namshukuru' mo Mwenyezi Mungu kwa 'Tunu / Shani' yake ya 'Kutukuka' Kwangu Mimi. Na nikutoe 'Hofu' Mimi wala sina Akili Kubwa bali nina 'Maarifa' mengi na niko ' very Versatile' pia. Unapoona 'Signature' yangu inasema "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" jua nimemaanisha na ninamaanisha kweli kwani huo ndiyo 'Uhalisia' wangu wa Kimaisha.

Tafadhali hakikisha unawafikishia 'comment' hii wale Waswahili ( Wapuuzi ) Wenzako wote hapa ( JF ) ambao 'mnakereka' na 'kuumia' nami zaidi.
Huna unachokijua zaidi ya kuvuta Bangi kisha kujiona unajua kila kitu kumbe ni mbumbumbu wa kutupwa
 
Wazungu wanahaha na Jemedari mkuu hawalali wanamwota kila kukicha yupo Ikulu pale Idodomia. They will remember JPM for a very long time, when he is done, Tanzania will be in another level they never imagined.

Kwa kweli.. Hapa tu sasa iko ‘in another level’. Leo cement ni bei gani?? Mafuta ya kupikia je?? Maisha hapo mtaani kwenu yakoje vile?? Si wazungu tu, hata sie anaong’ang’ana kutuongoza hatuwezi kumsahau maisha yetu yote.
 
Hizo 'Tuzo' zake zina Faida gani / ipi kwa Maendeleo ya Watanzania ambao amewakimbia huku wengine 'akiwaponza' na sasa wanakiona cha Moto?
Hata viongozi waliokuwa wanapigania uhuru wa waafrika miaka ya 1960 na kuendelea walikimbia nchi zao nankuelekea nchi nyengine ili kujipanga zaidi maana hauwezi pambana na Wakoloni wengi wewe ukiwa peke yako mfano mandela alipoachiliwa mnamo 1990 na akakimbilia Tanzania mkoani mbeya.

Everything is History ,and History have the tendency of repeating itself.
Caption that [emoji121]
 
Wewe mbweha huna unachokijua wewe ni mbumbumbu zuzu juha kilaza msaka nyoka acha ufala wako jikite kwenye hoja acha usumbufu wa kishamba
Huna 'Matusi' mengine labda ili 'nukuazime' kutoka katika Benki yangu ya maneno ya 'Shombo' kusudi nawe uweze kuyajua na hata kuyatumia pia?
 
Hakuna mwenye Akili timamu atakukubali wewe kinyamkera mpumbavu wa kutupwa nani wa kukubali wewe limbukeni mshamba wa kutupwa
" Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
 
Back
Top Bottom