Viongozi wa Dini wanazungumza na Serikali kuhusu Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai
Kama wanajua una tija wasitumie nguvu kubwa kutuaminisha badala yake wasubiri waje watuoneshe matunda yake
Yap,unapojitetea sana Inaonyesha kuna Jambo unaficha,kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.Time will tell.
 
Mbarawa, umewaambia hao mapadre kwanini bandari na ardhi ya Zanzibar havimo Kwenye mkataba?
Baadhi ya viongozi wa Dini mbalimbali walioshiriki katika mkututano huu ni;
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji, Moses Matonya
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Stanley Hotay
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Viongozi wa Dini kuhusu haki za kiuchumi na uadilifu wa uumbaji (ISCEJIC), Sheikh Khamis Mataka
Katibu mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKATWA), Alhaj Nuhu Jabir Mruma
 
Mbarawa, umewaambia hao mapadre muda wa huo mkataba?

2. Je ni namna gani ya kujiondoa tukitofautiana

3. Asilimia ya watanzania watakao ajiriwa na DP world.

4. Kwanini Rais alisaini mkataba kabla ya wananchi kupitia bunge kuridhia?

5. Kwanini Mwanasheria mkuu wa serikali hajasaini mkataba huo amesaini mbarawa na Saa100 tu.

6. Kwanini DP world hskupewa bandari ya Dar tu amepewa bandari zote Bara na sio visiwani.

7. Kwanini mkataba ulisainiwa Dubai na Rais badala ya DP world kuja kusaini mkataba Tanzania?
 

Attachments

  • IMG_0646.MP4
    3.2 MB
Baadhi ya viongozi wa Dini mbalimbali walioshiriki katika mkututano huu ni;
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji, Moses Matonya
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Stanley Hotay
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Viongozi wa Dini kuhusu haki za kiuchumi na uadilifu wa uumbaji (ISCEJIC), Sheikh Khamis Mataka
Katibu mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKATWA), Alhaj Nuhu Jabir Mruma
Yaani wanazidi kuharibu baadala ya kutengeneze,kwanza asilima kubwa waliouzuria ni walewale wa muarabu,aliyeuza inchi ni yuleyule mjomba wao,
Hap naona lazima wakristo wakiwashe kupitia Mbowe Chadema,na wapenda haki wengine
 
Baadhi ya viongozi wa Dini mbalimbali walioshiriki katika mkututano huu ni;
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji, Moses Matonya
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Stanley Hotay
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Viongozi wa Dini kuhusu haki za kiuchumi na uadilifu wa uumbaji (ISCEJIC), Sheikh Khamis Mataka
Katibu mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKATWA), Alhaj Nuhu Jabir Mruma
Shehe Ponda hakuwepo?
 
Suala hapa sio kiwango cha ufanisi!
Tatizo hapa sio kuhusu mradi au bandari kutokidhi vigezo!

Tatizo liko kwenye vipengele vya mkataba kuwa vya kinyonyaji zaidi kwa Dubai kupewa umiliki wa maamuzi kuhusu bandari ambayo kiuhalisia sio mali yao!

Tunageuzwa kuwa watumwa wao 8lhali sisi ndio wqmiliki halali.

Tatizo pia ni kwa serikali ya CCM kutumia ubabe na ghiriba kulazimisha mkataba huu kupitishwa ilhali ulihitaji kujadiliwa na wadau kitaifa,tena bila uficho!

Haraka ya nini,kama tumeumizwa over 40 years?

Kwa nini tusiwe waaangalifu na umakini kwa hili?
kumbe walishagundua tatizo likowp
 
Hilo swali lilishajibiwa na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar!
Alijibuje? Kama hutojali kunijuza, nimepitwa na hilo.

Kwanza, kama ni kweli viongozi wote wakubwa wa wizara ni wazenji, hili ni tatizo la kwanza.

Pili, kama ni kweli, mkataba ulishainiwa kisha ndo ukapelekwa bungeni, nini kingebadilka?
- Elimu gani inayotolewa kwa viongozi wa dini baada ya mkataba kusainiwa kabla ya bunge na hata baada ya bunge kuridhia?

Mwisho, kama hamtojali, mnaweza kutupa majina ya watu walioshiriki kwenye hiyo kamati, TUWAFAHAMU?
 
Ni bahati mbaya sana kwa taifa letu kwamba watawala hutumia viongozi wa dini kuhalalisha maamuzi yao mabovu.
 
Alijibuje? Kama hutojali kunijuza, nimepitwa na hilo.

Kwanza, kama ni kweli viongozi wote wakubwa wa wizara ni wazenji, hili ni tatizo la kwanza.

Pili, kama ni kweli, mkataba ulishainiwa kisha ndo ukapelekwa bungeni, nini kingebadilka?
- Elimu gani inayotolewa kwa viongozi wa dini baada ya mkataba kusainiwa kabla ya bunge na hata baada ya bunge kuridhia?

Mwisho, kama hamtojali, mnaweza kutupa majina ya watu walioshiriki kwenye hiyo kamati, TUWAFAHAMU?
Amesema Bandari kila upande inashughulikia kivyake Tanzania Bara Wanajitegemea na Zanzibar Wanajitegemea hawaingiliani

Hivyo Zanzibar haihusiki na mkataba wa Dubai
 
Kombora moja la Masafa marefu kutoka Ujerumani


TUPO PAMOJA NA MBOWE .....
 
Kuna shisha inatembezwa hapo ndani ya bahasha.
Nawasubiri hao viongozi wa dini watugeukie kujifanya wanatupa faida za huo mkataba.
Hasa hasa wa imani yangu: ataanza kwanza kunipa majibu ya nini amefanya kusimamia mali za taasisi? Mbona huku pia kuna matobo mengi na upigaji kama kawa? Akikubali nako tupabinafishe kwa mwarabu kwa miaka 100 nitaenda nae sawa kwenye bandari.
Nawasubiri tu kiaina..Niaje ni vipi? Itafahamika tu.
 
Chadema 2025 mmsha pata agenda,hata sisi CCM hatutaki hii kitu.tumieni hiyo nafasi vizuri
 
Umeona upuuzi, sasa huko Kuna Nini Cha maana watamwambia
Wataanza na sala Kisha kumaliza kwa kauli " Mamlaka zote duniani huwekwa na Bwana" ridiculous. Mtihano wa mwaka 2003 somo la GS kulikuwa na swali linasema "Assess the Maxist view that Religion is an opium of the people". Wanatafuta justification kwa kutumia viongozi wa dini kwa vile wanajua wanawamudu , pili wana watu wengi nyuma yao hivyo kufanya kazi yao kuwa nyepesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom