Viongozi wa Dini wanazungumza na Serikali kuhusu Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anazungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai.

Mkutano huo unafanyika kwenye Ukumbi wa Kurasini Centre, TEC Jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 12, 2023.

Baadhi ya viongozi wa Dini mbalimbali walioshiriki katika mkutano huu ni;
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji, Moses Matonya
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Stanley Hotay
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Viongozi wa Dini kuhusu haki za kiuchumi na uadilifu wa uumbaji (ISCEJIC), Sheikh Khamis Mataka
Katibu mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKATWA), Alhaj Nuhu Jabir Mruma
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Pwani na Mashariki, DkT. Alex Malasusa
Mwakilishi wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA)

Prof. Makame Mbarawa...
Azimio hilo la ushirikiano limepitishwa na Bunge Juni 10, 2023, lakini pamoja na hivyo Serikali ya Tanzania imeona kuna umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu mkataba huo.

Nchi yetu imeendelea kuwekeza katika Bandari zetu kwa vyanzo tofauti, pamoja nah atua mbalimbali, bado Bandari hazijafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.

Mfano wa Meli kusubiri kutia nangani kwa Dar es Salaam ni siku tano tofauti na wastani wa siku 1 na saa 6 kwa Bandari ya Mombasa.

Ufanisi wa Bandari unatokanana changamoto mbalimbali ikiwemo kukosekana kwa mifumo mizuri ya TEHAMA na mitambo ya kisasa inayobadilika kutokana na teknolojia.

Athari za kutokuwa na Bandari ya kisasa ni meli kusubiri muda mrefu, kunakosababisha gharama kuongezeka, mfano kwa meli kusubiri kwa siku ni Tsh. Milioni 58.

Kukosesha Nchi mapato ambayo yangeweza kutumika kuboresha uchumi wa Taifa.

Ufanisi wa uendeshaji wa Bandari bado ni wa kiwango cha chini, Meli kutumia muda mrefu kupakua mzigo, meli kubwa kushindwa kuingia kwenye Bandari ya Dar es Salaam kutokana na kuchukua muda mrefu kuingia Bandarini.

Kutokana na changamoto hizo, Mwaka 2000 Serikali ya Awamu ya Tatu iliingia mkataba na Kampuni ya TICTS uliodumu kwa miaka 22, ulioipa haki kampuni hiyo katika Gati namba 8 hadi namba 11 wakati maeneo mengine yakiendelea kuwa chini ya Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Mwaka 2017 Serikali ilifanya mabadiliko makubwa katika mkataba lakini Mwaka 2022 Serikali iliona hakuna umuhimu wa kuendelea kufanya kazi na TICTS.

Desemba 2022, baada ya kuona mkataba huo hauendani ma matarajio ya Serikali, ndipo ikaanzisha mchakato wa kupata mwekezaji Bandarini.

Serikali ilipokea mapendekezo ya kampuni mbalimbali kutoka Hong Kong, Belgium, India, Ufaransa, Denmark.

Baada ya mawasilisho ya kampuni hizo na sifa zao za Kimataifa , Serikali iliamua kufanya mAzungumzo na Kampuni ya DP World kutokana na uzoefu wake katika soko la Barani Ulaya, Asia, Marekani ya Kaskazini na Kusini na Afrika.

DP World ina uzoefu mkubwa wa usafirishaji, Kampuni hiyo ina miliki zaidi ya meli 100 za mizigo.

Uamuzi wa Serikali iliona makampuni mengine yaliyoomba hayana uzoefu wa shughuli za uendeshaji wa Bandari Afrika wakati DP World inaendesha zaidi ya Badari 30 Duniani.

Februari 27, 2022, Serikali ilisaini makubaliano ya kulenga ushirikiano, baad ayah atua hiyo Serikali iliunda timu ya Wataalamu kufuatilia ushirikiano huo baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai.

