Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Yanikute mangapi?? Nimeshatendwa na mtu ni mpemdae, nimeshaumizwa moyo na mtu ni mpendae lakini kwangu yote kheri bado nampenda na sifikirii kumuachaMasomo kama haya huwezi kuelewa mpak yakukute , huwaga wanakaa Tu kwenye mstari
Ushauri huu umeanza kuniingia akilini.Wapo vijana humu wanaojiandaa na ndoa, nawaasa vijana wa kiume, usitumie nguvu nyingi Sana kumshawishi mwanamke unayempenda ili aridhie kuwa na wewe... unaweza tumia nguvu ya pesa kumshawishi ili umtumie kama part time, Ila kwenye swala la ndoa usidhubutu kabisa kuoa mwanamke asiyekupenda.
Kama unatumia nguvu nyingi Sana pengine Mali na fedha kumshawishi mwanamke mpaka akakubali tambua tuu huyo mwanamke hakupendi, na endapo utamuoa utakuja kujuta.
Mwanamke anayekupenda huwa haombi vitu ovyo ovyo ni nadra Sana, na ikitokea ujue huyo ni extremely emergency, atajitahidi hakuudhi wala kukukwaza na atakusikiliza Kwa kila kitu, na kila mwanaume duniani anaye mwanamke anayempenda, shida ni kwamba tamaa na mionekano ya wanawake wa hovyo ndo huwa inatuponza.
Kama kuna mwanamke anakupenda na wewe unamuona kama anafaa japo sio wa viwango unavyotaka usipoteze mda weka ndani , utaenjoy Sana , na utafanya mambo makubwa , hawa wa kuhonga Sana ndo akukubali jiandae kuchapiwa Sana na kuzalishiwa watoto wasio wako.
Mengine Robert Heriel Mtibeli ataongezea
Hicho kitu kisiwe pesa ila personality.mwanamke lazma avutiwe na kitu flani ili akupende
Dah kuna ukweli hapa.Tatizo wanaotupenda kwa dhati wanakua sio visu aisee. Dah!
Rejea comment tajwa hapo juu [emoji16]Unakazia nn wewe [emoji3][emoji3]
Hapo ili uwamudu hakikisha una michuzi ya kumwaga.Suala la kuoa sitaki kulisikia tena
Nipate tu watoto tena watoto 3 kila mtoto na Mama yake.
Naona ntaua na kuishia jela.
Hela tunatafta Home Boy.Hapo ili uwamudu hakikisha una michuzi ya kumwaga.
Leteni maji ya baridi tumwagie huyu, usingizi bado mzito....atalowesha kitanda sio mudaWapo vijana humu wanaojiandaa na ndoa, nawaasa vijana wa kiume, usitumie nguvu nyingi Sana kumshawishi mwanamke unayempenda ili aridhie kuwa na wewe... unaweza tumia nguvu ya pesa kumshawishi ili umtumie kama part time, Ila kwenye swala la ndoa usidhubutu kabisa kuoa mwanamke asiyekupenda.
Kama unatumia nguvu nyingi Sana pengine Mali na fedha kumshawishi mwanamke mpaka akakubali tambua tuu huyo mwanamke hakupendi, na endapo utamuoa utakuja kujuta.
Mwanamke anayekupenda huwa haombi vitu ovyo ovyo ni nadra Sana, na ikitokea ujue huyo ni extremely emergency, atajitahidi hakuudhi wala kukukwaza na atakusikiliza Kwa kila kitu, na kila mwanaume duniani anaye mwanamke anayempenda, shida ni kwamba tamaa na mionekano ya wanawake wa hovyo ndo huwa inatuponza.
Kama kuna mwanamke anakupenda na wewe unamuona kama anafaa japo sio wa viwango unavyotaka usipoteze mda weka ndani , utaenjoy Sana , na utafanya mambo makubwa , hawa wa kuhonga Sana ndo akukubali jiandae kuchapiwa Sana na kuzalishiwa watoto wasio wako.
Mengine Robert Heriel Mtibeli ataongezea
Ukweli mchungu,ila kikubwa anatakiwa kuwa mwelewa maana tofauti na hapo unaweza kumuumiza kihisia kama huna stamina ya maneno au uvumilovu maana ni rahisi kumtoa kasoro Kwa sababu sio chaguo lako namba 1.Wapo vijana humu wanaojiandaa na ndoa, nawaasa vijana wa kiume, usitumie nguvu nyingi Sana kumshawishi mwanamke unayempenda ili aridhie kuwa na wewe... unaweza tumia nguvu ya pesa kumshawishi ili umtumie kama part time, Ila kwenye swala la ndoa usidhubutu kabisa kuoa mwanamke asiyekupenda.
Kama unatumia nguvu nyingi Sana pengine Mali na fedha kumshawishi mwanamke mpaka akakubali tambua tuu huyo mwanamke hakupendi, na endapo utamuoa utakuja kujuta.
Mwanamke anayekupenda huwa haombi vitu ovyo ovyo ni nadra Sana, na ikitokea ujue huyo ni extremely emergency, atajitahidi hakuudhi wala kukukwaza na atakusikiliza Kwa kila kitu, na kila mwanaume duniani anaye mwanamke anayempenda, shida ni kwamba tamaa na mionekano ya wanawake wa hovyo ndo huwa inatuponza.
Kama kuna mwanamke anakupenda na wewe unamuona kama anafaa japo sio wa viwango unavyotaka usipoteze mda weka ndani , utaenjoy Sana , na utafanya mambo makubwa , hawa wa kuhonga Sana ndo akukubali jiandae kuchapiwa Sana na kuzalishiwa watoto wasio wako.
Mengine Robert Heriel Mtibeli ataongezea
Atamwambia Kwa maneno ila Moyo is something elseMwanamke wa kukupenda unampata wapi? Baba wa huyo mwanamke unayemsubiri anamfundisha bintiye, sisi wanaume wote ni mbwa, ukipata mwanaume kumbuka kuleta maokoto hapa.
Mama wa huyo mwanamke unatemtarajia anamfundisha bintiye, mwanamke jiko, jiko mafiga matatu.
Unaweza kuwa na michuzi ya kumwaga na bado mkeo akagongwa na muuza samak tena ndani ya nyumba yakoHapo ili uwamudu hakikisha una michuzi ya kumwaga.
Subiri waoe kwanza kama ulivyooa, waache mke kwanza kama ulivyoacha weweNdoa na kuoa ni ufala ni maamuzi endelevu ya kikao chetu, tuwanyandue tuwape mimba na tuwawezeshe waendelee kulea watoto basi. Otherwise mnaoa wote ni wafuasi wa popobawa
Ukiwa na michuzi hakikisha mapenzi hayakuendeshiUnaweza kuwa na michuzi ya kumwaga na bado mkeo akagongwa na muuza samak tena ndani ya nyumba yako
Kuoa ni uzombi wakati mademu wamejaa tele napiga threesome Kila weekend hivi tu muda huu najianda natoka naenda kula bata na mademu nimewaanda kiakili dadeki huo ungedere siweziSubiri wake kwanza kama ulivyooa, waache mke kwanza kama ulivyoacha Cha wewe