Vijana wasasa, bikra tunazichukulia tofauti sana kulinganisha na enzi za wazee wetu

Vijana wasasa, bikra tunazichukulia tofauti sana kulinganisha na enzi za wazee wetu

Kuna litmus tests lakini ndo hivyo, not reliable.

Mostly the female is on the loosing side, anaangushiwa jumba bovu.

Lakini mzungu akasema ah ah not fair siku hizi bikra za kununua zipo 😏
Artificial bikra, ila moyo hauwezi kuwa fixed. Makovu kila sehem
 
Hamna adui mkubwa wa mahusiano mapya au ndoa kama MA-EX. Husiombee ya kutokee, ukimuona mpenzi wako ana mawasiliano na Ex wake hapo 99.9999.... wanapasha kiporo.

Hapo ndipo utakapoona Mungu aliona mbali aliposema tusionjane mpaka ndoa kwani aliyajua haya. Utaanza kufananisha mara anakibamia, mara bwawa,mara anakubwa ila inalala baada ya dk tatu, mara papuchi inatisha ina mashavu mabaya nk.

Hapo bado kwenye changamoto za mahusiano yake mapya au ya ndoa baada ya kutafakari na kutafuta solution ya kudumu atakumbuka best moment za yy na EX wake na kumuona
EX wa maana kuliko mpenzi wake wa sasa
 
Hamna adui mkubwa wa mahusiano mapya au ndoa kama MA-EX. Husiombee ya kutokee, ukimuona mpenzi wako ana mawasiliano na Ex wake hapo 99.9999.... wanapasha kiporo.

Hapo ndipo utakapoona Mungu aliona mbali aliposema tusionjane mpaka ndoa kwani aliyajua haya. Utaanza kufananisha mara anakibamia, mara bwawa,mara anakubwa ila inalala baada ya dk tatu, mara papuchi inatisha ina mashavu mabaya nk.

Hapo bado kwenye changamoto za mahusiano yake mapya au ya ndoa baada ya kutafakari na kutafuta solution ya kudumu atakumbuka best moment za yy na EX wake na kumuona
EX wa maana kuliko mpenzi wake wa sasa
Ex ni kisanga. Wanafanya mahusiano yasitulie, na hii yote inatokana na majeraha yaliyobaki mioyoni mwa watu
 
Na huu ndio ukweli. Watu ambao wamekutana na shuruba ya kutosha, ili waweze kudumu kwenye mahusiano na kuwa na furaha, wanahitaji mtu ambae hana jeraha, mwenye kuweza kuvumilia sana. Kinyume na hapo, ndio watakuja na hizi kampeni
One truth though,
hakuna yeyote anayejipenda atakubali kuwa kwenye mahusiano na mental case subjecting themselves to mistreatment or abuse of any kind!
 
One truth though,
hakuna yeyote anayejipenda atakubali kuwa kwenye mahusiano na mental case subjecting themselves to mistreatment or abuse of any kind!
Na ndio hapo series ya heartbreak inapoendelea. Maana akishagundua hapa kisirani kingi, nae anaondoka
 
Boomer age bulge🚮.

Maswala ya bikra yalishapitwa na wakati millenials sisi si wakoloni. Uwe nayo usiwe nayo. Unaliwa mzigo ukiznguliwa unaachwa. BTTS. Mwanamke atolewe bikra anaacha au anaachwa, we don’t care .
Na tutachukulia kawaida saaana.

Wazee walikaza ubongo, walikua too much know, na walpenda mambo yao yaonekana too official.hawa wazee pia hadi leo wanatufanya ili ufanikiwe lazma usome sana. Of which after time pia itapotea.

Wazungu wao wana sweet sixteen. Kawe bikra kasiwe inakuintroduce kuwa hostess, ajue muda wwte binti anaweza gongwa, na haijalishi yeye ni bikra, ila inaitwa amekua matured.

Rejea sentensinyangu ya kwanza imejibu heading.
 
Boomer age bulge[emoji706].
Maswala ya bikra yalishapitwa na wakati millenials sisi si wakoloni. Uwe nayo usiwe nayo. Unaliwa mzigo ukiznguliwa unaachwa. BTTS. Mwanamke atolewe bikra anaacha au anaachwa, we don’t care .
Na tutachukulia kawaida saaana.
Wazee walikaza ubongo, walikua too much know, na walpenda mambo yao yaonekana too official.hawa wazee pia hadi leo wanatufanya ili ufanikiwe lazma usome sana. Of which after time pia itapotea.
Wazungu wao wana sweet sixteen. Kawe bikra kasiwe inakuintroduce kuwa hostess, ajue muda wwte binti anaweza gongwa, na haijalishi yeye ni bikra, ila inaitwa amekua matured.
Rejea sentensinyangu ya kwanza imejibu heading.
Sahihi kabisa Mkuu.
Mkongwe Akaza na Bikra na huku vijana wa Leo wanaona Wote Wana watoto, BTTS yani GG .
Tapeli na Mzurumati nani mkali.
 
Back
Top Bottom