Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

Sema kwa namna ulivyo andika hivyo unaonekana ni mtu ambaye:-

1. Unapenda kulamba lipsi. ( ushoga ndo huazia hapa)

2. Maneno ya vijiweni kwa sana( mipango isiyo na vichwa wala miguu)
 
hakuna biashara isiyokosa mteja "kwa wale wanawake wapenda wanaume walio na sura ngumu sana nipo hapa tafadhal.....nb Mugabe haoni ndani
 
One man down!!
 
Hata yule jamaa wa gym kule South ni handsome ila ana traco balaa
 
Nyie mashoga mnaanzia mbali sana. Huwezi kuta mwanaume Rijali anazungumza maneno haya. Hata siku moja. Ni ninyi tu machoko.
We unasura ngumu ndo mana, acha kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…