evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Jamaa hajaomba ushauri wa uwekezaji..ameomba ushauri sehemu za kutumia
Kawaida sanaKama Mimi kabisa π―π―π―naipita heart choice kama sioni
Starehe yangu imekuwa evening walk
Pole Kwa kuchelewa kupitia hiyo life anayosema muanzisha thread ambaye kwangu mimi nimemsoma Kama,, barobaro flani .Umemaliza kila kitu hapa Mkuu.
Na wengi wetu tumechelewa sana kufahamu upande huo wa maisha.
Vitu vyote ulivyoelezea katika comment hii nimepitia na nimejilaumu sana kuchelewa kuanza kuishi kisa elimu, kazi ama kwa kupenda mwenyewe.
Anasema kwa nini hutoi ufafanuzi wa kutosha? Eti umeandika kwa kifupi mno badala ya kuezea kila sehemu ikoje, bei zake nk...Dalili za kushika hela juzi hizi.
Anyway ingia havoc, wavuvi, and the likes kama unajiweza
Hakuna ubaguzi ubaguzi? Dar kuna sehemu ambazo ukienda mtu mweusi unaanza kuangaliwa kama nzi aliyetumbukia kwenye chakula. Watu wengine huwa hatuvumilii tunapofanyiwa hivyo tukiwa Bongo.Kama upo Twitter search hii thread imeainisha sehemu nzuri. Maana wengine wakisikia viwanja classic wanafikiria lounge na sehemu za kula bear tu.. Ila Kwa dates za classic ladies yaweza kuwa coffee dates na uzungu uzungu mwingi.. All the best
View attachment 3199031
Wewe nenda utaona mwenyewe π πZote hamna ishumkuu?
Dah...
Vegas las ni casino sasa humo kuna drinks ama ninimkuu mana mim na gambling hapana
Toka kimbia mbio ndefu kwa maana hapo umeingia mtumbwi wa vibwengoSio ubinafsi...mtu siku ya kwanza anaanza kukuambia hana kodi ya nyumba mara amefiwa mara anauguza ...
Hebu acha hizo. Unataka waruke stage? Umri uliofanya hayo ndio umri wao sasa hivi acha warukeruke wasije kuacha halafu wakaanza kuhangaika wakofika 50s huko.Kawaida sana
Pole Kwa kuchelewa kupitia hiyo life anayosema muanzisha thread ambaye kwangu mimi nimemsoma Kama,, barobaro flani .
mimi maisha hayo niliyafanya 2000 hadi early 2010s.
Nilizunguka viwanja karibia vyote dsm tukachoka tukawa tunaenda bagamoyo.
Nipo udsm nimejiunga kama private Msure wangu ananisomesha yeye yupo mkoani Dodoma niliunganisha sikutaka kusubiri scholership.
Nilipokuwa Kwenye registrations nikaona kuna scholarship imetangazwa sharti uwe na admission letter nikaomba hiyo scholarship nikapata .
Hela za msure wangu ada na za kujikimu hizo zikawa hela zangu scholarship ndio wakawa wanalipa ada na kunipa hela nyingine za kujikimu
Msure wangu alinikabidhi nisimamie vihiace vyake 4 .(kila siku nilikuwa namuwekea bank hesabu Zake) Pamoja na Toyota hilux 2.4 double cabin hiyo alinipa kwaajili ya kutembelea na nyumba ya kuishi nilikuwa sikai hostel .
Dsm nilitembea viwanja karibia vyote watu tulikiwa tunaenda kunywa bia sheraton tunangoa wahudumu wa,, sheraton, New Africa Casino beba sana wahudumu wa casino acheni, kwenda kula bata Hunter's bagamoyo hiyo fanya sana sex beach usiku na ndani ya maji
Nimemaliza tu chuo 2006 nikipata ajira mwanza mjini kula sana maisha Villa Park sijui malaika resort, mwanza Hotel.
