Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Kama Karambezi walivyo na ubaguzi!Hakuna ubaguzi ubaguzi? Dar kuna sehemu ambazo ukienda mtu mweusi unaanza kuangaliwa kama nzi aliyetumbukia kwenye chakula. Watu wengine huwa hatuvumilii tunapofanyiwa hivyo tukiwa Bongo.
Eyce hebu zianishe mkuu, huenda jobless pro max nika okota chenjiπKama upo Twitter search hii thread imeainisha sehemu nzuri. Maana wengine wakisikia viwanja classic wanafikiria lounge na sehemu za kula bear tu.. Ila Kwa dates za classic ladies yaweza kuwa coffee dates na uzungu uzungu mwingi.. All the best
View attachment 3199031
Same thing hapa mkuuMimi mara nyingi saa 2 usiku natoka zangu na pensi yangu chini raba juu tisheti na kofia watu wanaeza zani naenda sehemu kuchil kumbe nakua road natembea narudi Home saa4 .
Nakuwa so relax sana na kesho naamka vizuri, ukiamkia hangovers inakuwa shidashida kidogo
Namshauri aje na mgeni wake, nyie wenyeji hamchelewi kutu uzia soda elfu 20 πfelakuti we njoo tuu dar then twenzetu tukale bata bara beach πView attachment 3201844
π³Hee hii ikoje kiongozi? Embu decode.mwembamba ni jikedume ashawala sana jicho walevi
Domo zegembona mnatogopa sana wadada Jamani π
DuuuhOhoooo unaona sasa..sasa sisi wa mikoan tukija kichwa kichwa si tunakula za uso ?
Mkuu kuna uzi nmekuta humu nisaidie ku certify hizo sehem π
*****
Wajuzi naomba ntililike na uzi
Kuna zile baa za mfano kitambaa juliana .wavuvi sijui elements hizo mengi ni mashindikanaa lakini kuna chimbo za kijanja za kula pisi mq banker .manesi .watumishinwa uma naomba ntaje zsngu
The hood
Hii ipo sinza mori ukienda uliza ka spiri t and wine shop haka asee kuna midada imepaki ndinga zao kali ina makalio balaa na videmu classic noma mida mizuri kuanzia saa 2 usiku
Tiriple 9
Haka kapo nyuma ya lion hotel hapa kuna vyuma unaweza changanyikiwa japo chunga kuna demu anaitwa mina ananywele kama msomari ana matako mwembamba ni jikedume ashawala sana jicho walevi
Dance club
Hapa ni survey asee nenda weekend saa 6 usiku wanachuo wamevaa uchi uwe tu na viingeleza vingi ila pia pana mashoga sana hawa ukimpiga bia mbili onesha demu yeyote umemla
Tiffany hotel
Hii iko posta bia ni elfu 5 kaka hapo mademu wa grade 1 tanzania utawakuta usipaogope ww ingia minya ghorofa ya 9 hutajuta hapo hadi mawaziri wapo
Mizizi pub
Hii iko masaki hapa pisi nyingi chotara au wamekaa mbele kiujumla ni watoto wa kishua wa masaki na mikocheni hapa ndo niko namalizia bia hapa de france nielekee hapo nkaboreshe kiingereza changu
Wacha bhana, mimi jobless pro max mchezo wa pesa sio mzuriππIngia hapo twitter, search hiyo thread uzione ππ
Halafu sio suala la pesa, siku moja moja unaenda sehemu kama hizo kuushtua umaskini
Jobless mwenzetu unakwama wapi, yani huna hata ka appointment ka coffee shop na kubadili accent kama wazungu wa London πWacha bhana, mimi jobless pro max mchezo wa pesa sio mzuriππ
kwani akija na mgeni wake bei ndo zitashuka au siku hizi kuna uwinga mpaka kwenye viwanja vya starehe ππNamshauri aje na mgeni wake, nyie wenyeji hamchelewi kutu uzia soda elfu 20 π
Iko maeneo gani hii beachfelakuti we njoo tuu dar then twenzetu tukale bata bara beach πView attachment 3201844
Akija peke ake, jina Lina weza badilika kutoka mgeni hadi.....π.kwani akija na mgeni wake bei ndo zitashuka au siku hizi kuna uwinga mpaka kwenye viwanja vya starehe ππ
Coffee elfu 10, hawa wa huku hawana uzungu.Jobless mwenzetu unakwama wapi, yani huna hata ka appointment ka coffee shop na kubadili accent kama wazungu wa London π
After Bahari beach hotel pazuri na dj anajua sana na usiende na pesa ya mawazoIko maeneo gani hii beach
Kudadadeki bonge la codeTotoz zipogo tu, sema zinacheza na saikolojia ya mazingira. Ukitaka kujua zinafanya biashara nenda dakika za majeruhi, huwa zinasaka goal kwa nguvu sana hata kwa kulazimisha ikibidi . Ndio maana wanunuaji wanaamkiaga alfajiri kuchukua mipira iliyojifia
πππ ahh njaa kali hizo brother, Ila Mimi binafsi sehemu hizo nyingi nimeenda sababu ya clients niliokuwa nakutana nao kipindi nipo kwenye industry flani. Wao meeting sio kwa ofisi, ni kwenye restaurants na coffee shops. Na gharama zake huwa kawaida tu, 6k - 10kCoffee elfu 10, hawa wa huku hawana uzungu.
dating ni opportunity ya kujuana, wao ni chance ya kula ambacho hawaja wahiππ€£
Yeye keshasema mambo hizo hataki anataka ustaarabu uchukue nafasi yake ale bata kwa amani πAkija peke ake, jina Lina weza badilika kutoka mgeni hadi.....π.
Uta sikia... nina ndoto ya kwenda sehemu fulani pazuri; yaani una mgeuza tool ya kukamilisha majaribio yakoπ
Ona Sasa ume Anza kuni shawishi, hadi nataka kukupeleka.After Bahari beach hotel pazuri na dj anajua sana na usiende na pesa ya mawazo