Lengo la Mkataba huo ni kuweka msingi wa makubaliano ya Nchi na Nchi ili kuwezesha kuingia makubaliano ya mikataba mingine mbalimbali kama ya upangishaji na uendeshaji.

Kulingana na Katiba, Serikali ya Tanzania ilianzisha mkachato wa kuridhiwa na Bunge ili utekezaji wake uweze kuanza.

Mkataba huo umeweka vifungu muhimu kwa ajili ya kulinda maslahi ya Nchi ikiwemo ajira za Watanzania, ardhi ya Watanzania, ukomo wa mikataba, masuala yanulinzi na usalama na masuala mengine yote yenye umuhimu wa Nchi.

Mikataba hiyo pia itazingatia, kuweka bayana ukomo wautekelezaji, muda wa marejeo ya mkataba mwaka mmoja hadi mitano kutegemea na mkataba husika, viashiria vya utendaji wa mkataba, itakuwa chini ya ofisi ya Mwanasheria wa Serikali kwa kuzinagatia maslahi ya Taifa

Italinda wafanyakazi wazawa na kuwajenga uwezo, mifumo ya TEHAMA ya Kampuni ya DP World itasomana na ile ya Serikali.

Taasisi muhimu zote za Serikali zitaendelea na utekeleaji wake wa majukumu katika maeneo ya Bandari, mwekezaji atachukua hatua zote za Utafiti wa masoko ya Dar es Salaam.
Katika hili, Mungu aende na Mh. Waziri kwa kishindo kikuu vile vile
 
Kwa nini mkutano kama huu hakuitisha kabla ya kusaini Mkataba??
Hakuna mkataba uliosaniniwa kwa sasa ila ni makubaliano tu ambayo yapo kwenye maandishi

Kilichotokea ni kwamba TUCHUKULIE MFANO kwamba wewe nyumbani kwako unafuga mbuzi, na mimi kwangu nafuga ng'ombe. Ikafikia mahali tukaamua mimi na wewe tushirikiane kuchunga mbuzi na ng'ombe zetu kwa zamu na hivyo vijana wetu wachungaji wakakutana na kuweka makubaliano hayo kwenye maandishi kwamba tutaKapokuwa tumeanza ushirikaino wetu, vijana wangu kutoka nyumbani kwangu MZEE A watakuwa wanachunga ng'ombe na mbuzi kwa wiki moja, halafu baada ya hapo wanachunga vijana wako wewe MZEE B

Hadi kufikia hapa MJI WA MZEE A ukawa umeweka maubaliano ya aina hii na MJI WA MZEE B ambayo yatakuja kutekelezwa baadaye

Muda ukishafika, wachungaji wenyewe sasa (tuseme MCHUNGAJI A KUTOKA MJI WA MZEE A na MCHUNGAJI B KUTOKA MJI WA MZEE B ) watasaini sasa mkataba wao wawili unaosema kuwa kuwa kila mmoja wao atakuwa anachunga mbuzi na ng'ombe kwa wiki moja, halafu baada ya hapo anachukua zamu mwingine

Kwa hiyo hadi hapa, WACHUNGAJI A NA B bado hawajasaini mkataba wowote, isispokuwa kuna makubaliano tu kati ya MIJI YA WAZEE WAO A NA B

Ikija kutokea tuseme muda wa kuweka mkataba kati ya wawili hawa ukafika halafu mmoja wao (MCHUNGAJI A AU MCHUNGAJI B) akawa hajaridhika, mkataba kati ya wachungaji hawa hautawekwa na hakuna mmoja wao atakayekwenda kushtaki mahakamani kwa sababu hapajawahi kuwepo mkataba kati yao, isipokuwa makubaliano tu kati ya KAYA/ MIJI ya wazazi wao

 
Hakuna mkataba uliosaniniwa kwa sasa ila ni makubaliano tu ambayo yapo kwenye maandishi

Kilichotokea ni kwamba TUCHUKULIE MFANO kwamba wewe nyumbani kwako unafuga mbuzi, na mimi kwangu nafuga ng'ombe. Ikafikia mahali tukaamua mimi na wewe tushirikiane kuchunga mbuzi na ng'ombe zetu kwa zamu na hivyo vijana wetu wachungaji wakakutana na kuweka makubaliano hayo kwenye maandishi kwamba tutaKapokuwa tumeanza ushirikaino wetu, vijana wangu kutoka nyumbani kwangu MZEE A watakuwa wanachunga ng'ombe na mbuzi kwa wiki moja, halafu baada ya hapo wanachunga vijana wako wewe MZEE B

Hadi kufikia hapa MJI WA MZEE A ukawa umeweka maubaliano ya aina hii na MJI WA MZEE B ambayo yatakuja kutekelezwa baadaye

Muda ukishafika, wachungaji wenyewe sasa (tuseme MCHUNGAJI A KUTOKA MJI WA MZEE A na MCHUNGAJI B KUTOKA MJI WA MZEE B ) watasaini sasa mkataba wao wawili unaosema kuwa kuwa kila mmoja wao atakuwa anachunga mbuzi na ng'ombe kwa wiki moja, halafu baada ya hapo anachukua zamu mwingine

Kwa hiyo hadi hapa, WACHUNGAJI A NA B bado hawajasaini mkataba wowote, isispokuwa kuna makubaliano tu kati ya MIJI YA WAZEE WAO A NA B

Ikija kutokea tuseme muda wa kuweka mkataba kati ya wawili hawa ukafika halafu mmoja wao (MCHUNGAJI A AU MCHUNGAJI B) akawa hajaridhika, mkataba kati ya wachungaji hawa hautawekwa na hakuna mmoja wao atakayekwenda kushtaki mahakamani kwa sababu hapajawahi kuwepo mkataba kati yao, isipokuwa makubaliano tu kati ya wazazi wao

Kwa hiyo mapungufu kwenye makubaliano huyaoni? Na iweje makubaliano yasainiwe kabla yawadau kukubalina?
 
Kwa hiyo mapungufu kwenye makubaliano huyaoni? Na iweke makubaliano yasainiwe kabla yawadau kukubalina?
An agreement is not enforceable by law and, by the consent of the parties, it ca be ammended at any time

Tatizo lenu mnapewa kwenye mitandao extracts za vifungu vya kwenye mikataba mingine halafu manaambiwa kuwa ni vya agreeement kati ya DP WORLD na TPA. Mbona hili swala liko wazi sana na wala halihitaji mjadala wa nguvu kiasi hiki?
Halafu shida ni ni nini, ni sheria au ni Kiingereza cha kisheria?
 
Wataanza na sala Kisha kumaliza kwa kauli " Mamlaka zote duniani huwekwa na Bwana" ridiculous. Mtihano wa mwaka 2003 somo la GS kulikuwa na swali linasema "Assess the Maxist view that Religion is an opium of the people". Wanatafuta justification kwa kutumia viongozi wa dini kwa vile wanajua wanawamudu , pili wana watu wengi nyuma yao hivyo kufanya kazi yao kuwa nyepesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly! Hakuna kasumba mbaya kama dini. Hivi kweli watanganyika bado wanadanganyika na dini? Hawa wahuni kwa mgongo wa dini? Let us wait and see
 
Akitoka hapo akakutane na TLs akawajibu hoja zao.
Angalizo aje pekeake labda na Nape
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anazungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai.

Mkutano huo unafanyika kwenye Ukumbi wa Kurasini Centre, TEC Jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 12, 2023.

