Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Malamba mawili ni uswazii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo kitu gani hiki?UKUBWA WA KIWANJA SQM 26 KWA 31
Malamba mawili pa hovyo sana mvua ikinyesha unaweza ukashindwa kwenda kazini hata kwa mguu udongo wa ovyo sana kule..KIWANJA KINAUZWA MBEZI MALAMBA MAWILI MILION 14 UKUBWA WA KIWANJA SQM 26 KWA 31
■■HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO KAMA UMEME NA MAJI
■■HATI YA MAUZIANO NI HATI YA SERIKALI YA MTAA
■■NJOO KAGUA ISHI KATIKA MAKAZI BORA
■■KWENDA KUONA PIGA SIMU
0675 065906
Wengi kutaja ukubwa wa eneo husika tunasumbuka sana muuzaji kaweka sqm 2631 kwa kutuelekeza upana na urefu...ndiyo kitu gani hiki?
Ni typing error hiyo mkuu jiongezeWengi kutaja ukubwa wa eneo husika tunasumbuka sana muuzaji kaweka sqm 2631 kwa kutuelekeza upana na urefu...
Hakuna hati ya serikali ya mtaa.KIWANJA KINAUZWA MBEZI MALAMBA MAWILI MILION 14 UKUBWA WA KIWANJA MITA 26 KWA 31
■■HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO KAMA UMEME NA MAJI
■■HATI YA MAUZIANO NI HATI YA SERIKALI YA MTAA
■■NJOO KAGUA ISHI KATIKA MAKAZI BORA
■■KWENDA KUONA PIGA SIMU
0675 065906
nilielewa lkn nikamchokoza tu!Wengi kutaja ukubwa wa eneo husika tunasumbuka sana muuzaji kaweka sqm 2631 kwa kutuelekeza upana na urefu...
ndivyo watu wanavyodanganywa!Hakuna hati ya serikali ya mtaa.
Amedanganywa vipi hapo?Sijui nyie wasomi mnaendaga shule kusoma nini?ndivyo watu wanavyodanganywa!
Najua wewe si mtata...nilielewa lkn nikamchokoza tu!
Hapo ndio umeeleza maana ya neno Hati sawa sawa mkuu haujakosea kabisa maana Hati anatoa mwenyekiti wa Serikali za mtaa..Amedanganywa vipi hapo?Sijui nyie wasomi mnaendaga shule kusoma nini?
Kama hujui.... maana ya neno Hati ni Nyaraka inayokutambulisha kwamba wewe ndie mmiliki halali wa kitu.
ndiyo kitu gani hiki?
nilimuelewa ila nilitaka kumchesha bongo kidogoAlimaanisha mita 26 Kwa 31.
Hajui tofauti ya mita na Miata za mraba.
Serikali ya mtaa itakutambulisha kuwa wewe ndiye mmiliki halali kwa kutumia sheria ipi?Amedanganywa vipi hapo?Sijui nyie wasomi mnaendaga shule kusoma nini?
Kama hujui.... maana ya neno Hati ni Nyaraka inayokutambulisha kwamba wewe ndie mmiliki halali wa kitu.
sawaMkataba wa mauziano wa serikali za mitaa
Kumbe niko nyuma sana! Goba kiwanja 150 M!KIWANJA KINAUZWA GOBA MPAKANI MILION 150 ukubwa wa kiwanja sqm 4771 kina hati.
■■ukubwa wa kiwanja sqm 4771
■■huduma zote za kijamii zipo kama umeme na maji
■■kilometres 4 kutoka goba njia nne
HII NI EKARI 1 ILIYOPUNGUA MITA CHACHE MNO
0675 065906
Soma vizuri maelezo ya ukubwa wa kiwanja kabla hujatoa maoniKumbe niko nyuma sana! Goba kiwanja 150 M!
Goba ni kuzuri..anyway!
4046.86 One acre is equivalent 4,047 square metres. Is that correct? Kuna kitu sijaelewa hapo?Soma vizuri maelezo ya ukubwa wa kiwanja kabla hujatoa maoni