Mfano wa Meli kusubiri kutia nanga kwa Dar es Salaam ni siku tano tofauti na wastani wa siku 1 na saa 6 kwa Bandari ya Mombasa.
Sasa huu ndio ujinga ambao mtu hata Profesa anaweza kuwa nao na asijitambue kuwa ni mjinga.

Kama ni kweli, Kwamba "wastani wa meli kusubiri Mombasa ni siku 1 na saa 6", kwa nini tusijifunze kwa hao Mombasa wanavyofanya vizuri hivyo ili na sisi tupate mafanikio hayo?
Mombasa kwani imeuzwa lini?

Huyu Mbarawa nilimpa heshima kubwa sana enzi za Magufuli, na alipotumbuliwa sikuelewa kwa nini ilikuwa hivyo, kumbe naye kichwani ni mweupe kiasi hiki?

Naye ni FISADI mkubwa?
 
Hii inawauma sana CHADEMA kuona Professor Mbarawa anavyohangaikia Nji yake waowanasema ni Mzanzibari si wao. As we speek wako EU kwa mabeberu nadhani watajarinu kumfitinisha lakini Bunge letu ni imara na ni Zalendo.
 
Kama ni kweli, Kwamba "wastani wa meli kusubiri Mombasa ni siku 1 na saa 6", kwa nini tusijifunze kwa hao Mombasa wanavyofanya vizuri hivyo ili na sisi tupate mafanikio hayo?
Mombasa kwani imeuzwa lini?


🙏🏻🙏🏻🙏🏻 💯% ✔
 
Hawa viongozi wa dini wataongeza au kupunguza nini katika huo mkataba?!
Wanataka kula ubwabwa tu hao.
Ungejua kwanza ni nani aliyeitisha hicho kikao ndipo ungeelewa maana ya kikao hicho.
Hawa watu wa dini sasa wanatafutwa ili watumike kupoza jamii, ambayo wengi wao ni washiriki wa hizo dini.
 
Mbarawa, umewaambia hao mapadre kwanini bandari na ardhi ya Zanzibar havimo Kwenye mkataba?
Vyote vimo katika mkataba huu, ni tundulissu ndiye aliyemdanganya Mbowe haraka haraka akakurupuka kuwa Zanzibar haimo eti akidai TPA ni ya Tanzania Bara tu kumbe ina mamlaka hadi Zanzibar. Aidha, Tundu alimpotosha Mbowe kuwa Professor Mbarawa hana madaraka Zanzibar kumbe anayo. Sasa Watanzania wote tunaanza kuona ni watu gani wako CHADEMA - wabinafsi, wabaguzi, waongo, walaghai.
 
Shut up!
 
Ungejua kwanza ni nani aliyeitisha hicho kikao ndipo ungeelewa maana ya kikao hicho.
Hawa watu wa dini sasa wanatafutwa ili watumike kupoza jamii, ambayo wengi wao ni washiriki wa hizo dini.


Lazima Rais Samia ajue kwa swala hili la bandari kachemka vibaya na sio tu litamgharimu yeye pekee bali Chama chake kwa ujumla, wamezoea kutuona Watz ni mazuzu.

CCM siku moja ilitakiwa ianguke na suala la bandari litakuwa "a starting point" ya kuanguka kwake.
 
Ila siyo mapadre, ni viongozi wa dini kwa mujibu wa mleta mada.
Ila wasomi ni mapadre wengine ni elimu ya dini (madrasa), haya ya technicalities za higher mental powers hawayawezi (mnisamehe). (Hivi Mh. Mufti elimu yake ni kiwango gani?) sina nia ya kukejeli ni kutaka kujua namna wanavyoweza kudadavua mkataba ule na kuuelewa kisheria
 
Not all agreements are contracts! However, a contract is also an agreement.

Hapa siongei kama layman, japo mimi siyo mwanasheria
 
Badala azungumze na wataalam wa sheria wamhoji maswali anazungumza na wazee wa dini wao na mikataba wapi na wapi. Hii nchi ina vituko kweli
Kwa mawazo Yako unafikiri mtu akiitwa padre au askofu basi atakuwa amesoma dini TU. Usije kusimama mbele ya maaskofu ukatamba na kadigrii Kako kamoja ka uchumi au kilimo utajua hujui.
 
Unajua kwa sababu Mh Spika yeye ni a Lecturer by profession, inabidi awe anaanza Bunge kwa kutoa Lecuture kwanza kwa Watanzania, halafu hapo ndiyo tutaweza kumwelewa vizuri
 


Je, na hao mapadre nao wamesomea sheria ili waweze kujadili hizo technicalities za sheria za mikataba??.

Suala kubwa hapo ni morality, yaani wameenda kupewa somo la Morality (uzuri) kuhusu huo mkataba ili wakitoka hapo na wao waende kuwatuliza wafuasi wao (sisi wananchi).
 
Unajua kwa sababu Mh Spika yeye ni a Lecturer by profession, inabidi awe anaanza Bunge kwa kutoa Lecuture kwanza kwa Watanzania, halafu hapo ndiyo tutaweza kumwelewa vizuri


Huyo ni Lecture wa sheria asiyekuwa na moral authority ya cheo chake na elimu yake.

Unawezaje kuwakumbatia "wabunge" wasiokuwa na chama kuwemo ndani ya bunge??-- sio kuvunja sheria za nchi huko??.

Tulia haaminiki kabisa, huyo ni CCM stooge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…