Baadhi ya viongozi wa Dini mbalimbali walioshiriki katika mkutano huu ni;
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji, Moses Matonya
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Stanley Hotay
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Viongozi wa Dini kuhusu haki za kiuchumi na uadilifu wa uumbaji (ISCEJIC), Sheikh Khamis Mataka
Katibu mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKATWA), Alhaj Nuhu Jabir Mruma
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Pwani na Mashariki, DkT. Alex Malasusa
Mwakilishi wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA)

Prof. Makame Mbarawa...
Azimio hilo la ushirikiano limepitishwa na Bunge Juni 10, 2023, lakini pamoja na hivyo Serikali ya Tanzania imeona kuna umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu mkataba huo.

Nchi yetu imeendelea kuwekeza katika Bandari zetu kwa vyanzo tofauti, pamoja nah atua mbalimbali, bado Bandari hazijafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.

Mfano wa Meli kusubiri kutia nangani kwa Dar es Salaam ni siku tano tofauti na wastani wa siku 1 na saa 6 kwa Bandari ya Mombasa.

Ufanisi wa Bandari unatokanana changamoto mbalimbali ikiwemo kukosekana kwa mifumo mizuri ya TEHAMA na mitambo ya kisasa inayobadilika kutokana na teknolojia.

Athari za kutokuwa na Bandari ya kisasa ni meli kusubiri muda mrefu, kunakosababisha gharama kuongezeka, mfano kwa meli kusubiri kwa siku ni Tsh. Milioni 58.

Kukosesha Nchi mapato ambayo yangeweza kutumika kuboresha uchumi wa Taifa.

Ufanisi wa uendeshaji wa Bandari bado ni wa kiwango cha chini, Meli kutumia muda mrefu kupakua mzigo, meli kubwa kushindwa kuingia kwenye Bandari ya Dar es Salaam kutokana na kuchukua muda mrefu kuingia Bandarini.

Kutokana na changamoto hizo, Mwaka 2000 Serikali ya Awamu ya Tatu iliingia mkataba na Kampuni ya TICTS uliodumu kwa miaka 22, ulioipa haki kampuni hiyo katika Gati namba 8 hadi namba 11 wakati maeneo mengine yakiendelea kuwa chini ya Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Mwaka 2017 Serikali ilifanya mabadiliko makubwa katika mkataba lakini Mwaka 2022 Serikali iliona hakuna umuhimu wa kuendelea kufanya kazi na TICTS.

Desemba 2022, baada ya kuona mkataba huo hauendani ma matarajio ya Serikali, ndipo ikaanzisha mchakato wa kupata mwekezaji Bandarini.

Serikali ilipokea mapendekezo ya kampuni mbalimbali kutoka Hong Kong, Belgium, India, Ufaransa, Denmark.

Baada ya mawasilisho ya kampuni hizo na sifa zao za Kimataifa , Serikali iliamua kufanya mAzungumzo na Kampuni ya DP World kutokana na uzoefu wake katika soko la Barani Ulaya, Asia, Marekani ya Kaskazini na Kusini na Afrika.

DP World ina uzoefu mkubwa wa usafirishaji, Kampuni hiyo ina miliki zaidi ya meli 100 za mizigo.

Uamuzi wa Serikali iliona makampuni mengine yaliyoomba hayana uzoefu wa shughuli za uendeshaji wa Bandari Afrika wakati DP World inaendesha zaidi ya Badari 30 Duniani.

Februari 27, 2022, Serikali ilisaini makubaliano ya kulenga ushirikiano, baad ayah atua hiyo Serikali iliunda timu ya Wataalamu kufuatilia ushirikiano huo baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai.

Lengo la Mkataba huo ni kuweka msingi wa makubaliano ya Nchi na Nchi ili kuwezesha kuingia makubaliano ya mikataba mingine mbalimbali kama ya upangishaji na uendeshaji.

Kulingana na Katiba, Serikali ya Tanzania ilianzisha mkachato wa kuridhiwa na Bunge ili utekezaji wake uweze kuanza.

