Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahaaa....bora angehonga mbususu tuKufa huwezi kufa ila ukweli ni kwamba hakuna Rangi utaacha kuona kwa sababu kipindi cha matatizo, matatizo huwa yanaitana kwa pamoja, hadi inafikia hatua wewe unakaa pembeni unayaacha
Sasa kwanini ujimalize na ushajua ulipoangukiaNashindwa kuwaambia jinsi nilivyojikatia tamaa kiasi cha kuwa kichaa.
Ila ninachoweza kuwaambia tu vijana wenzangu tuacheni kubeti kwa malengo kwamba tunapata pesa huko haraka haraka.
Fikiria nimefanya kazi ya kuajiriwa kwa miaka 8, nikafukuzwa kazi nikaenda NSSF nikachukua milion 7.5 niliyokuwa nakatwa alafu yote nimeimaliza kwenye kindege cha aviator ndani ya siku 5 tu.
Nahisi kuna roho flani iliniongoza kwa sababu kwa akili ya kawaida najiona siyo mimi.
Lengo ilikuwa kubetia elfu 50 kama mtaji wa kubetia lakini kilichofata ni kupoteza milion 7.5 zote bila kubaki hata mia ndani ya siku 5 tu.
Hapa nilipo I wish hata nijitoe roho tu maana sijui ni wapi naanzia maisha tena pesa yote nishaipoteza kwenye uraibu wa kamari.
Kila nikiwaza nna miaka 30, sijaoa, sina biashara yoyote niliyoisimamisha kunilinda, sina maisha, kwa kifupi hiyo milion 7.5 nilitegemea ndiyo niingie nayo mtaani inilinde.
Lakini shetani kanikamata na kunikanda kisawa sawa.
Najiona mjinga wa kiwango cha Phd ndiyo maana nimejiita Zero Brainer, sina wa kumlaumu ila tujiepushe sana na uraibu hasa wa kubeti.
Mimi naweza nikafa leo ila sitaki vijana wenzangu yaje yawakute yaliyonikuta mimi sasahivi.
Mimi hali nnayopitia sasa kwa sababu ya kubeti nakosa maneno ya kuwaelezea ila siku nikifa mjua KINDEGE cha AVIATOR kimesababisha kifo changu .
Hii nayo ni ID yako pia au wewe ni Chawa? Inahitaji akili ndogo tu ya darasa la 2 kujua hii ni Fiction.Kwakuwa wewe umezoea kutunga Hadith zako humu unahisi ni wote waongo waongo kama wewe
Ukinunua hisa za laki 1 kwa mwaka unapata laki na nusu. Umeelewa?Hebu tufafanulie hii utterly Amis,inakuwa vipi.Na unalipwa kwa mda gani,na wako wapi?Mbona hawajitangazi.
HAta sio sayansi. Betting ni uhuni tu wa kipumbavu pumbavuBetting is sayansi mzee ukiingia kichwa kichwa unafilisika
Yaani kweli wewe ni NYUMBUInaitwaje play store
Mh mbona Playstore hua haiweki app za betting? Hawa wamepenyajeKindege ni program ya kubet ipo kwenye playstore.
Unadownload na kuanza kucheza kwa kutia hela ili upate fedha.
Nishifikia asilimia 95 ya mawazo ya kujiua siku nilipomalizwa kabisa nikabaki na zero.Pole sana mkuu, kubali kuwa umepoteza na anza upya ikiwezekana badili mazingira uza ulichonacho kaanze maisha upya sehem nyingine na usijejaribu kusema utairudisha hiyo hela na kutaka kuirudisha kupitia kamari, utapoteza kila kitu mpaka uhai.
Nimerudi sema moderators walikuwa wanazingua.Huyu jamaa hajarudi tena humu kusoma usharudi au ndo tayari
Pole sana kijana. Unaweza kunicheki pm kwa msaada zaidi. Tafadhali naomba usipuuzeNashindwa kuwaambia jinsi nilivyojikatia tamaa kiasi cha kuwa kichaa.
Ila ninachoweza kuwaambia tu vijana wenzangu tuacheni kubeti kwa malengo kwamba tunapata pesa huko haraka haraka.
Fikiria nimefanya kazi ya kuajiriwa kwa miaka 8, nikafukuzwa kazi nikaenda NSSF nikachukua milion 7.5 niliyokuwa nakatwa alafu yote nimeimaliza kwenye kindege cha aviator ndani ya siku 5 tu.
Nahisi kuna roho flani iliniongoza kwa sababu kwa akili ya kawaida najiona siyo mimi.
Lengo ilikuwa kubetia elfu 50 kama mtaji wa kubetia lakini kilichofata ni kupoteza milion 7.5 zote bila kubaki hata mia ndani ya siku 5 tu.
Hapa nilipo I wish hata nijitoe roho tu maana sijui ni wapi naanzia maisha tena pesa yote nishaipoteza kwenye uraibu wa kamari.
Kila nikiwaza nna miaka 30, sijaoa, sina biashara yoyote niliyoisimamisha kunilinda, sina maisha, kwa kifupi hiyo milion 7.5 nilitegemea ndiyo niingie nayo mtaani inilinde.
Lakini shetani kanikamata na kunikanda kisawa sawa.
Najiona mjinga wa kiwango cha Phd ndiyo maana nimejiita Zero Brainer, sina wa kumlaumu ila tujiepushe sana na uraibu hasa wa kubeti.
Mimi naweza nikafa leo ila sitaki vijana wenzangu yaje yawakute yaliyonikuta mimi sasahivi.
Mimi hali nnayopitia sasa kwa sababu ya kubeti nakosa maneno ya kuwaelezea ila siku nikifa mjua KINDEGE cha AVIATOR kimesababisha kifo changu .
Sema ueleweshwe mzee sio kulaumu tuu au unaliwa sana kamari ukibetHAta sio sayansi. Betting ni uhuni tu wa kipumbavu pumbavu
Shukuru umeweza kujidhibiti, hujawa mlevi bado.Nilivo bahili hivi nimpe muhindi M7, roho hiyo sina bora hiyo ela nikalewa na kutindulia malaya ila sio kubet.
Nikiliwa buku tu hapo kubet tena hadi mwezi ujao