02 March 2022
Khabari hii ni Kwa hisani kubwa ya Mzee Mohamed Said wa JF :
MAGAIDI'' WAENDELEA KUACHIWA VIPI HAWAKUWA MAGAIDI WA KWELI?
Waislam watatu wamekufa jela.
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
02/03/2022
ARUSHA: MKURUGENZI WA MASHTAKA (DPP) AWAFUTIA TUHUMA ZA UGAIDI WAISLAMU 28.
Waislamu hao ambao jumla yao ni 59, wamefutiwa mashtaka tarehe 25.2.22 na 1.3.22. Kwa hatua hiyo waliobaki gerezani ni 31. Waliofutiwa mashtaka ni:
1.Mohammed Said Ansi (hambal)
2.Abdallah Abdurahman kimolo
3.Yunus salimu msuta
4.Abdurahman Abubakar Gotcha (kamzuzu)
5.Hamad Issa Sigh
6.Masumai Fadhili
7.Sadiki Hussein
8.Ismail Juma
9.Bahari Lazaro
10.Abdurazaq Muhammad
11.Muhammad Said Omary
12.Yassin Mohamed
13. Said Omary Said
14. Sudi Nasibu Rusuma
15. Athuman Mmasa
16. Shabani Mmasa
17. Abdula'ziz Shabani Mkindi
18. Mustafa Mohamed Kihago
19. Mohamed Nuru
20. Maka Sudi Gewa
21. Swalehe Khamis
22. Kimolo Issa mshana
23. Abdallah Juma (mayaula)
24. Abdallah Yassin
25. Marijani Charles (mswahili)
26. Khalidi Shabani Mahami
27. Juma Suleiman Nguli
28. Idd Ramadan Yusufu
Watatu miongoni mwao walifariki dunia wakiwa mahabusu.
Wamekaa gerezani kwa zaidi ya miaka saba kwa sababu ya upande wa serikali kukosa ushahidi.
Ibrahimu Zuberi Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
The Prevention of Terrorism Act is fraught with legal defects.[10] It is beyond the scope of this paper to go into all the shortcomings.
Suffice to say that the act curbs democracy, free association, exchange of information, the right to own property, etc.
There are also sections, which give the Minister of Home Affairs undue powers to declare any person a ‘terrorist’ on mere suspicion.
In a country where the Church controls the government, one can only imagine the dangers facing Islam.
The law empowers the Minister to freeze bank accounts of any suspected ‘terrorist organisation’ or individual. Nowhere is the law frightening than in part V 28 (6). This section deserves special mention.
It stipulates that:
A police officer who uses such force as may be necessary for any purpose, in accordance with this Act, shall not be liable, in any criminal or civil proceedings, for having, by the use of force, caused injury or death to any person or damage to or loss of any property.
Muslims were concerned because the parliament was being manipulated by a foreign power in partnership with the Christian lobby to legitimise oppression against them.
It was now legitimate to kill ‘Muslim fundamentalists’ or suspected ‘terrorists’ on mere suspicion.
There were many good reasons for Muslims to register concern. There had been incidences in the past where state organs have used excessive force against Muslims resulting into deaths of Muslims.
The act in a multi racial society like Tanzania incites racial and religious hatred against Muslims particularly those not of black African origin.
The Act managed to fan fear and hatred against Muslims whipping up a frenzy of Islamophobia in the country.
The smoke bombing of mosques and mass arrests of sheikhs over the years, were one of the means of intimidating Muslims and rescuing the Church from its predicament.[11]
What was there to prevent state organs from applying the Act in subverting Islam?
Source :
''MAGAIDI'' WAENDELEA KUACHIWA VIPI HAWAKUWA MAGAIDI WA KWELI? Waislam watatu wamekufa jela. Bismillahir Rahmaanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA 02/03/2022 ARUSHA: MKURUGENZI WA MASHTAKA (DPP) AWAFUTIA TUHUMA ZA UGAIDI WATU 28. Waislamu hao ambao jumla yao ni 59, wamefutiwa mashtaka...