Mkataba huo umeweka vifungu muhimu kwa ajili ya kulinda maslahi ya Nchi ikiwemo ajira za Watanzania, ardhi ya Watanzania, ukomo wa mikataba, masuala yanulinzi na usalama na masuala mengine yote yenye umuhimu wa Nchi.

Mikataba hiyo pia itazingatia, kuweka bayana ukomo wautekelezaji, muda wa marejeo ya mkataba mwaka mmoja hadi mitano kutegemea na mkataba husika, viashiria vya utendaji wa mkataba, itakuwa chini ya ofisi ya Mwanasheria wa Serikali kwa kuzinagatia maslahi ya Taifa

Italinda wafanyakazi wazawa na kuwajenga uwezo, mifumo ya TEHAMA ya Kampuni ya DP World itasomana na ile ya Serikali.

Taasisi muhimu zote za Serikali zitaendelea na utekeleaji wake wa majukumu katika maeneo ya Bandari, mwekezaji atachukua hatua zote za Utafiti wa masoko ya Dar es Salaam.

Hivi hizi siasa hadi kwenye mambo ya msingi niza nini? Anasema hatuna vifaa vyakisasa..... kwani tusinunue?

Sawa hao DP wana uzoefu kwann wasije kufunga mitambo tukawalipa wakasepa alafu tukaendesha bandari wenyewe?

Kwamba sisi hatuna watu wenye uwezo wakuendesha bandari? Hawa viongozi vipi aisee hata hili limetushinda??

Ametaja makampuni kazaa yaliomba tenda iyo tenda walitangazia wapi?

Katiba mpya ni muhimu viongozi kama hawa ni wakuwala vichwa tu piga risasi hazarani,

Unaita mashehe na maaskofu ili iweje? Mikataba yote mnaingiaga huwa mnawaita au ni kwenye hili tu mnajaribu kushawishi nini? Na mnaogopa nini? Maana huu mkataba ni kama mnajua unachofanya kwa watz sio sawa mnajaribu kuruka ruka...... siku moja nitakuwa raisi wa hii nchi na niwahakikishie nitadili na nyie hata kama mtakuwa umekuwa vikongwe
 
Unajua watanzania tushakua wajinga. Haya kwa Nini hayakufanywa kabla ya kwenda huko Dubai na kusaini IGA na hizo MOU nyingine?
 
Hawa viongozi wa dini ni kundi lingine la madalali wanaotumika kuuza rasilimali za taifa wakitoka hapo wanapewa posho wakasambaze ujinga kwa waumini wao
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anazungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai.

Mkutano huo unafanyika kwenye Ukumbi wa Kurasini Centre, TEC Jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 12, 2023.

Baadhi ya viongozi wa Dini mbalimbali walioshiriki katika mkutano huu ni;
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji, Moses Matonya
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Stanley Hotay
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Viongozi wa Dini kuhusu haki za kiuchumi na uadilifu wa uumbaji (ISCEJIC), Sheikh Khamis Mataka
Katibu mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKATWA), Alhaj Nuhu Jabir Mruma
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Pwani na Mashariki, DkT. Alex Malasusa
Mwakilishi wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA)

Prof. Makame Mbarawa...
Azimio hilo la ushirikiano limepitishwa na Bunge Juni 10, 2023, lakini pamoja na hivyo Serikali ya Tanzania imeona kuna umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu mkataba huo.

Nchi yetu imeendelea kuwekeza katika Bandari zetu kwa vyanzo tofauti, pamoja nah atua mbalimbali, bado Bandari hazijafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.

Mfano wa Meli kusubiri kutia nangani kwa Dar es Salaam ni siku tano tofauti na wastani wa siku 1 na saa 6 kwa Bandari ya Mombasa.

Ufanisi wa Bandari unatokanana changamoto mbalimbali ikiwemo kukosekana kwa mifumo mizuri ya TEHAMA na mitambo ya kisasa inayobadilika kutokana na teknolojia.

