Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

View attachment 2977398
Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za JMT (1977) na ile ya Zanzibar (1984) akihutubia maelfu ya wananchi Dodoma jana tarehe 29/4/2024.

Hakika utafunguliwa ufahamu wako na kila mtu atajua mjinga na mwerevu ni nani. Pengine ndiye mtawajua wabuguzi halisi ni kina nani...

Hii ni muhimu sana Nape Nauye na chama chake (CCM) wajitokeze kujibu hoja hizi na kuukanusha ukweli huu wa kikatiba kama unakanushika.

Mimi hata sijui mtu mwenye uelewa na ufahamu kama Tundu Lissu unaweza kumkamatia wapi ili umshitaki afungwe jela. Ni ngumu na pengine haiwezekani tu kabisa maana ni hakika kuwa: KNOWLEDGE IS POWER..!

Kila mtu anajua na kuelewa kuwa Samia Suluhu Hassan ni Mzanzibari. Yupo hapo kwa katiba hii ya 1977. HilI sina hakika kama lina ubishi wowote na kwwamba yupo mtu anaweza kulikanusha hili..

Na hivi inawezekana vipi kuwa kila ukweli unaojifunua kupitia kwa watu kama Tundu Lissu aliyejitoa kupigana kwa damu yake mwenyewe kwa ajili ya manufaa ya watu masikini wengi iwe ni ubaguzi na uchochezi? Really?

Mimi nadhani ifike wakati kila mtu wakiwemo watawala kupitia CCM waelewe kuwa nyakati za kuishi katika giza la ujinga wa kudanganywa na watawala umefika mwisho. Tunachosubiri kwa sasa ni justification tu kupitia "unyakuo"

Inashangaza kuwa kina Nape Nauye na CCM yake wanataka tuendelee kuishi ktk giza la ujinga na udanganyifu wa miaka 60..

Hapana. HII HAIWEZEKANI TENA... Watu wanataka kuishi katika Nuru ya haki na usawa...

Hebu nyie kina Dr Akili, ChoiceVariable, Tlaatlaah, Samiaagain2025 MamaSamia2025, Paul Makonda, @Nnape Nauye njooni mkanushe ukweli huu kwa hoja zenye ushahidi halafu mrudi tena kusema mbaguzi hapa ni nani. Pia mseme kama Rais Samia Suluhu Hassan sio mzanzibari, basi ni wa taifa lipi?

Na kuna ugumu gani wote kukiri kuwa kuna tatizo katika muungano huu wa 1964 kati ya Tanganyika na Zanzibar?

Kazi ya Tundu Lissu ni kuonesha matatizo lakini nyie mnamwita mbaguzi..!!

Looh!!, mna shida kwelikweli nyie

Pia soma: Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote
Anayeweza kusikiliza hiyo takataka ni nyumbu wenzie. Hilo shoga litakufa na upumbavu wake
 
Kama anazungumzia idadi ya watu na uwiano wa wabunge, ni vizuri tuanze na Dar na Dodoma. Dar inawapiga kura wangapi (kwa takwimu za 2020) na Dodoma ina wapiga kura wangapi na Wabunge wangapi.
Mliosoma mahesabu tupeni uwiano ndipo tutajua kuwa Lissu ni mbaguzi namba 1.

Mbaya zaidi yeye mwenyewe aqmekuwa bungeni na anajua wazi kuwa majimbo ya uchaguzi wa wabunge hautegemei wingi wa watu/wapiga kura. Atupe vigezo ili twende pamoja.
Huyu ni mbaguzi namba moja, kwani akimalizana wa Uzanzibari na utanganyika atakuja kwenye Usingida na Uchagani au Umasaini au UDar. Nyie subirini pale nchi yetu itageuzwa kuwa kama Ethiopia na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Hoja yako ni nini hapa?

Au huna bundle (MB) kufungua na kusikiliza video na kuelewa kilichozungumzwa?

Majibu ya maswali yote uliyouliza yamo kwenye maelezo ya TL kwenye video clip hiyo. Sikiliza tena, acha uvivu..
 
Kama anazungumzia idadi ya watu na uwiano wa wabunge, ni vizuri tuanze na Dar na Dodoma. Dar inawapiga kura wangapi (kwa takwimu za 2020) na Dodoma ina wapiga kura wangapi na Wabunge wangapi.
Mliosoma mahesabu tupeni uwiano ndipo tutajua kuwa Lissu ni mbaguzi namba 1.