Nimekuja kutulia 2015.
Sijutii sana hilo life ila nashukuru sana sikupata ngoma .
Kwa hiyo hayo maisha nimepitia nimeachana nayo kwa sasa Nikitaka kula leisure napenda kwenda ufukweni sehemu tulivu kula upepo nikiwa na la Aziz wangu.
Kwa hiyo mfahamu huku,, kuna wakubwa wenu tumepitia huko mnapotaka kupita sio kuzuri kama mnavyofikiria ni Mungu tu ametuokoa nilishapinduka na pick up langu tunatoka bagamoyo kula bata wacheni tu
Labda atasali siku ya mwisho tu.Ungeuliza kanisa la kwenda kusali kesho ningekuelekeza
AMINA shule nilimaliza miaka miwili iliyopita nikaenda somea upadre nikafukuzwa kwenye nyumba ya maleziAmina
Shule umemaliza mitahani iliyo pita au?
Mara mjomba kameza shoka.Sio ubinafsi...mtu siku ya kwanza anaanza kukuambia hana kodi ya nyumba mara amefiwa mara anauguza ...
Kweli Acha vijana waruke debe na wao , wala sio ajabu , ukileta ustaarabu kwenye makuzi uzeeni unaumbuka, ndio unaanza kukimbizana na watoto wa chuo wakati magumegume menzio yapo Tu,Hebu acha hizo. Unataka waruke stage? Umri uliofanya hayo ndio umri wao sasa hivi acha warukeruke wasije kuacha halafu wakaanza kuhangaika wakofika 50s huko.
Mimi huwa nikisoma thread kama hizi ndio najua nimezeeka.
Nimekupata vizuri Mkuu.Kawaida sana
Pole Kwa kuchelewa kupitia hiyo life anayosema muanzisha thread ambaye kwangu mimi nimemsoma Kama,, barobaro flani .
mimi maisha hayo niliyafanya 2000 hadi early 2010s.
Nilizunguka viwanja karibia vyote dsm tukachoka tukawa tunaenda bagamoyo.
Nipo udsm nimejiunga kama private Msure wangu ananisomesha yeye yupo mkoani Dodoma niliunganisha sikutaka kusubiri scholership.
Nilipokuwa Kwenye registrations nikaona kuna scholarship imetangazwa sharti uwe na admission letter nikaomba hiyo scholarship nikapata .
Hela za msure wangu ada na za kujikimu hizo zikawa hela zangu scholarship ndio wakawa wanalipa ada na kunipa hela nyingine za kujikimu
Msure wangu alinikabidhi nisimamie vihiace vyake 4 .(kila siku nilikuwa namuwekea bank hesabu Zake) Pamoja na Toyota hilux 2.4 double cabin hiyo alinipa kwaajili ya kutembelea na nyumba ya kuishi nilikuwa sikai hostel .
Dsm nilitembea viwanja karibia vyote watu tulikiwa tunaenda kunywa bia sheraton tunangoa wahudumu wa,, sheraton, New Africa Casino beba sana wahudumu wa casino acheni, kwenda kula bata Hunter's bagamoyo hiyo fanya sana sex beach usiku na ndani ya maji
Nimemaliza tu chuo 2006 nikipata ajira mwanza mjini kula sana maisha Villa Park sijui malaika resort, mwanza Hotel.
Nimekuja kutulia 2015.
Sijutii sana hilo life ila nashukuru sana sikupata ngoma .
Kwa hiyo hayo maisha nimepitia nimeachana nayo kwa sasa Nikitaka kula leisure napenda kwenda ufukweni sehemu tulivu kula upepo nikiwa na la Aziz wangu.