Athari za kutokuwa na Bandari ya kisasa ni meli kusubiri muda mrefu, kunakosababisha gharama kuongezeka, mfano kwa meli kusubiri kwa siku ni Tsh. Milioni 58.

Kukosesha Nchi mapato ambayo yangeweza kutumika kuboresha uchumi wa Taifa.

Ufanisi wa uendeshaji wa Bandari bado ni wa kiwango cha chini, Meli kutumia muda mrefu kupakua mzigo, meli kubwa kushindwa kuingia kwenye Bandari ya Dar es Salaam kutokana na kuchukua muda mrefu kuingia Bandarini.

Kutokana na changamoto hizo, Mwaka 2000 Serikali ya Awamu ya Tatu iliingia mkataba na Kampuni ya TICTS uliodumu kwa miaka 22, ulioipa haki kampuni hiyo katika Gati namba 8 hadi namba 11 wakati maeneo mengine yakiendelea kuwa chini ya Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Mwaka 2017 Serikali ilifanya mabadiliko makubwa katika mkataba lakini Mwaka 2022 Serikali iliona hakuna umuhimu wa kuendelea kufanya kazi na TICTS.

Desemba 2022, baada ya kuona mkataba huo hauendani ma matarajio ya Serikali, ndipo ikaanzisha mchakato wa kupata mwekezaji Bandarini.

Serikali ilipokea mapendekezo ya kampuni mbalimbali kutoka Hong Kong, Belgium, India, Ufaransa, Denmark.

Baada ya mawasilisho ya kampuni hizo na sifa zao za Kimataifa , Serikali iliamua kufanya mAzungumzo na Kampuni ya DP World kutokana na uzoefu wake katika soko la Barani Ulaya, Asia, Marekani ya Kaskazini na Kusini na Afrika.

DP World ina uzoefu mkubwa wa usafirishaji, Kampuni hiyo ina miliki zaidi ya meli 100 za mizigo.

Uamuzi wa Serikali iliona makampuni mengine yaliyoomba hayana uzoefu wa shughuli za uendeshaji wa Bandari Afrika wakati DP World inaendesha zaidi ya Badari 30 Duniani.

Februari 27, 2022, Serikali ilisaini makubaliano ya kulenga ushirikiano, baad ayah atua hiyo Serikali iliunda timu ya Wataalamu kufuatilia ushirikiano huo baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai.

Lengo la Mkataba huo ni kuweka msingi wa makubaliano ya Nchi na Nchi ili kuwezesha kuingia makubaliano ya mikataba mingine mbalimbali kama ya upangishaji na uendeshaji.

Kulingana na Katiba, Serikali ya Tanzania ilianzisha mkachato wa kuridhiwa na Bunge ili utekezaji wake uweze kuanza.

Mkataba huo umeweka vifungu muhimu kwa ajili ya kulinda maslahi ya Nchi ikiwemo ajira za Watanzania, ardhi ya Watanzania, ukomo wa mikataba, masuala yanulinzi na usalama na masuala mengine yote yenye umuhimu wa Nchi.

Mikataba hiyo pia itazingatia, kuweka bayana ukomo wautekelezaji, muda wa marejeo ya mkataba mwaka mmoja hadi mitano kutegemea na mkataba husika, viashiria vya utendaji wa mkataba, itakuwa chini ya ofisi ya Mwanasheria wa Serikali kwa kuzinagatia maslahi ya Taifa

Italinda wafanyakazi wazawa na kuwajenga uwezo, mifumo ya TEHAMA ya Kampuni ya DP World itasomana na ile ya Serikali.

Taasisi muhimu zote za Serikali zitaendelea na utekeleaji wake wa majukumu katika maeneo ya Bandari, mwekezaji atachukua hatua zote za Utafiti wa masoko ya Dar es Salaam.
Wasitupotezee muda bana, wawakikishi wetu huko bungeni wameshapitisha, hao viongozi wa dini ni nani?
Kazi yao ni kuvaa-vaa magauni meupe na kutafuta siti za mbele
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anazungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai.