Mbaya zaidi yeye mwenyewe aqmekuwa bungeni na anajua wazi kuwa majimbo ya uchaguzi wa wabunge hautegemei wingi wa watu/wapiga kura. Atupe vigezo ili twende pamoja.
Huyu ni mbaguzi namba moja, kwani akimalizana wa Uzanzibari na utanganyika atakuja kwenye Usingida na Uchagani au Umasaini au UDar. Nyie subirini pale nchi yetu itageuzwa kuwa kama Ethiopia na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Naona hujui unacho ongelea kuhusu huo uwiano unaokupa shida kuuelewa wewe.
Hata hujui Dar inao wabunge wangapi?
Unapoongelea Dodoma, una maana ya Dodoma mjini, au Dodoma mkoa?

Inasikitisha sana kuona kuwa hata hujui majimbo ya uchaguzi yanatakiwa kuwa na sifa zipi. Wewe unaishi Tanzania, au unatembelea tu!
 
Anayeweza kusikiliza hiyo takataka ni nyumbu wenzie. Hilo shoga litakufa na upumbavu wake
Hahaha, jilaumu mwenyewe kwa kuzaliwa na wazazi mbumbumbu, wenye uwezo mdogo kiakili, ukaenda shule badala ya kusoma ukakalia ujinga mwisho wa siku garbage in garbage out.
 
Huyu jamaa kwenye siasa yuko njema...kabla hujamjibu inabidi ufikirie sana.
Nawaza tu makonda alitaka debate na huyu mwamba...nacheka tu
 
Inashangaza kuwa kina Nape Nauye na CCM yake wanataka tuendelee kuishi ktk giza la ujinga na udanganyifu wa miaka 60..
'Generalization' isiyo kuwa na ukweli kabisa. Nimesita kidogo kuunyanyua huo mstari, lakini mwisho wa siku nikashindwa kuunyamazia.
Kamwe huwezi kusema Tanzania hii tumeishi "gizani na ujingani" kwa miaka yote hiyo sitini. Mtu unaposema maneno ya namna hii unavuruga kabisa hoja zote, hata zile nzuri unazotaka watu wazifahamu.
Nani asiyejuwa kelele za mara kwa mara toka Zanzibar kuhusu "Kero" za Muungano zilipamba moto nyakati zipi? Hiyo Katiba ya Zanzibar ilikuwepo 1964?
Haya mengi tunayoyashuhudia leo kuhusu Muungano na viongozi toka Zanzibar kuja kutawala Tanganyika, yalikuwa kama yalivyo leo hiyo miaka ya 60/70?
 
Wangefunika kombe mwanaharamu apite, huu muungano wa kihuni kabisa, kumbe walishajinyofoa kwenye Muungano sasa wamerudi kutuuza
 
Na ukishayaelewa na kulewa hayo maneno ya Lissu, kinachofuata ni vita vya vyenyewe kwa wenyewe. Huko ndio Lissu anakotupeleka.

Sikia nikwambia, idiolojia za Lissu hazina afya kabisa katika nchi yeyote ile ya Afrika. Jirani yako ndio mtu utayefanya naye biashara kwa ustawi wa Afrika na nchi moja moja. Huwezi kujua Ethiopia waliingiaje kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe. Ni kama hizi siasa za Lissu ndio mbolea nzuri sana ya kukupeleka katika nchi ya ahadi ya Lissu.

Baada ya maelezo yake, tuchukulie kesho mmetengana, na yeye ndio Rais, hivi atakwendaje kwa jirani kuomba ujirani mwema?
Wewe nadhani una shida kwenye ubongo na kichwa chako, sio bure..

Lengo la hoja ya Tundu Lissu sio hilo unalowaza wewe..

Yaani Tundu Lissu anaonesha changamoto na nyufa za muungano zilizo ndani ya katiba..

Badala ya wote tukubali na kuona kuwa ni kweli lipo tatizo la hivyo tukubaliane kukaa chini kama taifa kurekebisha kasoro hizo wewe unawaza vita ya wenyewe kwa wenyewe!... Una akili kweli???

Na kama hizi ndio akili za CCM na kushapaza shingo zao, unadhani chanzo cha machafuko (kama yakitokea) watakuwa kina nani Tundu Lissu na CHADEMA au ni hawa watawala wenye shingo gumu za kukubali udhaifu wao?
 
'Generalization' isiyo kuwa na ukweli kabisa. Nimesita kidogo kuunyanyua huo mstari, lakini mwisho wa siku nikashindwa kuunyamazia.
Kamwe huwezi kusema Tanzania hii tumeishi "gizani na ujingani" kwa miaka yote hiyo sitini. Mtu unaposema maneno ya namna hii unavuruga kabisa hoja zote, hata zile nzuri unazotaka watu wazifahamu.
Nani asiyejuwa kelele za mara kwa mara toka Zanzibar kuhusu "Kero" za Muungano zilipamba moto nyakati zipi? Hiyo Katiba ya Zanzibar ilikuwepo 1964?
Haya mengi tunayoyashuhudia leo kuhusu Muungano na viongozi toka Zanzibar kuja kutawala Tanganyika, yalikuwa kama yalivyo leo hiyo miaka ya 60/70?

