Plot4Sale Viwanja na Mashamba vinauzwa sehemu mbalimbali Dar na Pwani
Bei 73m maongezi yapo

Nyumba ipo Kibamba,

Ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja master, jiko, public toilet, dinning.

Pia. Kuna servants quarter 2, zote zina vyumba viwili, jiko na public toilet.

Nje ya fence kuna eneo lingine waeza kujenga au kuweka mabanda.

Ukubwa wa eneo square 700.

Umbali kutoka Morogoro road ni metre 600 tu.

Inataka 73m.

Maongezi mazuri yapo.

Document: Mauziano ya serikali za mitaa.

0675 065906

1724950156333.jpg
1724950159225.jpg
1724950161918.jpg
 

Attachments

  • 1724950164630.jpg
    1724950164630.jpg
    307.5 KB · Views: 5
  • 1724950167186.jpg
    1724950167186.jpg
    281 KB · Views: 4
  • 1724950170080.jpg
    1724950170080.jpg
    280.9 KB · Views: 4
  • 1724950172878.jpg
    1724950172878.jpg
    307.5 KB · Views: 4
  • 1724950175892.jpg
    1724950175892.jpg
    336.8 KB · Views: 4
  • 1724950178780.jpg
    1724950178780.jpg
    307.3 KB · Views: 4
  • 1724950183240.jpg
    1724950183240.jpg
    273.1 KB · Views: 6
Too good to be true..
73m na dalali umeongeza yako + maongezi yapo...
Kila la kheri mkuu
 
Eneo linauzwa Mbezi Luguruni jirani na St. Joseph University. Eneo lina ukubwa wa hekari 1.7. Linafaa kwa makazi,apartments,hostel,hotel nk. Lipo umbali wa m150 toka barabarani. Bei yake ni 350million Tsh. Hati za umiliki zipo. Kupelekwa kuona 30k. Call 0675 065906
 

Attachments

  • 1724992669038.jpg
    1724992669038.jpg
    479.3 KB · Views: 5
  • 1724992666142.jpg
    1724992666142.jpg
    478.8 KB · Views: 6
Kupelekwa kuona 30k.
Bidhaa iko sokoni, kwenye duka, kuiona nilipie! hapana, acheni ujinga huo! Wewe unauza mali yako unahitaji wateja, nani mwenye uhitaji? Anayeuza! anayenunu ana option ya kwenda duka lingine akapata anachokihitaji, sasa alipie kuona vitu dukani? Never on eath!
 
Eneo linauzwa Mbezi Luguruni jirani na St. Joseph University. Eneo lina ukubwa wa hekari 1.7. Linafaa kwa makazi,apartments,hostel,hotel nk. Lipo umbali wa m150 toka barabarani. Bei yake ni 350million Tsh. Hati za umiliki zipo. Kupelekwa kuona 30k. Call 0675 065906
Luguruni 350m. Kibaha ni jirani na hapo kule heka moja ni 15m kwenye hiyo pesa napata zaidi ya hekari 20........Udalali ni kazi.
 
Eneo linauzwa Mbezi Luguruni jirani na St. Joseph University. Eneo lina ukubwa wa hekari 1.7. Linafaa kwa makazi,apartments,hostel,hotel nk. Lipo umbali wa m150 toka barabarani. Bei yake ni 350million Tsh. Hati za umiliki zipo. Kupelekwa kuona 30k. Call 0675 065906
Kupelekwa kuona 30K?

Ukimpata wa hivyo lete mrejesho
 
Eneo lenye ukubwa wa hekari 3 kasorobo linauzwa. Lipo Mbezi Mwisho Dar. Lipo umbali wa m200 toka barabarani. Linafaa kwa ujenzi wa makazi,apartments,hotel,hospitali na shule. Lina nyumba 6 ndani yake na ukumbi wa ku accommodate watu 150-200. Hati za umiliki zipo.Bei yake 1.5 billion Tsh mazungumzo yapo. Call 0675 065906
 

Attachments

  • 1724993315592.jpg
    1724993315592.jpg
    639.3 KB · Views: 5
  • 1724993317267.jpg
    1724993317267.jpg
    561.6 KB · Views: 6
Eneo linauzwa Kibaha Madafu
Njia ya lami kwenda viwandani
Umbali km 5 kutoka morogoro road
Ukubwa wa Eneo Ekari 2.5
Lipo sehemu nzuri lipo kwenye ramani ya mipango miji
gari inafika mpaka site
Bei mln 10 lote,maongezi kidogo yapo
0675 065906
 

Attachments

  • IMG-20240901-WA0027.jpg
    IMG-20240901-WA0027.jpg
    460.5 KB · Views: 4
Back
Top Bottom