Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTundu ni asili yake.Toto Tundu
Waenezi wanamuuza kwa maslahi yao.wabaya Sana hao.Yaani serikali yote imejikuta ina mpigia Lissu kampeni bila kujijua.
Ni yale yale walimdanganya Jpm kwamba Watanzania wana mkubali hana haja ya kufanya kampeni ya kuomba kura za urais 2020. Kumbe wachumia tumbo wali muingiza chaka baba wa watu. Lissu anamkimbiza mbio za mita mia kupokezana vijiti.. Ccm hoiiiii
Jamii forum raha Sana ,uchaguzi huu raha Sana ,mpaka nashindwa kuelewa hivi watu wanaochukiana kisa siasa mpaka kufanyiana mabaya iyo roho wanapataga wapi ? Ninao rafiki zangu wengi wenye mtazamo tofauti wa vyama ila huitana ,hupata moja baridi huku wakizungumza Mambo ya siasa kwa utani Sana ,na kufurahi bila shida yoyote, tubadilike siasa sio uadui ,Lissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.
unakubali kiaina 😆😆😆😆😆Huyo bwana anatia huruma
Ila sio huruma za kura[emoji3] kichapo kipo pale pale
Migaambo wanaruka na kukanyagana [emoji445] [emoji445] hakuna rangi hamtaionaHuyo bwana anatia huruma
Ila sio huruma za kura[emoji3] kichapo kipo pale pale
Alikuwa wapi muda wote ndo aje kununua kadet leo? Mwambie hatudanganyiki tar 28 tunamchinjia baharini arudi kwa AmsterdamLissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.
Ze comedy is Mr we do not have blazas, we do not have fazas.
Tabia ipi mkuu, huyo ndo lissu bwana, da Yani nacheka tu mpaka vijana wangu wananiuliza kulikoniIla Lissu jamani amenishinda tabia
Mkuu, tuungane kuukataa huu utawala wa WATEKA NYARA. Uhuru na Demokrasia ni lazima vitamalaki baada ya Oktoba 28.Mkuu BAK kama uko karibu naye, au wafuasi wake, mwambie/waambie nafasi anayegombea siyo ya Serikali za Mitaa. Anachofanya kwa sasa kuzunguka mitaani, pamoja na kuhatarisha maisha yake (kumbuka amekuwa akidai usalama wa maisha yake kwa jeshi la polisi na usalama wa taifa), ni kichekesho. Vijana wa mjini wanamwona kama kinyago vile.
HAKIKA LISSU ni mwanasiasa uchwara
Kesho kuna fiesta ya bure, Temeke asante kwa taarifa,Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Akumbuke hata Mzee Lowassa alifanyaGA hivyo hivyo na kura hakupata.Mkuu BAK kama uko karibu naye, au wafuasi wake, mwambie/waambie nafasi anayegombea siyo ya Serikali za Mitaa. Anachofanya kwa sasa kuzunguka mitaani, pamoja na kuhatarisha maisha yake (kumbuka amekuwa akidai usalama wa maisha yake kwa jeshi la polisi na usalama wa taifa), ni kichekesho. Vijana wa mjini wanamwona kama kinyago vile.
HAKIKA LISSU ni mwanasiasa uchwara
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Habari njema kweli hii. Wananchi wameishajiandaa kwa ajili ya kesho kwenda kumuona Rais wao!Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Yeye hata aingie public toilets na kuzisafisha lakini uraisi hapati. Aendelee na mazoea ya kuwazoea wanakijiwe wenzake.Lissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.