Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Na ukiona Mwanamke kapanga tena Room kali ishi nae kwa akili sana.Huo ndo ukwel unakuta mdada kapanga room ya maana tu na ukichek biashara yake eti ni kuuza kanga real!
Exactly.... Na wanapeana vichwa kwa kujiita MALKIA WA NGUVU hali ya kuwa hiyo biashara inampa hasara ila Namna/Nyenzo nyingine inakwamua hilo swala.Nilikuwa chuo nikajichanganya biashara flani inafanywa kienyeji na pisi kali. Nikaona potential ya kuifanya vyema kwa concentration, sikupata mafanikio kivile. Baadae ndio nikajua wala hata hawaitegemei kuishi ndio maana nashangaa wanaifanya kizembe, nikaacha kujipa stress.
Tangu hapo nikagundua kitu ambacho hakitajwi kwenye business research, fanya research ya kina nani wanafaa biashara flani, the same thing ambavyo mdada mfupi una kitambi huwezi kuwa air hostess ndivyo biashara nyingine zinakataa watu, mdada una mapunye unauzaje skin products.
Na ukitaka kuiiga biashara chunguza wanaoifanya hiyo wanaitegemea kuishi au kuna kitu kingine. Sio uko Mwenge unauza simu pekee unashindana na mwingine ana mishe nyinginezo uko. Kama mnafanana vyanzo vya mapato hapo tafuta unakwama wapi
Kwenye udangaji.Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Wewe huna shimo la asili?[emoji28]
Tena miaka ijayo haitakua bahati tena, itakua ni biashara mwanamke atatoa pesa kununua ndoaKumbe kuolewa ni bahati eenhe!?
[emoji709]Wewe huna shimo la asili?[emoji28]
Binti unatutusi?Wewe huna shimo la asili?😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumeolewa na bodaboda [emoji2301]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eee 🫣
Baby nikwambie kitu...Wengi wanadanga
[emoji3][emoji3] na wako serious nayo sanaBaby nikwambie kitu...
Hi nayo ni aina flani ya ajira[emoji3]
Sasa hao nao ni wanawake wa kujivunia mkuu? Hebu nioneshe mwanamke aina hii ambaye anauza mboga mboga aniletee nyumbani kwangu weekend.Tupo wateja, Mimi kwa experience naona hawa wanatupitishia sijui samaki, mboga mboga n.k majumbani, wakiingia nyumba watu wanakaa single wanagongwa sana, Mimi kuna kadhaa uwa wananiambia hela yako tu.
Hao wanaoenda kukodisha utamu hela wanazitoa wapi?Wengi wao wanafanya ile biashara ya kukodisha utamu
Hahahahahah bila shaka itakuwa ile biashara ya kuuza ubuyu wa babu Issa kwenye vipakti vya maua maua na vikopo vya glass vile 🤣🤣🤣 ukahisi zile buku buku ndio zinawalipa sio?Nilikuwa chuo nikajichanganya biashara flani inafanywa kienyeji na pisi kali. Nikaona potential ya kuifanya vyema kwa concentration, sikupata mafanikio kivile. Baadae ndio nikajua wala hata hawaitegemei kuishi ndio maana nashangaa wanaifanya kizembe, nikaacha kujipa stress.
Tangu hapo nikagundua kitu ambacho hakitajwi kwenye business research, fanya research ya kina nani wanafaa biashara flani, the same thing ambavyo mdada mfupi una kitambi huwezi kuwa air hostess ndivyo biashara nyingine zinakataa watu, mdada una mapunye unauzaje skin products.
Na ukitaka kuiiga biashara chunguza wanaoifanya hiyo wanaitegemea kuishi au kuna kitu kingine. Sio uko Mwenge unauza simu pekee unashindana na mwingine ana mishe nyinginezo uko. Kama mnafanana vyanzo vya mapato hapo tafuta unakwama wapi
Ogopa sana hio namba 1 na 2 kama mwanamke mwenyewe ana sura na shape nzuri ya kuvutia.Na ukiona Mwanamke kapanga tena Room kali ishi nae kwa akili sana.
.1- Hiyo ni Ofisi yake (Umalaya)
.2- Hapo kapangiwa na Mwanaume wake(Mjinga mjinga mmoja (SPONSOR))
.3- Ni kweli kafight kapanga.(5/100)
Hilo swali waajiri hatulipendi, unalijibu kishingo upandeBaby nikwambie kitu...
Hi nayo ni aina flani ya ajira😀
Zile ni bidhaa za nje tu,mali yenyewe utaikuta stooHahahahahah bila shaka itakuwa ile biashara ya kuuza ubuyu wa babu Issa kwenye vipakti vya maua maua na vikopo vya glass vile 🤣🤣🤣 ukahisi zile buku buku ndio zinawalipa sio?