Kwa hiyo mfahamu huku,, kuna wakubwa wenu tumepitia huko mnapotaka kupita sio kuzuri kama mnavyofikiria ni Mungu tu ametuokoa nilishapinduka na pick up langu tunatoka bagamoyo kula bata wacheni tu
Hapa ndipo mnakusea, aliewaambia jamaa haendi kanisani ni nani? aliekuambia jama hajawekeza ni nani. umeambiwa jaribu kujizuia kutoa ushauri ambapo hujaombwaSawa tupo tofauti ndio maana hata ushauri unakuwa tofauti, nimeonelea kumpa ushauri tofauti kutokana na uzoefu na mtazamo wangu wa maisha. na vipaumbele vyangu.
Simlazimishi anifate ila nataka ajue kuna upande huo wa maisha
Si umeona kuna mtu pia kamshauri aende kanisani.
Ndio maana ya utofauti katika maisha.
Binadamu tunatofautiana kimawazo
Kuna jamaa yangu hapa yaani ni kama ndio amejua kuwa K zipo ana mke ila anahangaika hatari. mpaka kuna mda namchana laivu kwa kuruka hiyo stage. Vijana kuleni maisha kuna wakati mda utafika unaacha tu mwenyewe msisubiri umri uende msumbue watuKweli Acha vijana waruke debe na wao , wala sio ajabu , ukileta ustaarabu kwenye makuzi uzeeni unaumbuka, ndio unaanza kukimbizana na watoto wa chuo wakati magumegume menzio yapo Tu,
Nakumbuka enzi yangu nilikua nikisikia kiwanja kipya hata iwe wapi nilikua nasafiri, popote now age imeenda nimetulia kama mshamba Tu mambo ya kutembea usiku mara kurudi late night nilimaliza, mara pisi za aina zote nilifanya nilijua itafika muda nguvu nitahamishia kwenye real life,Kuna jamaa yangu hapa yaani ni kama ndio amejua kuwa K zipo ana mke ila anahangaika hatari. mpaka kuna mda namchana laivu kwa kuruka hiyo stage. Vijana kuleni maisha kuna wakati mda utafika unaacha tu mwenyewe msisubiri umri uende msumbue watu
Hivi ndivyo inatakiwaNakumbuka enzi yangu nilikua nikisikia kiwanja kipya hata iwe wapi nilikua nasafiri, popote now age imeenda nimetulia kama mshamba Tu mambo ya kutembea usiku mara kurudi late night nilimaliza, mara pisi za aina zote nilifanya nilijua itafika muda nguvu nitahamishia kwenye real life,
Hiyo kawaida na kwa sababu wahudumu sehemu hizo wanasubiria tips. Na kuna ile kunyenyekea ngozi nyeupe. Kuna sehemu nyingi tu zinalalamikiwa including karambeziHakuna ubaguzi ubaguzi? Dar kuna sehemu ambazo ukienda mtu mweusi unaanza kuangaliwa kama nzi aliyetumbukia kwenye chakula. Watu wengine huwa hatuvumilii tunapofanyiwa hivyo tukiwa Bongo.
ππ Wanafanya maisha na kufanya rational decisions..πππKuna jamaa yangu hapa yaani ni kama ndio amejua kuwa K zipo ana mke ila anahangaika hatari. mpaka kuna mda namchana laivu kwa kuruka hiyo stage. Vijana kuleni maisha kuna wakati mda utafika unaacha tu mwenyewe msisubiri umri uende msumbue watu
Nina rafiki yangu kanizidi umri karibu miaka kumi. anahangaika huyo balaa. Lakini ni wale walivuka stage, kasoma chuo anakaa kwao kumaliza tu kaoa! Kwahio hajaonja yale maisha ya kuwa mwenyewe na una kipato fulani ile ya 24-30sKuna jamaa yangu hapa yaani ni kama ndio amejua kuwa K zipo ana mke ila anahangaika hatari. mpaka kuna mda namchana laivu kwa kuruka hiyo stage. Vijana kuleni maisha kuna wakati mda utafika unaacha tu mwenyewe msisubiri umri uende msumbue watu