Mkutano huo unafanyika kwenye Ukumbi wa Kurasini Centre, TEC Jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 12, 2023.

Baadhi ya viongozi wa Dini mbalimbali walioshiriki katika mkutano huu ni;
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji, Moses Matonya
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Stanley Hotay
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Viongozi wa Dini kuhusu haki za kiuchumi na uadilifu wa uumbaji (ISCEJIC), Sheikh Khamis Mataka
Katibu mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKATWA), Alhaj Nuhu Jabir Mruma
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Pwani na Mashariki, DkT. Alex Malasusa
Mwakilishi wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA)

Prof. Makame Mbarawa...
Azimio hilo la ushirikiano limepitishwa na Bunge Juni 10, 2023, lakini pamoja na hivyo Serikali ya Tanzania imeona kuna umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu mkataba huo.

Nchi yetu imeendelea kuwekeza katika Bandari zetu kwa vyanzo tofauti, pamoja nah atua mbalimbali, bado Bandari hazijafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.

Mfano wa Meli kusubiri kutia nangani kwa Dar es Salaam ni siku tano tofauti na wastani wa siku 1 na saa 6 kwa Bandari ya Mombasa.

Ufanisi wa Bandari unatokanana changamoto mbalimbali ikiwemo kukosekana kwa mifumo mizuri ya TEHAMA na mitambo ya kisasa inayobadilika kutokana na teknolojia.

Athari za kutokuwa na Bandari ya kisasa ni meli kusubiri muda mrefu, kunakosababisha gharama kuongezeka, mfano kwa meli kusubiri kwa siku ni Tsh. Milioni 58.

Kukosesha Nchi mapato ambayo yangeweza kutumika kuboresha uchumi wa Taifa.

Ufanisi wa uendeshaji wa Bandari bado ni wa kiwango cha chini, Meli kutumia muda mrefu kupakua mzigo, meli kubwa kushindwa kuingia kwenye Bandari ya Dar es Salaam kutokana na kuchukua muda mrefu kuingia Bandarini.

Kutokana na changamoto hizo, Mwaka 2000 Serikali ya Awamu ya Tatu iliingia mkataba na Kampuni ya TICTS uliodumu kwa miaka 22, ulioipa haki kampuni hiyo katika Gati namba 8 hadi namba 11 wakati maeneo mengine yakiendelea kuwa chini ya Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Mwaka 2017 Serikali ilifanya mabadiliko makubwa katika mkataba lakini Mwaka 2022 Serikali iliona hakuna umuhimu wa kuendelea kufanya kazi na TICTS.

Desemba 2022, baada ya kuona mkataba huo hauendani ma matarajio ya Serikali, ndipo ikaanzisha mchakato wa kupata mwekezaji Bandarini.

Serikali ilipokea mapendekezo ya kampuni mbalimbali kutoka Hong Kong, Belgium, India, Ufaransa, Denmark.

Baada ya mawasilisho ya kampuni hizo na sifa zao za Kimataifa , Serikali iliamua kufanya mAzungumzo na Kampuni ya DP World kutokana na uzoefu wake katika soko la Barani Ulaya, Asia, Marekani ya Kaskazini na Kusini na Afrika.

DP World ina uzoefu mkubwa wa usafirishaji, Kampuni hiyo ina miliki zaidi ya meli 100 za mizigo.

Uamuzi wa Serikali iliona makampuni mengine yaliyoomba hayana uzoefu wa shughuli za uendeshaji wa Bandari Afrika wakati DP World inaendesha zaidi ya Badari 30 Duniani.

Februari 27, 2022, Serikali ilisaini makubaliano ya kulenga ushirikiano, baad ayah atua hiyo Serikali iliunda timu ya Wataalamu kufuatilia ushirikiano huo baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai.

