Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Kwa wale wataalamu wa lughaza picha watanielewa.

Ipo hivi "ukimkazia mwanamke wa kijita macho , ukamwangalia kwa makini kwa kukutanisha macho ukautafsiri na uao wake utagundua ule upole unao onekana kwenye nyuso na macho yao, nyuma yao kuna ugaidi mkubwa sana.

Kaa mnabisha anzeni kufanyia research hili jambo.

Ni rahasi sana kuitambua tabia ya mwanamke kwa kumwangalia macho na lipsi zake wakati anaongea
Waigizaji hatari,mdogo wangu alioa mjita tukaingia mzigon walivyo achana tukachinja mbuzi

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
Niliisha wapigia kelele kuhusu hilo na mimi nina ushahidi wa Baba zangu watatu kuoa wajita ila wote walifukuzwa.

Aisee yaani ni wabishi hatari.....
Screenshot_2023-08-17-16-20-08-01.jpg
 
da!!!!! ata WAPANGWA wako hivihivi,,,,,yaani kila ulichoandika kinaendana 100% na WAPANGWA,,,alaf wanaroga mpaka vyuma!!!
Hapo kwa Wapangwa (Warundi kwa asili) nina visa kama vyote!
Mzaramo n.k hamshindi Mpangwa kwa mdomo, maulozi n.k.
Ukijichanganya utaona jehamanu live ukiwa hapa duniani.
 
Wajita, Wakwaya, Wakerewe na jamii zao wote. Hawa watu ni wa kuoana wao kwa wao


Ukijifanya kukaza shingo, utajua wewe

Aiseeh hao ulioorodhesha hapo kaa mbali na wanawake wa hayo makabila ni bora usioe kabisa

Eeh shetani, tarumbeta, majuto hivyo vitatu hata ndugu zako hapo sio wanafiki kwenye kukuhurumia wapo serious kweli wanakuhurumia.

Na kujinasua sio rahisi ukiyatimba!

Wana msemo wao SIGA UNGWE!
 
Hao wakujifanya hawataki kutawaliwa oeni nyinyi me nilikula tu nkaacha.
 
Back
Top Bottom