Unaweza kurekebisha tu na utaeleweka..

Badala ya "tumeishi kwenye giza la ujinga na udanganyifu kwa miaka 60 toka mwaka 1964", wewe unaweza kutaja kipindi cha muda tuliokaa ktk giza la udanganyifu huu wa utawala wa CCM..
 
Ni Ndondocha pekee wanaosema kwamba kumwita mtu Mzanzibar (kama katiba yao inavyosema) ni ubaguzi.. akili za kushikiwa tu hizi, sijui wamezitoa kwenye maharagwe ya wapi...
Kwahiyo katiba ya Zanzibar ni batili !.
 
View attachment 2977398
Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za JMT (1977) na ile ya Zanzibar (1984) akihutubia maelfu ya wananchi Dodoma jana tarehe 29/4/2024.

Hakika utafunguliwa ufahamu wako na kila mtu atajua mjinga na mwerevu ni nani. Pengine ndiye mtawajua wabuguzi halisi ni kina nani...

Hii ni muhimu sana Nape Nauye na chama chake (CCM) wajitokeze kujibu hoja hizi na kuukanusha ukweli huu wa kikatiba kama unakanushika.

Mimi hata sijui mtu mwenye uelewa na ufahamu kama Tundu Lissu unaweza kumkamatia wapi ili umshitaki afungwe jela. Ni ngumu na pengine haiwezekani tu kabisa maana ni hakika kuwa: KNOWLEDGE IS POWER..!

Kila mtu anajua na kuelewa kuwa Samia Suluhu Hassan ni Mzanzibari. Yupo hapo kwa katiba hii ya 1977. HilI sina hakika kama lina ubishi wowote na kwwamba yupo mtu anaweza kulikanusha hili..

Na hivi inawezekana vipi kuwa kila ukweli unaojifunua kupitia kwa watu kama Tundu Lissu aliyejitoa kupigana kwa damu yake mwenyewe kwa ajili ya manufaa ya watu masikini wengi iwe ni ubaguzi na uchochezi? Really?

Mimi nadhani ifike wakati kila mtu wakiwemo watawala kupitia CCM waelewe kuwa nyakati za kuishi katika giza la ujinga wa kudanganywa na watawala umefika mwisho. Tunachosubiri kwa sasa ni justification tu kupitia "unyakuo"

Inashangaza kuwa kina Nape Nauye na CCM yake wanataka tuendelee kuishi ktk giza la ujinga na udanganyifu wa miaka 60..

Hapana. HII HAIWEZEKANI TENA... Watu wanataka kuishi katika Nuru ya haki na usawa...

Hebu nyie kina Dr Akili, ChoiceVariable, Tlaatlaah, Samiaagain2025 MamaSamia2025, Paul Makonda, @Nnape Nauye njooni mkanushe ukweli huu kwa hoja zenye ushahidi halafu mrudi tena kusema mbaguzi hapa ni nani. Pia mseme kama Rais Samia Suluhu Hassan sio mzanzibari, basi ni wa taifa lipi?

Na kuna ugumu gani wote kukiri kuwa kuna tatizo katika muungano huu wa 1964 kati ya Tanganyika na Zanzibar?

Kazi ya Tundu Lissu ni kuonesha matatizo lakini nyie mnamwita mbaguzi..!!

Looh!!, mna shida kwelikweli nyie

Pia soma: Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote
Ni kauli zisizokuwa na mantiki
 
Na ukishayaelewa na kulewa hayo maneno ya Lissu, kinachofuata ni vita vya vyenyewe kwa wenyewe. Huko ndio Lissu anakotupeleka.

Sikia nikwambia, idiolojia za Lissu hazina afya kabisa katika nchi yeyote ile ya Afrika. Jirani yako ndio mtu utayefanya naye biashara kwa ustawi wa Afrika na nchi moja moja. Huwezi kujua Ethiopia waliingiaje kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe. Ni kama hizi siasa za Lissu ndio mbolea nzuri sana ya kukupeleka katika nchi ya ahadi ya Lissu.

Baada ya maelezo yake, tuchukulie kesho mmetengana, na yeye ndio Rais, hivi atakwendaje kwa jirani kuomba ujirani mwema?
Kweli ccm hamna akili ndio umeandika taka taka gani hizi
 
Unaweza kurekebisha tu na utaeleweka..

Badala ya "tumeishi kwenye giza la ujinga na udanganyifu kwa miaka 60 toka mwaka 1964", wewe unaweza kutaja kipindi cha muda tuliokaa ktk giza la udanganyifu huu wa utawala wa CCM..
Sawa, lakini fahamu kuwa haikuwa lawama kwako. Unapofanya 'sweeping statement' kama ulivyofanya, inakuwa ngumu sana kutetea hoja unayoiwasilisha.
 
Back
Top Bottom