Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 720
- Thread starter
- #81
Usikate tamaa kila kitu na wakati wake wenda labda unachagua ambao sio wa level zako ila trust me hapa dunian kila mtu yupo yule ampandae kwa dhatiApo kwenye nimpende na anipende ndo changamoto maana toka nimekuwa mkubwa napendaga tuu hata sipendwi basi hadi nimekata tamaaa
Sent using Jamii Forums mobile app