Lengo la Mkataba huo ni kuweka msingi wa makubaliano ya Nchi na Nchi ili kuwezesha kuingia makubaliano ya mikataba mingine mbalimbali kama ya upangishaji na uendeshaji.

Kulingana na Katiba, Serikali ya Tanzania ilianzisha mkachato wa kuridhiwa na Bunge ili utekezaji wake uweze kuanza.

Mkataba huo umeweka vifungu muhimu kwa ajili ya kulinda maslahi ya Nchi ikiwemo ajira za Watanzania, ardhi ya Watanzania, ukomo wa mikataba, masuala yanulinzi na usalama na masuala mengine yote yenye umuhimu wa Nchi.

Mikataba hiyo pia itazingatia, kuweka bayana ukomo wautekelezaji, muda wa marejeo ya mkataba mwaka mmoja hadi mitano kutegemea na mkataba husika, viashiria vya utendaji wa mkataba, itakuwa chini ya ofisi ya Mwanasheria wa Serikali kwa kuzinagatia maslahi ya Taifa

Italinda wafanyakazi wazawa na kuwajenga uwezo, mifumo ya TEHAMA ya Kampuni ya DP World itasomana na ile ya Serikali.

Taasisi muhimu zote za Serikali zitaendelea na utekeleaji wake wa majukumu katika maeneo ya Bandari, mwekezaji atachukua hatua zote za Utafiti wa masoko ya Dar es Salaam.

Nilifikiri wangetafuta muwekezaji kwenye umeme maana tanesco wanashidwq au waruhusu makampuni ya umeme yawekeze tz.... ili kuleta ushindani na ndo tanesco wangeboresha huduma, nyie mumewaza bandari, pale ndo uchumi ulipo wa nchi lakini mmekaza kichwa, mnaumiza watz wenzenu.... haya mseme na mwanachi ananufaika vipi na hao waarabu? Nijuavyo hao jamaa wana roho mbaya vibaya sizani kama hapo bandari mtz ataishi kwa amani,

Alafu maipende kusema hata nchi fulani wanafanya kama sisi, sisi ni tanzania wakuu isiwe kitu mkifanya nyie ndo mnasema hata marekani waliwekeza hao DP no. Tunachotaka kujua ni mkataba wa muda gani wameingia na hao waarabu hili mbona hamsemi mnaruka ruka tu..... nyoosheni maelezo hapo
 
An agreement is not enforceable by law and, by the consent of the parties, it ca be ammended at any time

Tatizo lenu mnapewa kwenye mitandao extracts za vifungu vya kwenye mikataba mingine halafu manaambiwa kuwa ni vya agreeement kati ya DP WORLD na TPA. Mbona hili swala liko wazi sana na wala halihitaji mjadala wa nguvu kiasi hiki?
Halafu shida ni ni nini, ni sheria au ni Kiingereza cha kisheria?
Asante kwa ufafanuzi.

Utaratibu wa kuanza kufanya hizo amendment mbona hautangazwi.? Haya mapungufu yaliyoonekana kwa Sasa , kwa nini yasiwe amended Sasa?
 
Baada ya kusaini mkataba ndo anaongea nao, haisaidii
 
Huyu anawafanya viongozi wa dini hawana akili?

Atawadanganya kuwa Serikali iliona kabla ya utekelezaji wa mkataba kuanza, uende kwanza kuridhiwa na Bunge, wakati mkataba ulikwishaanza kutekelezwa mara baada ya kusainiwa!

Mwanzoni wamewadanganya watu kuwa eti bungeni kilichoenda ni MoU wakati umepelekwa mkataba mkuu ambao tayari umesainiwa.
wawadanganye wajinga wengi hii ni dunia nyingine kabisa hakuna jambo hata moja litakalojificha kwa namna yoyote ile tusubiri 2025 tukawashtaki kwa wanannchi.
 
Back
Top Bottom